Huna baya Mkuu ππ, ni wivu tu πHata najua basi? Wananichukia tu sababu naendesha gari kali, natoa pesa kwa mademu hata wa kwao na nina maisha mazuri. So siwashangai kabisa hawa jamaa.....NI WIVU TU .
NI WIVU TU WA WASWAHILI. NASHUKURU UMEGUNDUA HILO.Huna baya Mkuu ππ, ni wivu tu π
KUna MWALIMU ALIMCHUKUA MCHUMBA WA MPWANYUNGU AMEMUACHIA MAUMIVU MAKUBWA JAMAA ANA WACHUKIA SANA WALIMU.πππMpwayungu yeye ana bifu binafsi na waalimu yeye kila mda ni kushush tuu nyuzi na wanaparuana uko haswaaπ€£π€£
Kazi kweli kweli1. Chizi Maarifa - nimepita nyuzi kadhaa nimekuta jamaa akitukanwa na kusukwa sukwa sana.naamini kama angekatisha lile eneo lenye wale watu muda ule wangempopoa sana kwa mawe. Sana siyo kidogo. Maana nimesoma hasira za watu na bado kwenye nyuzi nyingine nimeona watu mpaka wakimtishia kumroga. Ana chukiwa sana. Sijui sura na umbo lake vitakuwaje.
2. GENTAMYCIME naye jamaa anachukiwa sana. Nimekuwa mara nyingi nikisoma jinsi ambavyo watu wamekuwa wakitaka kuzungumzia mtu wa hovyo wanamtaja jamaa... Sijajua hasa tatizo ni nini. But naye anachukiwa sana humu ndani kiasi inaleta maswali mengi je watu wakija onana naye watamfanya nini? Sijui sura na umbo lake litakuwaje
3. Huyu demu jina lake limenitoka ila naye nimesoma mara kadhaa wakisema ana msongo wa mawazo kutokana na nyuzi anazoanzisha akiamini anarogwa, hapendeki,malaya,anatengwa, anaonewa wivu,anaonekana kachoka n.k so ikamfanya kila jambo katika hayo alifungulie uzi. Mpaka alipopelekwa hospital (watu wanasema hivyo) na kugundulika ana msongo wa mawazo na kulazwa ndo kumetulia. Huyu atakuwa binti mwembamba sana amekauka mwili
Mi nashauri watu wapendane tu humu ndani. Mnaweza kuja oana humu mkapata watoto nao wakakulia humu humu. Kuna mkongwe mmoja alipata mke humu na kuanzia hapo akahama na JF but alikuwa ana madini sana yule jamaa.
π Huyo kipanya aboa sana hasa kwenye ule uzi wa vita ameshakuwa ignored na member kibao
Vipi pale unapompenda ambae hukawahi kumuona?Kitendo cha kumchukia mtu na hujawahi kumuona kinanifikirisha sana
Na akija na utambulisho wa ID ya kike wote wanaomchukia wanaanza kumchombeza na kusifu hata pasipo stahili.Kitendo cha kumchukia mtu na hujawahi kumuona kinanifikirisha sana
Yaani ni mara mia nitoe hii hela ya ada ya junia na kodi nikanunue mawe tipa zima kwa moyo mweupe kabisa.Weeeeeh.... Utapata dhambi dada....anyway....ni nani huyo tumchape?
ManinaaaaaaWe mbwah umesema kweli kabisa...π€£π€£π€£π€£ Falah sana wewe yaani nimecheka ile mbaya. Nikasema huyu mbwah yupo sahihi......
Hahahhaa yeye anamjua kila mtu JF personally. Mwingine amezaa nae mtoto, mwingine kamkaribisha mjini na kukfundisha lugha, mwingine alimtumia nauli hahahaha mkuu tipa ya mawe inamhusuHahaha...
Baba mtoto anasimangwa kweli kweli...
Usitoe... Acha mtoto wetu aende shule please. Achana na huyo jamaa hajielewiYaani ni mara mia nitoe hii hela ya ada ya junia na kodi nikanunue mawe tipa zima kwa moyo mweupe kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vibaya sana..... We acha tu.....πHahaha...
Baba mtoto anasimangwa kweli kweli...
Inawezekana. Mimi nafahamu watu 17 humu ndani. Nawafahamu vizuri kabisa. Na wengine 5 ambao nawafahamu ila hawaifahamu hii ID yangu.Hahahhaa yeye anamjua kila mtu JF personally. Mwingine amezaa nae mtoto, mwingine kamkaribisha mjini na kukfundisha lugha, mwingine alimtumia nauli hahahaha mkuu tipa ya mawe inamhusu
Sent using Jamii Forums mobile app
sina experience na hilo jambo coz haijawahi kunitokea na haitakuja kutokea nikampenda au kumchukia mtu ambaye sijawahi kumuona.Vipi pale unapompenda ambae hukawahi kumuona?
Kuna watu wana fikra za hovyo humu,,,hilo wala hawajalifikiria,,,unamchukiaje mtu aliyefake ID bila ya kuelewa kama atakuwa me au ke..Na akija na utambulisho wa ID ya kike wote wanaomchukia wanaanza kumchombeza na kusifu hata pasipo stahili.
Kuna watu wana fikra za hovyo humu,,,hilo wala hawajalifikiria,,,unamchukiaje mtu aliyefake ID bila ya kuelewa kama atakuwa me au ke..Na akija na utambulisho wa ID ya kike wote wanaomchukia wanaanza kumchombeza na kusifu hata pasipo stahili.
Unataka kusema huna dinisina experience na hilo jambo coz haijawahi kunitokea na haitakuja kutokea nikampenda au kumchukia mtu ambaye sijawahi kumuona.