Watu wengi wa Dar es Salaam wanaishi maisha magumu mno

Watu wengi wa Dar es Salaam wanaishi maisha magumu mno

Hahaha mbeya hii ya Tanzania!?

Upo mbeya sehem gani mkuu ambapo hamteseki ?[emoji23][emoji23]

Nimefurahi kweli natamani niweke picha za mbeya kuanzia wamama wanavoteseka masokoni kuanzia sido Mwanjelwa nk.
 
Hahaha mbeya hii ya Tanzania!?
Upo mbeya sehem gani mkuu ambapo hamteseki ?[emoji23][emoji23]
Nimefurahi kweli natamani niweke picha za mbeya kuanzia wamama wanavoteseka masokoni kuanzia sido Mwanjelwa nk.
Wanatesekaje?
 
Mikoani watu wanamaisha magumu Sana...ukipita na bus unajionea umasikini...ufike Sasa mikoani hakuna mzunguko wa pesa kabisa..unajiuliza huyu anauza vitu hivi Kwa hizi Bei anaishije? Dar jiji la busy na biashara...watu wanawahi kuamka na kuchelewa kulala sio mikoani ikifika saa tatu usiku mitaa yote kimya kama watu wanapewa amri ya jeshi kulala mapema...Dar pesa ipo na maisha mazuri yapo .

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nini maana ya kuteseka?
Pia ni nani anayepima kujua haya ni mateso na yale sio mateso?

Tuanzie hapo kwanza.
 
ingekuwa suala la makazi pekee ningekubaliana na mtoa mada
Dar makaz bora ni shida kwa wengi
ila kufanya shughul za biashar usiku na mchana inachochea kuongeza kipato na haihusian na mtu kuwa na maisha magumu.

mmoja ya watu weny maisha mazuri Mtaan kwetu huwa sijui analala saa ngapi
Jamaa anaduka la ujenzi hapo utamkuta kuanzia saa 12 asbh had 12 jion
halaf tena saa 2 usik utamkuta kweny PUB yake had 6 usiku ukipita hapo utamkuta bado yupo anauza vinywaj akisaidiana na kijana aliemuajiri kuchoma chips na mishkaki
 
#Pesa hailali, ukilala ni wewe tu. Acha watu watafute pesa na ukiwakuta viti virefu usidai wanachezea pesa maana wanakula jasho lao.
 
Tanzania nzima hakuna sehemu yenye maisha mazuri kuliko DSM.
Mkuu siyo kweli,huko mikoani watu wanalima vyakula vyao Hadi mbogamboga,nyumba imezungukwa na miti ya matunda na jirani anachuma muda wowote atakao,nyumba za hadhi..tofauti na dar ambako kula ni shida na watu wanaishi kwenye nyumba za hovyo kwa Kodi kubwa
 
Habari!
Saa kumi usiku utashangaa kuona daladala ile kubwa Eacher imejaza watu na vifurushi vyao vya ujasiriamali. Mwingine kabeba utumbo wa ng'ombe, mwingine, kiroba cha ndizi, mwingine box la dagaa wabichi, mwingine ana kiroba cha embe, mwingine kiroba cha tembele, mwingine mchicha.

Jamani wananchi wanateseka.

Dhima ya kupost usiku! Wapishi wa JF
 
Habari!

Saa kumi usiku utashangaa kuona daladala ile kubwa Eacher imejaza watu na vifurushi vyao vya ujasiriamali.

Mwingine kabeba utumbo wa ng'ombe, mwingine, kiroba cha ndizi, mwingine box la dagaa wabichi, mwingine ana kiroba cha embe, mwingine kiroba cha tembele, mwingine mchicha.

Jamani wananchi wanateseka.
Si si M, Si si M, Si si M!
 
Tanzania nzima hakuna sehemu yenye maisha mazuri kuliko DSM.
Napingana na wewe ,mm ni mwanadsm ila nipo mkoani kikazi!! DSM maisha ni magumu Kwa watu wengi!!! Dar Kuna mtu Hana uwezo wa kununua kilo ya beef ya ngombe mpaka ahongwe wakati wa kampeni za CCM Nina uhakika!!! Dar watu ni masikini Sana wanajututumua tuuu
 
Bodaboda wamekushinda sasa unakuja kwa wakazi wa DSM
Hii sio kazi
20230307_203325.jpg
 
Napingana na wewe ,mm ni mwanadsm ila nipo mkoani kikazi!! DSM maisha ni magumu Kwa watu wengi!!! Dar Kuna mtu Hana uwezo wa kununua kilo ya beef ya ngombe mpaka ahongwe wakati wa kampeni za CCM Nina uhakika!!! Dar watu ni masikini Sana wanajututumua tuuu
Wewe si mkazi wa Dar.

Hakuna sehemu watu wanakula milo 3 kama Dsm, huko vijijini ni tabu tu.
Nyama zenyewe mnakula za wanyama wagonjwa
 
Habari!

Saa kumi usiku utashangaa kuona daladala ile kubwa Eacher imejaza watu na vifurushi vyao vya ujasiriamali.

Mwingine kabeba utumbo wa ng'ombe, mwingine, kiroba cha ndizi, mwingine box la dagaa wabichi, mwingine ana kiroba cha embe, mwingine kiroba cha tembele, mwingine mchicha.

Jamani wananchi wanateseka.
Ni kweli kila route hali ni hio na kila manispaa ndio hali ilivyo nchi nzima
 
Back
Top Bottom