Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Unachekesha! Mtu ambaye unazama uvinza unaweza kuona hicho kinyaa!
 
Dah kuna boss mkubwa tuu ila anavyotafuna jamani mpk aibu...yani anaongea na machakula mdomoni mpk kero...ni msukuma og...wasukuma waliosoma seminar wakapata mafunzo ya kule hawapo hivyo..seminar inawashep watu
Ukithubutu kumuambia basi ujue kibarua kitaota nyasi,akishindwa basi figisu zitakuhusu.
 
Kanda ya ziwa tuna taratibu zetu hata kwenye kula samaki kuna miongozo tuliyofundishwa tungali wadogo, hata ukataji wa kuku au uchunaji na ukataji wa nyama ya ng'ombe, mbuzi na kondoo sasa hayo unayoyasema labda ulikuwa kwa jamii yako yenye table manners za ajabu ajabu.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Weka hapa huo utaratibu kama una manufaa na jamii nyingine ijifunze.
 
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu,kweli kikaletwa nikala. Japo maneo ya chichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndo nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndo kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku.Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndo wanaunafuu.

USHAURI:Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu.Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Husi tumie sample ya familia moja ku generalize kuwa watu wote wa kanda ya ziwa wako hivyo.
 
Na Wake zenu wanawala hivyo hivyo.. wanakata tonge huku wanakata tonge kule.
 
Kila mtu anafanya yake kwa namna alivyo na hulka yake...hatufanani kulingana na makabila au kanda zetu,kila aina ya watu ina mambo yake,hata kwenu kuna kituko chake japo huwezi kukisem
Sawa kila jamii inatamaduni zake,ila zinazohusi ulaji ni mtambuka,jamii isiyoheshimu usafi wakati wa kura wanaitwa hawajastaarabika,ustaarabu unaanzia kwnye makulaji ndiko kwngine kunafuata!!
 
Halafu wewe jamaa uache mambo yako,yani mambo ya wasukuma unatuhusisha na sisi watu wa Mara.
Kama ilikuwa unataka kuwasema wao kupitia mgongo wa watu wa Mara ukome.
Usipanick mkuu.Hapa tunaeleweshana tu namna ya kuishi pamoja kama taifa.Sio usukumani tu wenye hiyo tabia.Ni sehemu kubwa ya kanda ya ziwa wengi wapo hivyo.Usipende kutetea ujinga eti kisa ni ni kwenu.Hata kwenye kabila langu kuna madhaifu pia.Ila haya ya kula yamejaa sana kanda ya ziwa.
 
Ukisema Kanda ya ziwa unakosea make mi niliwahi tembelea Bukoba niliona maajabu waliweka chakula kwenye sahani Moja kubwa.Kipindi tunakula unaeza kudhani Kila mtu anakula sahani yake nilishangaa sana ule ustaarabu sijuwi wamefundishana vipi aisee.Halafu mtoto haruhusiwi kutazama watu wazima usoni wakiwa wanakula.Ukiinama kwenye sahani usiinuwe uso kuanza mbambamba.
 
Ukisema Kanda ya ziwa unakosea make mi niliwahi tembelea Bukoba niliona maajabu waliweka chakula kwenye sahani Moja kubwa.Kipindi tunakula unaeza kudhani Kila mtu anakula sahani yake nilishangaa sana ule ustaarabu sijuwi wamefundishana vipi aisee.Halafu mtoto haruhusiwi kutazama watu wazima usoni wakiwa wanakula.Ukiinama kwenye sahani usiinuwe uso kuanza mbambamba.
 
Mpaka Karne hii wahutu hawana utaratibu wa kila MTU na bakuli lake la mboga?
Kula bakuli moja la mboga siyo shida ndo uafrika,nadhani kutokana na umasikini pia wa vyombo ila tatizo ni unakulaje?? Wengine tilifundishwa tangu utotoni namna yakula vzr unapokuwa na sahani ya peke yako au unaposhare na wenzio,unafundishwa namna ya kukata tonge,huwwz vuka upande wako ukakate tonge upande wa mwezio,au kuweka kidole ndani ya bakuli ni mwiko, etc
 
Pana Lile kabila ugali wa moto unaliwa kwenye sufuria kubwa pamoja na sufuria ya mboga Kama camp hivi.
Ukikata tonge ukaachia kisa unaungua mwenzako anapita na tonge lako wao mikono Yao imekomaa.
Usipokuwa makini utaambulia maji ya kunawa tu

Duuh watu wa wap hao mkuu
 
Ukisema Kanda ya ziwa unakosea make mi niliwahi tembelea Bukoba niliona maajabu waliweka chakula kwenye sahani Moja kubwa.Kipindi tunakula unaeza kudhani Kila mtu anakula sahani yake nilishangaa sana ule ustaarabu sijuwi wamefundishana vipi aisee.Halafu mtoto haruhusiwi kutazama watu wazima usoni wakiwa wanakula.Ukiinama kwenye sahani usiinuwe uso kuanza mbambamba.
Kuna watu wamesema huko hakuna table manners,, mi nachojua kagera hasa kulipo na wahaya table manners ni kitu cha msingi na cha kwanza mtoto anafundishwa labda mambo yawe yamebadilika miaka hii,
Itakuwa walikutana na wahangaza maana hao tabia zao nyingi ni kama watutsi wahutu na waha
 
Hawajui kula, je binti Yao unamuonaje kwenye idara zote tatu?
1.Yaani upishi
2. Huduma nyeti pamoja na urembo na tako.
3. Utafutaji....
Msukuma kwenye kipengere 1 na 2 muondoe yeye bidii ya kazi hapo sawa
 
Kuna watu wamesema huko hakuna table manners,, mi nachojua kagera hasa kulipo na wahaya table manners ni kitu cha msingi na cha kwanza mtoto anafundishwa labda mambo yawe yamebadilika miaka hii,
Itakuwa walikutana na wahangaza maana hao tabia zao nyingi ni kama watutsi wahutu na waha
Wamewasingizia ila wahaya kwenye kula lile kabila Lina adabu sana.
 
Back
Top Bottom