Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel

Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel

Joined
Feb 13, 2024
Posts
80
Reaction score
204
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
 
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
Sawa sawa shekhe kipoozeo, umesikika.
 
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
Sure sisi wakristo hatusomi Biblia vizuri.kuna sehemu imeandikwa kwamba Kuna watu watajifanya waisrael.
 
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
Aaaaaaah we nae umeanza vizuri umemaliza vibaya
Cha kwanza umesema hakuna waisrael na wapelistine umesema wote ni binadamu saiv tena Aaaaah boss
Next time try to be serious
 
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
Tuletee wa Israel halisi (og) week hii nakupa siku mbili mwisho jpili. TOFAUTI NA HAPO NENDA GAZA UKAUNGANE NA YAHYA KWENYE MASHIMO
 
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
Sawa kwahiyo israel halisi iko wapi ili tukaishabikie
 
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
Waisrael halisi ni wapalestina +wairan au siyo ?
 
Waisrael halisi walijichanganya na weusi wenzao baada ya uvamizi wa mwaka 70AD, Yesu aliwatabiria hivi:

20 Lakini, hapo mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo jueni ya kwamba uharibifu wake umekaribia.
21 Ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani, na walio katikati yake wakimbilie nje, na walio katika mashamba wasiuingie.
22 Kwa kuwa siku hizo ndizo za mapatilizo, ili yatimizwe yote yaliyoandikwa.
23 Ole wao wenye mimba na wanaonyonyesha katika siku hizo! Kwa kuwa kutakuwa na shida nyingi katika nchi, na hasira juu ya taifa hili.
24 Wataanguka kwa ukali wa upanga, nao watatekwa nyara na kuchukuliwa katika mataifa yote; na Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hata majira ya Mataifa yatakapotimia.
 
Back
Top Bottom