Utaula wa chuya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 495
- 1,344
Kiukweli huwa nafurahi sana nikiona raia wanachakarika kupambana kutafuta pesa, tutapumzika uzeeni huko tuutumie huu umri wa ujana kuweka mambo sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤓🤓🤓 Nasema intelligence Ana nini cha kusema mbona kama wamemgusa hivi...I just racked the author, and gave him a big lose.
👉Afu ndo najua Kama umebafilisha avatar
Kuna nchi hakuna kitu kinaitwa kibarua viwandani, All things are oparated by machines(Robotics machines)Halafu dunia inabidi Iwe hivyo,kwani wore tukiwa matajiri nani ataenda kuwa kibarua viwandani🤔
Mkuu nauza matikitii huku nanjilinjii🤓🤓🤓 Nasema intelligence Ana nini cha kusema mbona kama wamemgusa hivi...
Hapo sasa napata maana harisi ya neno mkanganyiko na kukanganyana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daah nimecheka sanaHuko hawangoji pakuche sijui wanalala saa ngapi!! Mtu anarudi saa Saba usiku home, saa tisa tena mzigoni
Anyway ni upambanaji wa mateso!!
Ccm wananchi hawana raha😂
Mkuu najua Hilo, ila nazungumzia Africa mzee. Ambayo wamiliki wa magari ya umeme hawafiki 30Kuna nchi hakuna kitu kinaitwa kibarua viwandani, All things are oparated by machines(Robotics machines)
Akitoka hapo amesema anahamia kwa walimu na hawa wa vikoba😂😂Bodaboda wamekushinda sasa unakuja kwa wakazi wa DSM
Ndiyo mkeshe mnahangaika?🤔🤔🤔🤔Tanzania nzima hakuna sehemu yenye maisha mazuri kuliko DSM.
Kinjumbi ndani ndani hukoooo🤓🤓🤓Mkuu nauza matikitii huku nanjilinjii
Hapa na masood kipanya yupo lkn still tunalia shida dah! Kweli penye miti mingi hakuna wajenzi.Mkuu najua Hilo, ila nazungumzia Africa mzee. Ambayo wamiliki wa magari ya umeme hawafiki 30
Au tuzungumzie kuhusu waafrika, wanaokula Milo 3 timilifu🤔🤔Hapa na masood kipanya yupo lkn still tunalia shida dah! Kweli penye miti mingi hakuna wajenzi.
Ehh, tena nasumbuana na panya au nyani wa asiliKinjumbi ndani ndani hukoooo🤓🤓🤓
Kuna mtu anasema watu wanalala saa saba wanaamka saa tisa. 😂😂😂Ehh, tena nasumbuana na panya au nyani wa asili
Kuna mtu anasema watu wanalala saa saba wanaamka saa tisa. 😂😂😂Ehh, tena nasumbuana na panya au nyani wa asili
Unamwita afisa tena🤓🤓🤓Kazi ni kazi afisa ili mradi tu inalipa ukiifanya ki uhakika naamini mambo yatajipa, kama kitu watu wana tipa kimentali Au kisomi iwe Kwa Boda au Kwa pipa.
Mkuu mi nalala saa 10, naamka saa 11 hukoo nanjilinjiiKuna mtu anasema watu wanalala saa saba wanaamka saa tisa. 😂😂😂