Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mbona unanichamba mimi sasaTumia akili na maarifa uliyo yapata chuoni ili uweze kujikwamua katika ugumu wa maisha maana hakuna sehem ilio andikwa kwamba wewe lazima utaajiriwa baada ya kupata degree, masters, phd na kadhalika