Watu wanapotea, wanakufa lakini wanasiasa na Viongozi wa dini kwao siyo agenda

Watu wanapotea, wanakufa lakini wanasiasa na Viongozi wa dini kwao siyo agenda

aiseee vijana sijui watakuwa wapi alafu ni majirani zangu wote
 
Wanaona aibu maana walikuwa wanasema haya mambo yanafanywa na Magufuli
 
Acheni uongo na uzushi! Enzi za kuteka na kuuwana si zilishaondoka na yule mwendazake katili hadi tukafanya sherehe siku ya msiba wake.
Nyie ndo mlichinja ng'ombe, mkapika pombe, mkaweka na mziki alafu mkakamatwa?[emoji28]
 
Ingekua enzi ya Jon ungekuta Zitto ashaitisha press anaongea mpaka mishipa ya kichwa ingekuwa inataka kupasuka,ila kwa sababu naye kwa sasa anakula cake amemute tu
 
Si tuliambiwa habari za kupotea,kutekwa zimeisha tunaishi kwa raha mstarehe kwa amani kabisa baada utawala dhalimu kupita au?
 
Si tuliambiwa habari za kupotea,kutekwa zimeisha tunaishi kwa raha mstarehe kwa amani kabisa baada utawala dhalimu kupita au?
Unafiki tu wa wanasiasa...now wanaogopa kusema maana tutawahoji kwa kauli zao.
 
Ingekua enzi ya Jon ungekuta Zitto ashaitisha press anaongea mpaka mishipa ya kichwa ingekuwa inataka kupasuka,ila kwa sababu naye kwa sasa anakula cake amemute tu
Huyu mnafiki ht press za kuzungumzia Uchumi hafanyi tena, mfumuko wa bei tu kaukalia kimya ndo haya ya kupotea atayatolea mshipa ya kichwa?
 
Back
Top Bottom