Watu wanaoongoza kwa kuchukiwa humu JF

Watu wanaoongoza kwa kuchukiwa humu JF

Yaan unaita mtu mbwa...asipo kua makini lazm ata panic....
Chizi kama chizi...yaan chizi maarifa...
Hata siku moja siwezi mpa faraja ya majibizano.
Kupanic kwa ajili ya mtu ambae anapata furaha katika kuudhi wengine ni kujishusha katika level yake. Kuitwa mbwa ikiwa si mbwa hakukufanyi kuwa mbwa.
 
Aaaargh..... Na wewe unataka mtumia mtoto vibaya. Juz juzi hapa umesema ana malaria nitume pesa ya matibabu 200,000 nmetuma. Mara ukasema ana tezi dume nitume tsh 500,000 nikatuma. Ada yake nlikutangulizia 700,000 sasa unasema haendi shule anaenda wapi? Kucheza ngoma? Acha hizo bwana. Baadaaye uanze kuanzisha uzi nimetoroka na mtoto.
Tezi dume mtoto wa kike? Sema mkuu inaonekana unatamani sana kuwa na mtoto nakuombea Mungu akujalie umpate. Tena bora uendelee kujifariji umezaa na mm bila kunifahamu siku ukiniona i swear utashinda unaanzisha nyuzi hapa kwamba tunafunga ndoa wallah utachanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tezi dume mtoto wa kike? Sema mkuu inaonekana unatamani sana kuwa na mtoto nakuombea Mungu akujalie umpate. Tena bora uendelee kujifariji umezaa na mm bila kunifahamu siku ukiniona i swear utashinda unaanzisha nyuzi hapa kwamba tunafunga ndoa wallah utachanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tezi dume mtoto wa kike? Sema mkuu inaonekana unatamani sana kuwa na mtoto nakuombea Mungu akujalie umpate. Tena bora uendelee kujifariji umezaa na mm bila kunifahamu siku ukiniona i swear utashinda unaanzisha nyuzi hapa kwamba tunafunga ndoa wallah utachanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Weeee.... Mungu ananiepusha na majanga sana. Siwezi oa mwanamke anayekuja mtangaza mume, mzazi JF ni majanga. Mi ntaoa mwanamke mwenye akili. Haya manungayembe tunacharurana tu humu na kuachana .... Kuoa ni issue sensitive sana.😂
 
Tezi dume mtoto wa kike? Sema mkuu inaonekana unatamani sana kuwa na mtoto nakuombea Mungu akujalie umpate. Tena bora uendelee kujifariji umezaa na mm bila kunifahamu siku ukiniona i swear utashinda unaanzisha nyuzi hapa kwamba tunafunga ndoa wallah utachanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna bwana huwezi ukawa wa kuchanganya mtu hata kidogo. Unaufahamu wimbo wa wanawake wazuri wazuri wameolewa... Wamebaki manunga yembe yanahangaika.
 
🍪+🥛=🎬 acha iendelee🤣🤣🤣

Ila tukiweka utani pembeni hiyo couple yenu ni bonge la kiburudisho
 
Hamna bwana huwezi ukawa wa kuchanganya mtu hata kidogo. Unaufahamu wimbo wa wanawake wazuri wazuri wameolewa... Wamebaki manunga yembe yanahangaika.
Mpaka unakomaa tunajuana ni wazi ulishachanganyikiwa, halafu unanitisha zaidi unavyokomalia mpaka wanaume wenzio mh mkuu, wewe sidhani kama ni chizi tuu kuna mengine nyuma ya pazia sio bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka unakomaa tunajuana ni wazi ulishachanganyikiwa, halafu unanitisha zaidi unavyokomalia mpaka wanaume wenzio mh mkuu, wewe sidhani kama ni chizi tuu kuna mengine nyuma ya pazia sio bure

Sent using Jamii Forums mobile appu
Unajua mpaka mwanaume anaamua kuondoka na mtoto anajua mwanamke hafai kukaa na mtoto maana ni nungayembe basi tu....sisi wanaume sometimes tunavumilia mengi. Na kukosea kupo unazaa na mtu anajiuza JF mkikosana anakuja kukulalamika JF... Sababu hata kwenu hafahamiki.... Ni shida.... Wanawake wazuri wameolewa. Yamebaki Manunga yembe yanahangaika...😁
 
Hata siku moja siwezi mpa faraja ya majibizano.
Kupanic kwa ajili ya mtu ambae anapata furaha katika kuudhi wengine ni kujishusha katika level yake. Kuitwa mbwa ikiwa si mbwa hakukufanyi kuwa mbwa.
Hili li toxic concotion ni mtu flan ivi kupitia maandishi yake Lina characteristics za kipekee.....
 
Unajua mpaka mwanaume anaamua kuondoka na mtoto anajua mwanamke hafai kukaa na mtoto maana ni nungayembe basi tu....sisi wanaume sometimes tunavumilia mengi. Na kukosea kupo unazaa na mtu anajiuza JF mkikosana anakuja kukulalamika JF... Sababu hata kwenu hafahamiki.... Ni shida.... Wanawake wazuri wameolewa. Yamebaki Manunga yembe yanahangaika...[emoji16]
We jiliwaze wee ila ukweli unajua, wenzako hatukukutana JF tulikutana hukoooo ikatokea wote tulikuwa membaz wa JF, jinsi ambavyo hunijui eti hata kwao hufahamiki, best mwenzio nafahamika hadi na nzi wa kwao na ng'ombe zao tunazo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Sio kila mwanamke aliye JF ni nungayembe kama wewe nungayembe wa kiume usie na maisha. Halafu sio kila aliyeolewa ndio mtakatifu mnagongewa wake zenu kila siku.

Nimekujibu koz nmetoka kanisani leo nipo very free lasivyo wala nisingehangaika kukujibu.

Mkuu yaani wewe ni conniving, craven pathetic worm who seeks attention by belittling others and make them feel bad, it makes you think ur great. Go seek sweet pus** it will help relieve ur stress and loneliness.

Wachana na pu**y za bei rahisi zinakufanya UTI na gono ipande kichwani mwishowe watu wanakuona chizi mkaka wa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jiliwaze wee ila ukweli unajua, wenzako hatukukutana JF tulikutana hukoooo ikatokea wote tulikuwa membaz wa JF, jinsi ambavyo hunijui eti hata kwao hufahamiki, best mwenzio nafahamika hadi na nzi wa kwao na ng'ombe zao tunazo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Sio kila mwanamke aliye JF ni nungayembe kama wewe nungayembe wa kiume usie na maisha. Halafu sio kila aliyeolewa ndio mtakatifu mnagongewa wake zenu kila siku.

Nimekujibu koz nmetoka kanisani leo nipo very free lasivyo wala nisingehangaika kukujibu.

Mkuu yaani wewe ni conniving, craven pathetic worm who seeks attention by belittling others and make them feel bad, it makes you think ur great. Go seek sweet pus** it will help relieve ur stress and loneliness.

Wachana na pu**y za bei rahisi zinakufanya UTI na gono ipande kichwani mwishowe watu wanakuona chizi mkaka wa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaargh....we ungekuwa una akili na umekutana na mtu huko kunakoeleweka usingekuja kutoa faida kwa watu kuwa "mzazi" mwenzio katoroka na mtoto. Pale tu nikajua wewe ni bogus. 😁
 
Back
Top Bottom