Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Ndo mpo hivyo, table manner kwenu mwiko!
 
Kama wameendelea kwenye uhuru na haki za binadam mbona wanawalazimisha wengine wafate tamaduni zao huoni ni kinyume na haki za binadam
Hakuna mtu aliyelazimishwa kukubali tamaduni.

Ghana wamepitisha sheria za kupinga ushoga wiki hii. Uganda wamepitisha.

Tatizo nyie mnataka misaada yao halafu hapo hapo mnajimwambafy kuwa hamtaki values zao za uhuru, kwa style ya "baniani mbaya, kiatu chake dawa".

Wakiwapiga chini kwenye misaada mnalialia kwamba mnalazimishwa kufuata values zao.

Ni weakness zenu wenyewe tu huko.
 
Misaada inawasaidia watawala wananunulia mabus ,malori na Sio wananchi, wananchi wameachwa wapambane na hali zao
 
Observation ya muanzisha mada ina ukweli mwingi maana hata mimi nimeshayaona yote hayo huku Usukumani.

Ila, nadhani ni suala la sehemu nyingi nchini. Sidhani kama ni suala la kanda ya ziwa tu.

Na suala la usafi ni kwa nchi nzima. Fanya observation kila uendapo nchini utagundua kuwa suala la usafi ni changamoto kubwa kwa Watanzania.

Wewe unayejali usafi watakuona unajifanya una mambo ya Kizungu [whatever that is].

2016 nilikutana na mdada mmoja wa mjini. Akaniona natumia ‘hand sanitizer’ kusafishia mikono.

Kwa akili yake finyu akaona kuwa mimi nina mambo ya ‘Kizungu’ kwa kusafisha mikono na sanitizer.

Fast forward mpaka 2020 na mbele, matumizi ya sanitizer sasa ni jambo la kawaida kabisa katika sehemu nyingi tu nchini. Kwa mtazamo wake na akili yake finyu, si ajabu bado anaona matumizi ya sanitizer ni Uzungu.

Yaani mtu anahusisha usafi na Uzungu! Ni akili ya aina gani hiyo?

Kwa hiyo kwa ujumla, suala la usafi kwa Watanzania wengi ni kama vile ni jambo geni.

Kuna watu wanauthamini uchafu kuliko usafi.

Ni fikra duni sana.
 
Mimi nikisemaga kuwa wasukuma ni watu wa hovyo huwa naonekana mbaguzi, hao watu waanzishiwe kule Mwanza chuo cha ustaarabu kuwe na kozi za namna ya kuongea, kula,kuvaa na namna ya kuishi na jamii zingine. Wasukuma ni watu wa hovyo sana bora masai
Wachaga endeleeni kulala na Binti zenu
 

Umesahau ile ya kunawa mikono kwenye chombo kimoja cha maji,daah disgusting.
 
Sisi watu wa kusini tulishaga staarabika Kitambo sana,hakuna mambo ya kushare kila mtu na sahani yake.
 
Si ungeenda moja kwa moja kwamba ni wasukuma? Ukisema kanda ya ziwa ujue unahusisha Wajita, Wakurya, Wahangaza, Wahaya, Wakerewe, Wazanaki, Wasukuma....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Ngoja waje akina Ngosha wakutolee povu.
 

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Dah kuna boss mkubwa tuu ila anavyotafuna jamani mpk aibu...yani anaongea na machakula mdomoni mpk kero...ni msukuma og...wasukuma waliosoma seminar wakapata mafunzo ya kule hawapo hivyo..seminar inawashep watu
 
Pana Lile kabila ugali wa moto unaliwa kwenye sufuria kubwa pamoja na sufuria ya mboga Kama camp hivi.
Ukikata tonge ukaachia kisa unaungua mwenzako anapita na tonge lako wao mikono Yao imekomaa.
Usipokuwa makini utaambulia maji ya kunawa tu
Kuna ule ugali wa kwenye chungu wamoto muda wote watu wanakula wewe kila ukigusa wamoto unashtuka msosi umeshaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…