Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel

Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel

Ni afadhali

Ungeutumia muda wako kujiendeleza kielimu kuliko kuandika vitu usivyo na uelewa navyo.

Jambo pekee la.maana na la kweli uliloliandika ni pale tu uliposema kuwa uhai wa mwanadamu yeyote ni wenye thamani.

Mengine yote uliyoandika, inaonekana huna kabisa uelewa nayo. Jielimishe kwanza, utakuwa unaandika vitu vya maana na kuepuka aibu na fedheha.

Marekani unaiingiza bila ya uelewa. Kama una uwezo wa kutumia internet, tafuta movement ya Wayahudi waliokuwa nje ya eneo lao la asili, iliyoitwa Zionisim, ambayo ililenga kuwahamasisha wayahudi waliokuwa Ulaya kurudi kwenye ardhi ya baba na babu zao, na hiyo ni baada ya Hitler kuwaua kwa maelfu Wayahudi waliokuwa wakiishi Ujerumani. Na Ujerumani, wakati huo ilikuwa ndiyo nchi yenye wayahudi wengi kuliko nchi yoyote.

Lakini pia ufahamu kuwa katika hiyo nchi ya Canaan ya kale, kulikuwepo na Wayahudi ambao tangu enzi za babu wa babu zao hawakuwahi kuondoka kwenye ardhi yao, nao waliishi pamoja na waarabu ambao leo wanaitwa Wapalestina.

Mtu mwenye dhamrra njema, ni lazima ahamasishe Waisrael na Wapalestina waishi kwa pamoja kama walivyoishi hapo kale. Chanzo cha matatizo yote ni Waarabu wanafiki wanaochochea na kuanzisha makundi ya kigaidi wakiwadanganya wapalestina kuwa watawasaidia kuwaangamiza Wayahudi, na wao watawale ardhi yote ya Israel, Gaza na West Bank. Na shetani mkubwa kwenye hili ni Iran. Falsafa ya Iran ni kwamba Wayahudi hawatakiwi kuwepo Duniani bali wanatakiwa kuangamizwa wapotee. Na ndiyo falsafa ya magaidi ya hamas na Hezbollah. Bila ya hawa hayawani, Wayahudi na Wapalestina wangeweza kuishi pamoja. Fikiria hata wewe, mtu akuambie kuwa wewe na wanao na ndugu zako, hamtakiwi kuwepo Duniani, mnatakiwa mteketezwe, hivi utakuwa na mahusiano ya namna gani na jitu kama hilo? Haya mahayawani yenye itikadi hizo ndiyo chanzo kikubwa cha maafa ya Wapalestina na Wayahudi, ya kila mara. Bila ya Wapalestina kuachana na hawa Waarabu wanafiki, wakaweza kusogeleana na Wayahudi kama ndugu, basi kamwe hizi jamii mbili hazitaonja amani.
Nimesoma ulichokiandika, nimekipokea ila nasikitika kukuambia sitokifanyia kazi, hapa anayeitaji kujielimisha ni wewe wala sio mimi
Sin chuki na wapelestina wala sina chuki na hao waisrael wa mchongo ila soon nitakuja na facts zilizoshiba nikuonyeshe kwamba hao unaodhani kua ni wayahudi sio wale waliotajwa kwenye bibilia
 
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
Umeandika kishabiki mno mkuu, umewapuuza mashabiki sawa, tukadhani wewe utajiweka pembeni na huo ushabiki, kumbe ni wale wale wala mabikira?

Lete tena upya hiyo historia ya Usrael

Siku nyingine uache unanaa!
 
Kwenye hii vita tutawabatiza kobazi wengi sana mnaojifanya ni waKristo kumbe sio.

Nia yenu ni kupotosha tusiiunge mkono.

Tuambie waIsrael halisi ni wapi mbali na hao magaidi wa kiarabu.
 
Kwenye hii vita tutawabatiza kobazi wengi sana mnaojifanya ni waKristo kumbe sio.

