Tumia akili na maarifa uliyo yapata chuoni ili uweze kujikwamua katika ugumu wa maisha maana hakuna sehem ilio andikwa kwamba wewe lazima utaajiriwa baada ya kupata degree, masters, phd na kadhalika
Unajichekesha kama kicheche.....ungekuwa unagawa riziki sijui ingekuajr ulivyo na roho mbovu... Mungu ndio mtoa rizik tunachelewa tu ila kila mmoj ana siku yake
Sijakuomba ushauri ni kiherehere tu kinakuwasha.... mindset yangu hii hii nitatiboa kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu Yesu ananipenda napigika ila hajawai nisusa ananiokota nasonga one day nitatusua mazima kmnn zenu
Unajichekesha kama kicheche.....ungekuwa unagawa riziki sijui ingekuajr ulivyo na roho mbovu... Mungu ndio mtoa rizik tunachelewa tu ila kila mmoj ana siku yake