Watu wengi hawajui mambo mengi kuhusu Taifa la Israel

Ndiyo majira ya wapelesstina (wavamizi) kukaa pale Israel yameshatimia, wenye mji wanataka. mji wao, msikiti uondolewe na hekalui la Suleiman rijengwe,
 
Huwa naamini mtu ambae ana hoja huwa ana pointi za kutetea hoja yake, Ni vyema utupe pointi kwamba hao sio, na ambao ndio wako wapi
 
Naona umekuja na mambo mengi ila sidhani kama unafahamu ulichokiandika
 
Hoja yako ni ipi?Hawastahili kuexist?
 
Nilitegemea ungeingia deep kuwa taifa la israel liko wapi lile la kwenye bible
 
Umezunguka weee.. si ungesema tu wewe ni muislamu unatetea hao waarabu wenzio.
 
Ramli chonganishi,kwa hiyo wale ni wamakonde sio.
Tatizo linaanzia kwenye udini.
Kiufupi wale ni ndugu wa damu
 
Mkuu, hayo mambo mengi kuhusu Israel ndio umeishia hapa, au kuna muendelezo? 🤔
 
Oneni hiyo driving Licence ya huyo Muarabu aliyeishi kwenye koloni la Muingereza, ambapo ingawa waingereza waliamua kuiita the Holy Land Palestine kama walivyorithi toka kwa Warumi, bado waliitambua nchi hiyo kuwa THE LAND OF ISRAEL kwa maandishi ya Kiebrania ( "א׳׳י" )
 
Dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…