Nia yenu ni kupotosha tusiiunge mkono.

Tuambie waIsrael halisi ni wapi mbali na hao magaidi wa kiarabu.
Hamna tunawaelimisha watu ambao wanaliita taifa hili ambalo ushoga na mauaji ya watoto na watu wasio na hatia ni ruhusa kuwa ni taifa la Mungu.tunaondoa kutokujua
 
Hapo inaweza isiwe mlima Kilimanjaro au Mlima Kenya maana pia kuna sehemu inaongelea darini nk.. andiko linamaanisha kama upo mlimani usishuke kuingia mjini ni bora ubakie huko huko kwasababu mji umechafuka kwa mauaji na mateso ya kila aina na hata kukamatwa na kupelekwa utumwani, vile lengo la kuvamia hapo Jerusalem lilikuwa kuondoa waisrael wote na kutengeneza historia nyingine ambayo itaendana na kile wakitakacho ndiyo maana pia waliwatoa wa Misri wakale na kuwaweka Waarabu.
Hakika Waisrael wakale na wa Misri wakale walikuwa weusi.
 
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
Israel ni Jimbo la 51 la Marekani lililopo mashariki ya kati.
 
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
Na hao Waislamu wako wa Kipalestina maeneo ya Judea, Samaria na Gaza wanakalia pale kwa kutegemea UONGO wa Waislamu. Wewe ulipata kujua kuwa kisingizio cha kikubwa ni Temple Mount na Al Aqsa mosque? Nikujuze kuwa Mtume alikufa 638AD wakati Al Aqsa ilijengwa 681AD na Temple Mount 705AD. Wanachodai ati Mtume alikwenda Jerusalem halafu akapaishwa mbinguni ni uongo mtupu kwa nyakati hizo hakukuwa na kitu hapo isipokuwa magofu ya hekalu la Daudi.
Ulipata jua pia kuwa huo upalestina wao waliojipa ni njama za KGB ya Soviet Union wakishirikiana na Yassier Arafat, mwaka 1964? Lakini hawana hati miliki ya utaifa huo.
Ulipata kujua kuwa wayahudi ndiyo wakazi halali wa eneo hilo, ila Warumi waliwapeleka majority ya wayahudi hao uhamishoni mwaka wa 70AD, lakini hata hivyo wengine walibaki ktk nchi hiyo? Ulipata kujua kuwa licha ya minyanyaso waliyopata wayahudi, bado walikuja kuwa watu wenye ushawishi mkubwa kimaendeleo ktk bara la Arabia kiasi kwamba hata wakati Mtume Mohammad yupo wao ndiyo walikuwa wenye ushawishi mkubwa pale Madina? Mtume Mohammad chini ya Ushawishi wa Kitabu cha Shetani Allah ndiyo walikuja kuwachinja wayahudi pale Madina ktk ile iliyoitwa vita ya khaybar.
Je ulipata kujua kuwa wayahudi walianza kurudi kwa kuanzia wakati wa Ottoman Empire miaka ya 1,500 tena ikiwa ni move ya utawala huo wa kituruki baada ya kuona kuwA jamii hiyo ingemsaidia ktk kuleta maendeleo ya kiuchumi.
Sasa tukwambie kwa nini wakristo wako upande wa Israel hata ingawa jamii hiyo haimtambui yesu kuwa ndiye yule messiah.
Wayahudi licha ya kuwa hawamtambui Yesu, bado wao hawana shida na kuwepo kwa vielelezo vya kihistoria vya Yesu kuwa aliishi Jerusalem. Lakini hao waislamu wako wakiichukua ile nchi, wanafutilia mbali vielelezo vyote vya ukiristo. Wamefanya hivyo kwa Hekalu la Daudi, wamefanya hivyo kwa Mahekalu ya Wahindu kule Afghanistan wamefanya hivyo kwa Kanisa Kubwa kule Istanbul lenye historia ya Mtume Paulo ( Hagya Sophia ambayo wameigeuza msikiti) wamefanya hivyo wale ISIS kwenye makanisa kule Iraq na Syria.
Pia nikwambie kuwa Agenda ya Waislamu siyo kuwaangamiza tuu wayahudi, bali kitabu chao cha Shetani Allah kinawafundisha kuua wote wayahudi na wakiristo.
Hivyo wakuwaambia kuacha ushabiki wa Dini ni hao marafiki zako waabudu wa Shetani Allah. Namuita Allah ni shetani siyo kuwa ninatunga, bali Quran yao inambainisha hivyo
 
