Watu wanaomba kazi sio masimango, hili ni jukwaa la connection za kazi sio jukwaa la show off

Watu wanaomba kazi sio masimango, hili ni jukwaa la connection za kazi sio jukwaa la show off

Ukweli ni kwamba vijana wasasa mnapenda sana kulalamika, then mnakaujuaji flani ka kipuuzi sana na wakati woooote mnaona kama mnaonewa sanaaaa......
By the way, hiyo degree yako ukiona imekufanya wa thamani sana basi nenda ukaile au ibadilishe ikuliletee pesa kama unavyo taka.
Vijana hamtaki kuanzia chini kisa tu una degree...rubbish empty set kabisa...🤥
Huna lolote la maana hapo ulipo wenye ya maana ni wazuri kupiga watu tafu nyinyi kajamba nan kama sie ndio mnajikutaga mmeyaweza maisha una kipi ww mpk uwe mshauri wa vijana? Kwa nn kujifanya important kwny hii ardh ya mama samia!? Nakutana na ww live nakufanyia shambulio la aibu nakunyanysa kijinsia je utanipa kesi?
 
Kilichobaki titatupiana majini dharau ni nyingi hii ardhi tutashikishana adab ngoja siku nikienda kwa mtaalam wangu akyanan mnaojificha kweny ID kuleta shombo nitawarushia kifaa cha hatari mtakuja tubu
 
Ukweli ni kwamba vijana wasasa mnapenda sana kulalamika, then mnakaujuaji flani ka kipuuzi sana na wakati woooote mnaona kama mnaonewa sanaaaa......
By the way, hiyo degree yako ukiona imekufanya wa thamani sana basi nenda ukaile au ibadilishe ikuliletee pesa kama unavyo taka.
Vijana hamtaki kuanzia chini kisa tu una degree...rubbish empty set kabisa...🤥
Ujakosea degree sio kigezo cha yeye kulipwa mapesa mengi
 
una ulemavu fulani kutilia watu kauzibe jobless flan wew huna lolote kwenye maisha haya so idle get busy pure mswahili roho ya kutu roho ya kwa nn unajipa
Wewe km huna hio roho toa connection ya unapolipwa laki 4 bila hivyo wewe nawe ni wale wale tu, what goes around comes around watu wanautaka huo mkate wa laki 4 kwa muhindi uonyeshe hapa toa connection acha makelele yako hapa
 
Kilichobaki titatupiana majini dharau ni nyingi hii ardhi tutashikishana adab ngoja siku nikienda kwa mtaalam wangu akyanan mnaojificha kweny ID kuleta shombo nitawarushia kifaa cha hatari mtakuja tubu
Toa connection muhindi gani anakulipa laki 4 kwa kazi gani? Upo kazini mda huu unachat JF na unalipwa laki 4 unamjua muhindi wewe au muhindi shemeji yako/baba ako wa kambo?
 
Wewe km huna hio roho toa connection ya unapolipwa laki 4 bila hivyo wewe nawe ni wale wale tu, what goes around comes around watu wanautaka huo mkate wa laki 4 kwa muhindi uonyeshe hapa toa connection acha makelele yako hapa
Sema kkuna watu unaweza wapa connection wakaj haribu kazi kijinga kabisa
 
Wewe km huna hio roho toa connection ya unapolipwa laki 4 bila hivyo wewe nawe ni wale wale tu, what goes around comes around watu wanautaka huo mkate wa laki 4 kwa muhindi uonyeshe hapa toa connection acha makelele yako hapa
Nimekuona muda mrefu unazunguka zunguka kama mlupo uliiona danga njoo bas pm nikuunge hiyo kaz mm nikunyime kazi ya kuua mapafu useme staright mwanangu eeh mie pia nipo kitaa siunajua kichina bab nigee hayo mashavu CV hapa niguvu yako acha unafki mswahili sana ww mtoto
 
Kilichobaki titatupiana majini dharau ni nyingi hii ardhi tutashikishana adab ngoja siku nikienda kwa mtaalam wangu akyanan mnaojificha kweny ID kuleta shombo nitawarushia kifaa cha hatari mtakuja tubu
Punguza makelele
 
Nimekuona muda mrefu unazunguka zunguka kama mlupo uliiona danga njoo bas pm nikuunge hiyo kaz mm nikunyime kazi ya kuua mapafu useme staright mwanangu eeh mie pia nipo kitaa siunajua kichina bab nigee hayo mashavu CV hapa niguvu yako acha unafki mswahili sana ww mtoto
Nyoosha maelezo sio unapiga Kona Kona muhindi gani anakulipa laki 4 kwa kazi gani? hakuna muuza madafu anaelipwa laki 4
 
Nyoosha maelezo sio unapiga Kona Kona muhindi gani anakulipa laki 4 kwa kazi gani? hakuna muuza madafu anaelipwa laki 4
Haya nalipwa elfu 30 kwa mwezi. Roho yako imepata amani?
Waswahili 🚮
 
Back
Top Bottom