Watu warefu vs watu wafupi

Wafupi tufanyeje ili kurekebisha hili tatizo, inafikia wakati watoto wa miaka sita mnakuwa na kimo sawa, kukusalimia hadi afikirie, daaah
 
Wafupi tufanyeje ili kurekebisha hili tatizo, inafikia wakati watoto wa miaka sita mnakuwa na kimo sawa, kukusalimia hadi afikirie, daaah
Daah kweli me vitu kama hivyo ndivyo vinavyotufanya,tunachafuka na hasira za karibu
 
Wafupi ni wajinga sana halafu mna roho mbaya

hata katika sekta muhimu wengi hampewi kipaumbele kwa upimbi wenu (udereva,upolisi,uanajeshi nk)

Watu wafupi huanza kujiwenga kwanza wao halafu wengi hawafurahii muonekano wao wa nje utakuta kavaa mibuti mikubwa ili tu imbust asidharaulike na mbele ya watu
 
Kwani ili uwe na sifa ya ufupi unatakiwa uwe na kimo cha futi ngapi?
 
Wewe ni mfupi au mrefu halafu pia wewe ni me au ke
 
Ila msiwe mnavaa nguo nyekundu maana tunashindwa kuwatofautisha na mtungi wa Oryx gas au fire extinguisher...
Dah mkuu Asprin hebu kuwa siriaz bn nimecheka htr,watu wafupi watakuvaa mzee baba.
 
Wafupi ni wabishi sana, waha mtanisamehe
 
Wafupi wa bishi sana ndo wanacho ni kela, alafu wana jifanya wajuaji kumbe hajui kitu
 
ufupi raha sana yani ata kudondosha smartphone haivunjiki...

Tabu inakuja pale kwa ntu nrefu anapo ambiwa na ntu nfupi kua nywele zake zinanukia vizuri...ntu nrefu anashindwa kuelewa ni nywele gani izo?...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Alafu inabidi mtu mfupi anapoongea na mtu mrefu lazima aongee huku akiangalia juu maana akiangalia chini maneno hayawezi mfikia mtu mrefu yatasombwa na Upepo.
 
Mkuu wewe umepewa sekta gani muhimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…