Utaula wa chuya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 495
- 1,344
๐ค๐ค๐ค Nasema intelligence Ana nini cha kusema mbona kama wamemgusa hivi...I just racked the author, and gave him a big lose.
๐Afu ndo najua Kama umebafilisha avatar
Kuna nchi hakuna kitu kinaitwa kibarua viwandani, All things are oparated by machines(Robotics machines)Halafu dunia inabidi Iwe hivyo,kwani wore tukiwa matajiri nani ataenda kuwa kibarua viwandani๐ค
Mkuu nauza matikitii huku nanjilinjii๐ค๐ค๐ค Nasema intelligence Ana nini cha kusema mbona kama wamemgusa hivi...
Hapo sasa napata maana harisi ya neno mkanganyiko na kukanganyana ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ daah nimecheka sanaHuko hawangoji pakuche sijui wanalala saa ngapi!! Mtu anarudi saa Saba usiku home, saa tisa tena mzigoni
Anyway ni upambanaji wa mateso!!
Ccm wananchi hawana raha๐
Mkuu najua Hilo, ila nazungumzia Africa mzee. Ambayo wamiliki wa magari ya umeme hawafiki 30Kuna nchi hakuna kitu kinaitwa kibarua viwandani, All things are oparated by machines(Robotics machines)
Akitoka hapo amesema anahamia kwa walimu na hawa wa vikoba๐๐Bodaboda wamekushinda sasa unakuja kwa wakazi wa DSM
Ndiyo mkeshe mnahangaika?๐ค๐ค๐ค๐คTanzania nzima hakuna sehemu yenye maisha mazuri kuliko DSM.
Kinjumbi ndani ndani hukoooo๐ค๐ค๐คMkuu nauza matikitii huku nanjilinjii
Hapa na masood kipanya yupo lkn still tunalia shida dah! Kweli penye miti mingi hakuna wajenzi.Mkuu najua Hilo, ila nazungumzia Africa mzee. Ambayo wamiliki wa magari ya umeme hawafiki 30
Au tuzungumzie kuhusu waafrika, wanaokula Milo 3 timilifu๐ค๐คHapa na masood kipanya yupo lkn still tunalia shida dah! Kweli penye miti mingi hakuna wajenzi.
Ehh, tena nasumbuana na panya au nyani wa asiliKinjumbi ndani ndani hukoooo๐ค๐ค๐ค
Kuna mtu anasema watu wanalala saa saba wanaamka saa tisa. ๐๐๐Ehh, tena nasumbuana na panya au nyani wa asili
Kuna mtu anasema watu wanalala saa saba wanaamka saa tisa. ๐๐๐Ehh, tena nasumbuana na panya au nyani wa asili
Unamwita afisa tena๐ค๐ค๐คKazi ni kazi afisa ili mradi tu inalipa ukiifanya ki uhakika naamini mambo yatajipa, kama kitu watu wana tipa kimentali Au kisomi iwe Kwa Boda au Kwa pipa.
Mkuu mi nalala saa 10, naamka saa 11 hukoo nanjilinjiiKuna mtu anasema watu wanalala saa saba wanaamka saa tisa. ๐๐๐