Watu wanaoongoza kwa kuchukiwa humu JF

Muhuni Tapeli 😂😆
 

Ata mimi mwazoni nilijua ww nikaja kuangalia vizuri nikajua siye kutokana na chat zake

Mkuu umeludi aya karibu
 
Ulipotea mkuu
 
Tuwasiliane mkuu nipo pm your contact/email
Yaani uliona kabisa katika ID yangu ya GENTAMYCINE kuna Herufi Kubwa ya neno BANNED halafu leo kwa Sanifu unakuja na Kauli yako ya Kinafiki kuwa nilipotea hapa JamiiForums.
 
Tuwasiliane mkuu nipo pm your contact/email
Kumbe siku hizi Watu wa SSIT ( Makao Oysterbay ) mmeishiwa Mbinu za Kiujasusi ( Kinjagu ) Kiasi hiki?

Kumbe Mpare DAM alikuwa na Haki kabisa ya Kufyekwa vile na Mwamba ( Mngwena ) SHM Kuchukua nafasi yake.
 
Binafsi Chizi Maarifa sijawahi kuona shida yake mwamba yuko poa sana sema tena siku ile aliamua kujizima data kwenye uzi uliokua wa moto sana kipindi kile kwenye ule uzi UMUGHAKA ni kama cult leader ukimgusa tu kipimbi wafuas waruka na wewe jumlajumla
 
Ha ha ha.... Watu wamekuwa waoga hadi Moderators wanaingia kumsaidia.
 
Eti mkaoana na kupata watoto wakakulia humuhumu umenifurahisha sana
 
nikweli kabisa, na uduanzi uliokua nao hatuwezi kua nao
 
Wewe pamoja na Kuiga Kwako ID yangu ili Usafirie Nyota yangu Kiumaarufu. GENTAMYCINE nitabaki kuwa ni Mimi Mmoja tu.
unafeli wapi popoma?.
huyo aliyeiga ID yako dawa yake umshushie matusi mpaka ajute. hakujui nini?. hajui kama wewe ni bingwa wa kutukana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…