Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Pre GE2025 Watu Wasiojulikana: Malisa aelezea tukio la kutekwa kwa Deus Soka na vijana wengine wawili wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu wana hofu sana bila sababu.
Wanataka hii nchi ionekane kwamba haina Haki.
Nchi isionekane kwamba haina uongozi ambao unajili maslahi ya wananchi.
Watu wana hofu,for no reason.
Hujasoma Biblia Genesis 41:44?
Pharaoh anasema:"Tufanye hivi. On The Throne I will be The Leader. Wewe angalia kuhusu swala hili".
 
ulivyooandika kama sote tunamjua huyo soka!
 
Watu wana hofu sana bila sababu.
Wanataka hii nchi ionekane kwamba haina Haki.
Nchi isionekane kwamba haina uongozi ambao unajili maslahi ya wananchi.
Watu wana hofu,for no reason.
Hujasoma Biblia Genesis 41:44?
Pharaoh anasema:"Tufanye hivi. On The Throne I will be The Leader. Wewe angalia kuhusu swala hili".
wana hofu kwa sababu watu wanachukuliwa na watu wanaodai ni vyombo vya usalama halafu wakiwatafuta kwenye vyombo vya usalama vinakana kuwa havijawachukua. wengine hurudi wengine hawarudi na vyombo vya usalama kama havihusiki havichukui hatua kujua nini kilitokea.
 
Chawa mmeshindwa nguvu,tetesi za maandamano na potea potea zimezima kelele zenu!mnakuja kivingine japo too late!
 
Kama yana yotendeka na Tunajigamba usalama wa Taifa eti ni top ten hapa tumepigwa. kama ulishawai kupata mkasa wa story za maliyamungu basi unaweza kuthibitisha kuwa matendo yao ni sawa.

Kwa utawala wa idd amini kulikuwa na dalili hizi unazoziona ni kwamba kundi fulani la maliyamungu wakitelekeza yote kama unayo yaona hapa tanzania na hukuna idara yoyote itakayo muonesha kuwa umekosea.

Sio kwamba serikali ya ccm ijui bali kulinda mfumo wao mpaka sasa kutokana na wanaharakati au wajuaji wakutaka kujua hatma ya nchi wapunguzwe.

viva Tanzania
 
Kama yana yotendeka na Tunajigamba usalama wa Taifa eti ni top ten hapa tumepigwa. kama ulishawai kupata mkasa wa story za maliyamungu basi unaweza kuthibitisha kuwa matendo yao ni sawa.

Kwa utawala wa idd amini kulikuwa na dalili hizi unazoziona ni kwamba kundi fulani la maliyamungu wakitelekeza yote kama unayo yaona hapa tanzania na hukuna idara yoyote itakayo muonesha kuwa umekosea.

Sio kwamba serikali ya ccm ijui bali kulinda mfumo wao mpaka sasa kutokana na wanaharakati au wajuaji wakutaka kujua hatma ya nchi wapunguzwe.

viva Tanzania
Eleza kwa uwazi amefanyaje mtu huyo
 
Eleza kwa uwazi amefanyaje mtu huyo
ZCO
mwanz ed.jpg
 
Ukiwa kwenye siasa haitakiwi uamini mtu yeyote.....Mimi hata mtu nayemjua anipigie njoo na bla bla kibao siendi mpaka anieambie motive behind otherwise namwambia aongee tumalizane kwenye simu.

Mwamba alikuwa Zakaria alivyotaka kuwamwaga Ubongo wasiojulikana , watu wakija kukuchukua hakikisha hautoki kizembe othewise piga nduru umevamiwa na wezi(Unapiga yowe tu weziiii ,majirani weziiiiiii) raia watoke ,raia wakishajaa hata wakiwa na mitutu watasalenda.

Ukipigiwa simu na mtu akianza kukuuliza sijui upo wapi mara kuna issue inabidi tuongee tuiweke sawa mwambie direct aongee kwenye simu ukiona anang'ang'ania uko wapi mara tukutane jua hapo jamaa anapewa malekezo na manjagu stuka ,yeyusha tu kwamba upo bukoba kikazi na hauwezi kukutana nao kwa leo mpaka muda mwingine kama urgent waongee kwenye simuj.
Zaka aliwaumbua

Ova
 
Mzee mmoja alipata kuniambia mambo matatu ya kuchunga maishani kuepuka matatizo yanayo epukika
1. Tii mamlaka (serikali)
2.Ishi VIZURI na watu/ jamii inayo kuzunguka ishi nao vyema.
3.Heshimu/ wapende wazazi,familia,ukoo na nduguzo

NB.
Maaskari Wengi ni watu wa kupokea maelekezo kutoka juu na hutakiwi kuhoji maana ITS AN ORDER AND NOT A REQUEST
Don't be foolish, which order..there's no order to abduct innocent people..
 
Back
Top Bottom