Watu wanaokunywa Pombe wanaonekana wanafurahia maisha kuliko wasiokunywa

Watu wanaokunywa Pombe wanaonekana wanafurahia maisha kuliko wasiokunywa

Mkeo amekuzidi kipato na unywaji. Haiwezekani mwanaume unaagizwa bia.
Siagizwi namnunulia kwa mapenzi yangu mimi mwenyewe.....hasa nikitaka kumpa Kichapo kitakatifu cha 6x6
 
Kautafiti kako mkuu ni 100%, mm situmii CH4CH2OH lakini, wale jamaa wana furaha sana hilo huwa national tukiwa mpirani kweye bar tofauti tofauti
Nilidhani ni mimi tu.😆😆😆
 
Utafiti huo umeufanyia bar?

Sasa mtu asiye mlevi atafurahi vipi akiwa bar?

Ushawahi kumkuta asiyevuta bangi kijiwe cha wahuni, ni hana amani kabisa, anawaza nikikamatwa mimi hapa itakuwaje?😂

Sisi sio walevi wa alcohol na tuna amani, fanya utafiti wako upyaaa
Sijazungumzia Amani naongelea Furaha
 
Back
Top Bottom