Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Kuna mseng.e mmoja tumealikwa sehemu, wao ndiyo wageni waheshima.
Tukawekewa msosi na vibakuli vya mbuzi, kyuma mmoja akabeba kibakuli akapiga supu kisha akakirudisha watu wakaendelea kula hiyo supu, mi nilishiba ghafla
Uwiii huu uzi jamani🤣🤣🤣
 
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Kama namuona hechikei
 
Misaada inawasaidia watawala wananunulia mabus ,malori na Sio wananchi, wananchi wameachwa wapambane na hali zao

Hilo nibm tatizo lako wewe uliyeshindwa kuwatoa hao viongozi.

Totally off point. Logical non sequitur fallacy.
 
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Bro. Kwanza nitangaze Mimi ni mtu WA Kanda ya Ziwa na naishi Kanda ya ziwa. Ila nimebahatika kutembea nchini almost Mikoa 23.

Kuna wakati niliwahi fikri kula chakula sahani moja ni ushamba, ukale na uchafu.

Leo nimekua nimerudi huko nimejifunza kula sahani moja huleta upendo, undugu na ujamaa zaidi. Huwezi amini kazini kwangu huwa tunanunua chakula kingi tuna hanganya Kisha tunaanza kula kwa pamoka kwa mikono ndo tunasikia raha zaidi.

Utu uzima unamambo haha.
 
Bro. Kwanza nitangaze Mimi ni mtu WA Kanda ya Ziwa na naishi Kanda ya ziwa. Ila nimebahatika kutembea nchini almost Mikoa 23.

Kuna wakati niliwahi fikri kula chakula sahani moja ni ushamba, ukale na uchafu.

Leo nimekua nimerudi huko nimejifunza kula sahani moja huleta upendo, undugu na ujamaa zaidi. Huwezi amini kazini kwangu huwa tunanunua chakula kingi tuna hanganya Kisha tunaanza kula kwa pamoka kwa mikono ndo tunasikia raha zaidi.

Utu uzima unamambo haha.
Hembu elezea kula sahani moja kunaletaje upendo, undugu na ujamaa zaidi.
 
Hembu elezea kula sahani moja kunaletaje upendo, undugu na ujamaa zaidi.
Kuna passion huwezi elewa. Just Imagine mkaa sahani moja kula na nduguzo bila kujali hadhi za elimu, vyeo ama uchumi. Hii huondoa mipaka kati ya ndugu. Kesho ama baada ya mlo munaweza kuteta mambo bila hofu na mipaka.

Hii ni mila nzuri sana huondoa mipaka kati ya wasomi, masikini na matajiri. Wa mjini na vijijini.
 
Acha ushamba wewe, kanda ya ziwa kuna makabila mengi pengine kuliko kanda yoyote , tamaduni na tabia ziko tofauti kabisa.

Unapowasilisha hoja yako taja kabila husika, kanda ya ziwa sio mkoa kijana
 
Pia Pana hili la kujamba mbele za watu wengine uenda faragha wengine wanapumua mbele ya watu wanasema eti ni suna ipi ni sahihi.
Kwangu tendo la kujamba mbele za watu ni kitendo kichafu na Cha aibu na kukutambulisha jinsi ulivyo primitives.
Kujamba ilipaswa kuwa jambo la kawaida. Kwa wenzetu ni kitu cha kawaida. Sisi ndiyo tunaona jambo la ajabu. Hatuoni ajabu uchafu tunaona ajabu kujamba.
 
Hawajui kula, je binti Yao unamuonaje kwenye idara zote tatu?
1.Yaani upishi
2. Huduma nyeti pamoja na urembo na tako.
3. Utafutaji....
Tako limeingiaje hapo🤣🤣
 
Back
Top Bottom