NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Ingekua enzi za JPM yangetoka matamko ya kutosha...now wanaona aibu kuzungumza maana waliekua wanambebesha lawama hayupo tena. wanashindwa kusimamia haki, wanasimamia unafiki.
Kuna kamanda wa cdm nlisoma nae primary alipotea mwaka jana mwishoni akapatikana Mochwari sokotoure hospitali amefariki tukasafirisha kimya kimya bila zile purukushani za miaka iliyopita, which made me think sana, zile purukushani za enzi za JPM kila kamanda akipatwa na majanga zimeishia wapi?
Kwani Shoo, mwamakula na bagonza wanasemaje?Hatuna viogozi wa dini ni matakataka yapo yapo tu kuchuma hela za wajinga/misukule yao eti waumini.
Kwa hiyo hao vijana wako honeymoon?Acheni uongo na uzushi! Enzi za kuteka na kuuwana si zilishaondoka na yule mwendazake katili hadi tukafanya sherehe siku ya msiba wake.
These are a few exceptionsKwani Shoo, mwamakula na bagonza wanasemaje?
Nawewe ni mtanzania pia how stupid arr youUmesema kweli kabisa Watanzania ni misukule iliyozeeka!inatekeleza chochote inachoambiwa.
Acheni uongo na uzushi! Enzi za kuteka na kuuwana si zilishaondoka na yule mwendazake katili hadi tukafanya sherehe siku ya msiba wake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wapo busy wanagawana vyeo tu mkuu,
Hapa kila mtu apambane na hali yake huku akimtanguliza Mungu.
Ulaji wao umeshafungwa na Mkojani hao.Nakuona team Jiwe siku hizi hutaki kabisa kumuunga mkono mkhojani.
Wengine kamba zetu ni nyembambaHuu ni muda wa kugawana vyeo na kula kwa urefu wa kamba
Yakhe sasa ni wakti wetu siyeee yahkeeeeUlaji wao umeshafungwa na Mkojani hao.
Yaah, watakuwa honeymoon.Kwa hiyo hao vijana wako honeymoon?
Nobody cares abt you bro. Ukilitambua hili wala hutoshangaaKuna taarifa zakupotea vijana watano zinasambaa mitandaoni Lakini hakuna kiuongozi wa serikali aliyetia Beno, wote wapo kimya kama vile waliopotea siyo watu. Viongozi wa dini nao wapo kimya utadhani Hawa siyo waumini wao.
Ni lini mliopewa dhamana mtachukulia haya mambo kwa uzito wake? Six years same story na tunaamini tupo salama miyoyoni? Tunaposikia visa vya mauaji tukakaa kimya tunasubiri wafe au wapotee ndugu zetu?
Nani katufundisha kukalia kimya nafsi zinapopotea au kufa? Kwamba tunaamini wapo wanaolindwa waishi na wapo wanaotakiwa kutolindwa? Hawa siyo wanyama, ukimya huu unapanda chuki na ubaguzi kuhusu Haki ya kuishi Kwa watu waliopo Tanzania, tafakarini
Tawala zote za kimabavu zinaposhindwa kwenye sanduku la kura huwa wanakimbilia hii mbinu ya kupoteza wakosoaji wake.lakini mwishowe tawala hizo huanguka.Mfano mdogo ninJoseph Kabila aliuwa wakosoaji wake wanaharakati kama haitoshi akamuweka madarakani mtu aliyedhani atakuwa kibaraka wake matokeo yake akabadili gia angani.Muda ni muamuzi mzuri sana.Kuna taarifa zakupotea vijana watano zinasambaa mitandaoni Lakini hakuna kiuongozi wa serikali aliyetia Beno, wote wapo kimya kama vile waliopotea siyo watu. Viongozi wa dini nao wapo kimya utadhani Hawa siyo waumini wao.
Ni lini mliopewa dhamana mtachukulia haya mambo kwa uzito wake? Six years same story na tunaamini tupo salama miyoyoni? Tunaposikia visa vya mauaji tukakaa kimya tunasubiri wafe au wapotee ndugu zetu?
Nani katufundisha kukalia kimya nafsi zinapopotea au kufa? Kwamba tunaamini wapo wanaolindwa waishi na wapo wanaotakiwa kutolindwa? Hawa siyo wanyama, ukimya huu unapanda chuki na ubaguzi kuhusu Haki ya kuishi Kwa watu waliopo Tanzania, tafakarini
Ni wakati wa kujitafakari Sana sisi kama Jamii haya tunayoyaona kwa VIONGOZI, Polisi, au taasisi mbali mbali, ni uthibitisho kwamba Jamii yetu iko na walakini kwa sababu wote wametokana na familia zetu ambazo huko ndani haziko ok kabisa, familia zikiharibika huzaa waumini wa hovyo katika nyumba za ibada, huzaa VIONGOZI wa dini makanjanja huzaa VIONGOZI wa vyama vya siasa wa hovyo na kwa bahati mbaya watawala wetu hutokana na vyama vya siasa hivyo haya tunayoyaona ni outcome ya uozo ulioko ndani ya familia zetu.Binafsi kilichoniboa zaidi ni kauli ya kamanda wa polisi jinsi alivyoichukulia hiyo taarifa kimzaha mzaha.
Kuna wasaa hawa makamanda wa polisi wanazungumza utumbo kweli.
We umeambiwa vijana watano wenye umri kati ya miaka 29-33 wamepotea zaidi ya mwezi; unafananisha na taarifa za watoto wadogo kupotea kwenye ngoma ya mdundiko kwa masaa.
Sometimes hawa watu wanakuwa very insensitive kwa familia za ndugu; very stupid.