Watu wengi wa Dar es Salaam wanaishi maisha magumu mno

Watu wengi wa Dar es Salaam wanaishi maisha magumu mno

Atakuja mkimbizi wa mchongo na kusema dar wanapiga kazi za laana!
 
Kazi ni kazi afisa ili mradi tu inalipa ukiifanya ki uhakika naamini mambo yatajipa, kama kitu watu wana tipa kimentali Au kisomi iwe Kwa Boda au Kwa pipa.
 
Kazi ni kazi afisa ili mradi tu inalipa ukiifanya ki uhakika naamini mambo yatajipa, kama kitu watu wana tipa kimentali Au kisomi iwe Kwa Boda au Kwa pipa.
Unamwita afisa tena🤓🤓🤓
Yaah ni kweli mkuu kazi ni kazi tu
Kila kitu ni cha mpito
 
Back
Top Bottom