Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel

Nimesoma ulichokiandika, nimekipokea ila nasikitika kukuambia sitokifanyia kazi, hapa anayeitaji kujielimisha ni wewe wala sio mimi
Sin chuki na wapelestina wala sina chuki na hao waisrael wa mchongo ila soon nitakuja na facts zilizoshiba nikuonyeshe kwamba hao unaodhani kua ni wayahudi sio wale waliotajwa kwenye bibilia
 
Umeandika kishabiki mno mkuu, umewapuuza mashabiki sawa, tukadhani wewe utajiweka pembeni na huo ushabiki, kumbe ni wale wale wala mabikira?

Lete tena upya hiyo historia ya Usrael

Siku nyingine uache unanaa!
 
Kwenye hii vita tutawabatiza kobazi wengi sana mnaojifanya ni waKristo kumbe sio.

Nia yenu ni kupotosha tusiiunge mkono.

Tuambie waIsrael halisi ni wapi mbali na hao magaidi wa kiarabu.
 
Kwenye hii vita tutawabatiza kobazi wengi sana mnaojifanya ni waKristo kumbe sio.

Nia yenu ni kupotosha tusiiunge mkono.

Tuambie waIsrael halisi ni wapi mbali na hao magaidi wa kiarabu.
Hamna tunawaelimisha watu ambao wanaliita taifa hili ambalo ushoga na mauaji ya watoto na watu wasio na hatia ni ruhusa kuwa ni taifa la Mungu.tunaondoa kutokujua
 
 
Israel ni Jimbo la 51 la Marekani lililopo mashariki ya kati.
 
Na hao Waislamu wako wa Kipalestina maeneo ya Judea, Samaria na Gaza wanakalia pale kwa kutegemea UONGO wa Waislamu. Wewe ulipata kujua kuwa kisingizio cha kikubwa ni Temple Mount na Al Aqsa mosque? Nikujuze kuwa Mtume alikufa 638AD wakati Al Aqsa ilijengwa 681AD na Temple Mount 705AD. Wanachodai ati Mtume alikwenda Jerusalem halafu akapaishwa mbinguni ni uongo mtupu kwa nyakati hizo hakukuwa na kitu hapo isipokuwa magofu ya hekalu la Daudi.
Ulipata jua pia kuwa huo upalestina wao waliojipa ni njama za KGB ya Soviet Union wakishirikiana na Yassier Arafat, mwaka 1964? Lakini hawana hati miliki ya utaifa huo.
Ulipata kujua kuwa wayahudi ndiyo wakazi halali wa eneo hilo, ila Warumi waliwapeleka majority ya wayahudi hao uhamishoni mwaka wa 70AD, lakini hata hivyo wengine walibaki ktk nchi hiyo? Ulipata kujua kuwa licha ya minyanyaso waliyopata wayahudi, bado walikuja kuwa watu wenye ushawishi mkubwa kimaendeleo ktk bara la Arabia kiasi kwamba hata wakati Mtume Mohammad yupo wao ndiyo walikuwa wenye ushawishi mkubwa pale Madina? Mtume Mohammad chini ya Ushawishi wa Kitabu cha Shetani Allah ndiyo walikuja kuwachinja wayahudi pale Madina ktk ile iliyoitwa vita ya khaybar.
Je ulipata kujua kuwa wayahudi walianza kurudi kwa kuanzia wakati wa Ottoman Empire miaka ya 1,500 tena ikiwa ni move ya utawala huo wa kituruki baada ya kuona kuwA jamii hiyo ingemsaidia ktk kuleta maendeleo ya kiuchumi.
Sasa tukwambie kwa nini wakristo wako upande wa Israel hata ingawa jamii hiyo haimtambui yesu kuwa ndiye yule messiah.
Wayahudi licha ya kuwa hawamtambui Yesu, bado wao hawana shida na kuwepo kwa vielelezo vya kihistoria vya Yesu kuwa aliishi Jerusalem. Lakini hao waislamu wako wakiichukua ile nchi, wanafutilia mbali vielelezo vyote vya ukiristo. Wamefanya hivyo kwa Hekalu la Daudi, wamefanya hivyo kwa Mahekalu ya Wahindu kule Afghanistan wamefanya hivyo kwa Kanisa Kubwa kule Istanbul lenye historia ya Mtume Paulo ( Hagya Sophia ambayo wameigeuza msikiti) wamefanya hivyo wale ISIS kwenye makanisa kule Iraq na Syria.
Pia nikwambie kuwa Agenda ya Waislamu siyo kuwaangamiza tuu wayahudi, bali kitabu chao cha Shetani Allah kinawafundisha kuua wote wayahudi na wakiristo.
Hivyo wakuwaambia kuacha ushabiki wa Dini ni hao marafiki zako waabudu wa Shetani Allah. Namuita Allah ni shetani siyo kuwa ninatunga, bali Quran yao inambainisha hivyo
 
Mkuu sasa umeandika nini?
Uzi wako unaonyesha kama wewe ni mshabiki wa Wapalestina!
Kwa kifupi kama ulivyoanza hakuna anayefurahia kifo cha mwanadamu mwenzake.
Tuombe vita hivi viishe na amani ipatikane!
 
Hata mm nilijuliza haniyeh amekufa na bodyguard chumbani walikua wanafanya nini?!
Unaweza kuta Hata ayatollah ni upinde
 
mungu
ili ni taifa
bahadhi
nimehamini
wanahangamia
 
Sasa we mwenyewe kwenye andiko lako mbona umeonesha una ushabiki na mahaba ya dhati kwa wapalestina?
 
Alaumiwe Mwingereza kwa kinachoendelea Palestina na Israel, yeye ndo alikuwa mtawala wa hilo eneo lote...kaondoka kizembe bila kuweka mipaka na utaratibu unaoeleweka kati ya hao watu..matokeo yake ndo haya sasa
 
MIMI NILITEGEMEA UTALETA HISTORIA KAMILI YA TAIFA LA ISRAEL TUNAYOIONA SASA PIA ISRAEL YAKWENYE BIBLIA kumbe nawewe ni hewa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…