Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
NopeTunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika, mwandishi yuko sahihi kabisa.
Ndugu GENTAMYCINE, mpwayungu village, na Unique Flower, Ni wagonjwa wetu katika hospital ya crazy for life.
Ambapo siku ya 31/12/2022 walifanikiwa kutoroka hospital na kuiba simu za ofisi 3, kisha wanaanza kuropoka hovyo.
Tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo wavumilieniii
Nimefanyaje??Huyo demu nahisi ni Unique Flower au cocastic
Ataendaje shule wakati hata matumizi na ada hutoi?? Na bado unajiita baba man up basi utume adaUsitoe... Acha mtoto wetu aende shule please. Achana na huyo jamaa hajielewi
Huyo kwenye avator Ni wewe?Kuna limoja hilo humu ... anyway ngoja nichill
Unaongoza kuchukiwaNimefanyaje??
Kweli unauwakika au kwasababu hamjui k yangu ipoje??Unaongoza kuchukiwa
Hahahahaaa mkuu huyo jamaa unaweza kuta eidha hana hata mtoto, au anao na ametelekeza huko yupo busy anajiliwaza na mtoto wa kufikirika JF.Chizi Maarifa na trudie mtoto wenu anaendeleaje hahaa! Hawa jamaa huwa wanafurahisha sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah! Hii kashifa nzito sana hii!🤗Hahahahaaa mkuu huyo jamaa unaweza kuta eidha hana hata mtoto, au anao na ametelekeza
namwacha ajiliwaze huenda kufikiria amezaa na mimi kunampa amani ya moyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
NdioHuyo kwenye avator Ni wewe?
Hongera zakoNdio
Aaaargh..... Na wewe unataka mtumia mtoto vibaya. Juz juzi hapa umesema ana malaria nitume pesa ya matibabu 200,000 nmetuma. Mara ukasema ana tezi dume nitume tsh 500,000 nikatuma. Ada yake nlikutangulizia 700,000 sasa unasema haendi shule anaenda wapi? Kucheza ngoma? Acha hizo bwana. Baadaaye uanze kuanzisha uzi nimetoroka na mtoto.Ataendaje shule wakati hata matumizi na ada hutoi?? Na bado unajiita baba man up basi utume ada
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee..... Dunia tambala bovu. Haina shida. Naishia hapa.Hahahahaaa mkuu huyo jamaa unaweza kuta eidha hana hata mtoto, au anao na ametelekeza huko yupo busy anajiliwaza na mtoto wa kufikirika JF.
Kuna mdau kasema kuna watu humu JF ndio pa kujiliwaza na maisha yao ya upweke basi sasa hivi namwacha ajiliwaze huenda kufikiria amezaa na mimi kunampa amani ya moyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka wewe sio msoma comments...kinacho nisaidia mimi huwa majina ya watu sisomi... labda nikute comment ya kukera sana ndo narudi kumfahamu muhusika...na siku nyingine hata nikute kapost nini napita kama kipanga sisomi.Kitendo cha kumchukia mtu na hujawahi kumuona kinanifikirisha sana
Chizi Maarifa na trudie mtoto wenu anaendeleaje hahaa! Hawa jamaa huwa wanafurahisha sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndugu yangu.... Tuliyamaliza... Unadhani nlitoroka naye basi? Ni vile tu wanawake wanapenda huruma. Sema baadaye alielewa alikosea wapi akajishusha ...nlimwambia hajapewa mimba JF so why iwe matangazo?
hiyo imani unayotaka kuiongelea Mwenyezi Mungu mwenyewe atashangaa,,,umpende au kumchukia mtu ambaye hujawahi kumuona.Unataka kusema huna dini
Hahahhaa yeye anamjua kila mtu JF personally. Mwingine amezaa nae mtoto, mwingine kamkaribisha mjini na kukfundisha lugha, mwingine alimtumia nauli hahahaha mkuu tipa ya mawe inamhusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaargh..... Na wewe unataka mtumia mtoto vibaya. Juz juzi hapa umesema ana malaria nitume pesa ya matibabu 200,000 nmetuma. Mara ukasema ana tezi dume nitume tsh 500,000 nikatuma. Ada yake nlikutangulizia 700,000 sasa unasema haendi shule anaenda wapi? Kucheza ngoma? Acha hizo bwana. Baadaaye uanze kuanzisha uzi nimetoroka na mtoto.