Mkuu sasa umeandika nini?
Uzi wako unaonyesha kama wewe ni mshabiki wa Wapalestina!
Kwa kifupi kama ulivyoanza hakuna anayefurahia kifo cha mwanadamu mwenzake.
Tuombe vita hivi viishe na amani ipatikane!
 
Rafiki hauja ujua unafiki wa waislamu wenzio. Kwa taarifa Ismail Hanniya alipouawa kule Iran chumbani kwake alikuwa akifanya nini na Board Guard wake saa 8 usiku kitandani?
Pia kwa taarifa yako Yassier Arafat alikuwa Shoga. Sikiliza hii video hapa chini

View: https://www.youtube.com/live/BWnRTpA4cPI?si=phz_wRD90RNYeVXD

Hata mm nilijuliza haniyeh amekufa na bodyguard chumbani walikua wanafanya nini?!
Unaweza kuta Hata ayatollah ni upinde
 
Leo nimeona niwachane, haswa wadau wa jukwaa hili kumekua na battle nyingi sana hususani linapokuja swala la vita kati ya wapalestina na waisrael.

Watu wamegeuza hivi vita kama utani wa simba na Yanga, yahani mamia kwa maelfu ya watu wanapoteza maisha lakini kuna watu wanaleta utani wa kitoto, ndugu zangu hakuna binadamu aliyezaliwa ni muisilamu au mkristo, sisi sote ni binadamu ikitokea mpalestina amekufa aliyekufa ni binadamu the same kwa waisrael, tuache ushabiki wa kipuuzi na tuangalie maisha ya watu sio vizuri kuona mamia ya watu wanakufa sababu ya interest za watu Fulani.

Hivi vita mmevifanya kua itikadi za kidini, waisilamu wanawaunga mkono wapalestina, wakristo wanawaunga mkono waisrael yahani ni upuuzi kwa kwenda mbele.

Ukweli ambao wengi hamuujui ni kwamba ilo taifa la waisrael ambalo mnasema ndio taifa teule la mungu halina uhusiano wowote na wale waisrael walioandikwa kwenye bibilia zenu, ili ni taifa la mchongo ambalo limeanzishwa na nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani kwa lengo la kuficha bahadhi ya vitu na kuwapumbaza watu wasiweze kujua waisrael halisi ni watu gani.

Kuna watu wapo serious kweli wakiamini kwamba hawa ni waisrael, kweli nimehamini lile andiko lisemalo watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa
mungu
ili ni taifa
bahadhi
nimehamini
wanahangamia
 
Sasa we mwenyewe kwenye andiko lako mbona umeonesha una ushabiki na mahaba ya dhati kwa wapalestina?
 
Alaumiwe Mwingereza kwa kinachoendelea Palestina na Israel, yeye ndo alikuwa mtawala wa hilo eneo lote...kaondoka kizembe bila kuweka mipaka na utaratibu unaoeleweka kati ya hao watu..matokeo yake ndo haya sasa
 
MIMI NILITEGEMEA UTALETA HISTORIA KAMILI YA TAIFA LA ISRAEL TUNAYOIONA SASA PIA ISRAEL YAKWENYE BIBLIA kumbe nawewe ni hewa tu
 
Back
Top Bottom