Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Uwiii huu uzi jamani🤣🤣🤣Kuna mseng.e mmoja tumealikwa sehemu, wao ndiyo wageni waheshima.
Tukawekewa msosi na vibakuli vya mbuzi, kyuma mmoja akabeba kibakuli akapiga supu kisha akakirudisha watu wakaendelea kula hiyo supu, mi nilishiba ghafla
Kama namuona hechikeiPicha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.
Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.
Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.
USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.
Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Misaada inawasaidia watawala wananunulia mabus ,malori na Sio wananchi, wananchi wameachwa wapambane na hali zao
Hii changamoto nilikua nikikutana nayo nawahi kunawa mimi. Nikishakula chakula nasindikiza na antibiotics.Umesahau ile ya kunawa mikono kwenye chombo kimoja cha maji,daah disgusting.
Utolewa na mfumoHilo nibm tatizo lako wewe uliyeshindwa kuwatoa hao viongozi.
Totally off point. Logical non sequitur fallacy.
Bro. Kwanza nitangaze Mimi ni mtu WA Kanda ya Ziwa na naishi Kanda ya ziwa. Ila nimebahatika kutembea nchini almost Mikoa 23.Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.
Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.
Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.
USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.
Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
It's culture na mie napenda kula sahani Moja na ndugu zangu. Siwezi kula sahani yangu pekee yangu kwenye sherehe. Pia ni security dhidi ya Hila.Mimi ni wa huku huku Kanda ya ziwa tena msukuma, usemalo ni kweli 100%
Hembu elezea kula sahani moja kunaletaje upendo, undugu na ujamaa zaidi.Bro. Kwanza nitangaze Mimi ni mtu WA Kanda ya Ziwa na naishi Kanda ya ziwa. Ila nimebahatika kutembea nchini almost Mikoa 23.
Kuna wakati niliwahi fikri kula chakula sahani moja ni ushamba, ukale na uchafu.
Leo nimekua nimerudi huko nimejifunza kula sahani moja huleta upendo, undugu na ujamaa zaidi. Huwezi amini kazini kwangu huwa tunanunua chakula kingi tuna hanganya Kisha tunaanza kula kwa pamoka kwa mikono ndo tunasikia raha zaidi.
Utu uzima unamambo haha.
Kuna passion huwezi elewa. Just Imagine mkaa sahani moja kula na nduguzo bila kujali hadhi za elimu, vyeo ama uchumi. Hii huondoa mipaka kati ya ndugu. Kesho ama baada ya mlo munaweza kuteta mambo bila hofu na mipaka.Hembu elezea kula sahani moja kunaletaje upendo, undugu na ujamaa zaidi.
Wewe jifunze herufi kwanza.Utolewa na mfumo
Vijijini kunywa pombe pekeyako ni hatari sana kwa uhai wako, bora wote mnywe chombo kimoja, ila uchafu jamani[emoji24][emoji24]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana yake maana wanachangia uchafu kuutumiaNa ndio maana kikichapa kipindupindu, raia wanaogida matapu tapu huwa wanaumwa kwa pamoja...
Hahaha. Kwa ujumla jamii zetu karibu zote ustaarabu katika kula changamotoWahaya ndio kabila lenye table manners za hovyo tz nzima.
Wachina je? 😂😂 wapuuzi wanakula ovyo. Nilikua sitaki kula naoWanaigeria nao ulaji waoo hapana aiseee🙌🙌
Kujamba ilipaswa kuwa jambo la kawaida. Kwa wenzetu ni kitu cha kawaida. Sisi ndiyo tunaona jambo la ajabu. Hatuoni ajabu uchafu tunaona ajabu kujamba.Pia Pana hili la kujamba mbele za watu wengine uenda faragha wengine wanapumua mbele ya watu wanasema eti ni suna ipi ni sahihi.
Kwangu tendo la kujamba mbele za watu ni kitendo kichafu na Cha aibu na kukutambulisha jinsi ulivyo primitives.
Tako limeingiaje hapo🤣🤣Hawajui kula, je binti Yao unamuonaje kwenye idara zote tatu?
1.Yaani upishi
2. Huduma nyeti pamoja na urembo na tako.
3. Utafutaji....