IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Hilo ni kweli ingawa si nchi zote africa wananchi wake wana hali ngumu ya utafutaji kama ilivyokwa Tanzania..Au tuzungumzie kuhusu waafrika, wanaokula Milo 3 timilifu🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ni kweli ingawa si nchi zote africa wananchi wake wana hali ngumu ya utafutaji kama ilivyokwa Tanzania..Au tuzungumzie kuhusu waafrika, wanaokula Milo 3 timilifu🤔🤔
Ahahahahahah yaani kazi kazi dadekMkuu mi nalala saa 10, naamka saa 11 hukoo nanjilinjii
Natokea mkoani pia mie nilitaka kujua mkoa ambao watu hawateseki.Mikoani hawalali kwenye mabanda ya mbwa
Dar pia usafiri unachangia mtu wa saa 3 anafika kwake saa 5Siyo dar tu ata huku mikoan ni hivyohivyo, mim naishi karibu na mfanyakaz wa serikali anaamkaga saa 9 anarudi saa 3 usiku
Mkuu ila mi huwa naona dar Kuna fursa na opportunities nyingi ukiwa na jicho la kuona.Hilo ni kweli ingawa si nchi zote africa wananchi wake wana hali ngumu ya utafutaji kama ilivyokwa Tanzania..
Samahani mkuu, unaishi dar🙉🙊Dar pia usafiri unachangia mtu wa saa 3 anafika kwake saa 5
Hao / Hawa Watu wanaongozwa na Mimi GENTAMYCINE na ole wenu mnibishie katika hili mtanitambua.Habari!
Saa kumi usiku utashangaa kuona daladala ile kubwa Eacher imejaza watu na vifurushi vyao vya ujasiriamali. Mwingine kabeba utumbo wa ng'ombe, mwingine, kiroba cha ndizi, mwingine box la dagaa wabichi, mwingine ana kiroba cha embe, mwingine kiroba cha tembele, mwingine mchicha.
Jamani wananchi wanateseka.
usiombe kuketi siti 1 na mtu alie beba utumbo wa ng,ombeHabari!
Saa kumi usiku utashangaa kuona daladala ile kubwa Eacher imejaza watu na vifurushi vyao vya ujasiriamali. Mwingine kabeba utumbo wa ng'ombe, mwingine, kiroba cha ndizi, mwingine box la dagaa wabichi, mwingine ana kiroba cha embe, mwingine kiroba cha tembele, mwingine mchicha.
Jamani wananchi wanateseka.
Ndio mkuu..Samahani mkuu, unaishi dar🙉🙊
Kuna nini...? Unataka usemaje...? 😂😂😂🤓🤓🤓usiombe kuketi siti 1 na mtu alie beba utumbo wa ng,ombe
Nina mpango wa kuja huko mkuu, je nakaribishwaNdio mkuu.
MbeyaNatokea mkoani pia mie nilitaka kujua mkoa ambao watu hawateseki.
Unakaribishwa mkuu kwa mji wa heka heka🤓🤓🤓Nina mpango wa kuja huko mkuu, je nakaribishwa
wanakesha kutafuta kodi ya nyumba na hela ya kula na nauli tu ukiwagusa midomo matusi kama yote dar kwa mtu ambae hajaekeza mtumwa sana kuliko mtumwa shambaba la mpunga mbinguKibaya zaidi hizo purukushani zote wengi wao wanafanyia tumbo tu
Mkuu usije niacha kwenye stendi yenu, ntakutangaza aiseeUnakaribishwa mkuu kwa mji wa heka heka🤓🤓🤓
Wanajifariji na yale magorofa,huwa wanaona kama ya kwao,utasikia we unakaaje mkoani wakati hata hakuna magorofa ya kueleweka....Habari!
Saa kumi usiku utashangaa kuona daladala ile kubwa Eacher imejaza watu na vifurushi vyao vya ujasiriamali. Mwingine kabeba utumbo wa ng'ombe, mwingine, kiroba cha ndizi, mwingine box la dagaa wabichi, mwingine ana kiroba cha embe, mwingine kiroba cha tembele, mwingine mchicha.
Jamani wananchi wanateseka.
Posho za vibarua kiwandani zinauwa nguvu kazi za vijana wengi hapa nchini lkn akija mgeni analipwa hela nyingi vivo hivyo hata kwenye idara nyingine mzawa analipwa hela ndogo sana ukilinganisha na majukumu aliyopatiwa ila wageni sasa hulipwa hela nyingi mno lkn hii serikali yetu imefumbia macho kabisa hili suala, Ndio maana vijana wengi bado wanawaza kwenda nchi za mbali ili kujipatia kipato zaidi..Mkuu ila mi huwa naona dar Kuna fursa na opportunities nyingi ukiwa na jicho la kuona.
Maana kuanzia issue za viwandani,media na hata most dominating deals ziko hapo
Amna mkuu yaani sa hivi hamnaga hizo kabisa.. 🤓🤓🤓🤓🤓Mkuu usije niacha kwenye stendi yenu, ntakutangaza aisee