IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Elezea kwa mifano hai nini kilikukuta baada ya kuwa na mwanamke mwenye fizi nyeusi... Ili tukuelewe zaidi...Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elezea kwa mifano hai nini kilikukuta baada ya kuwa na mwanamke mwenye fizi nyeusi... Ili tukuelewe zaidi...Sawa
Haya ni matatzo ya imani.Watu wa zamani walikuwa na uwezo wa kuusoma miwili wa mwanadamu kama walivyo weza kusoma hali ya hewa ya nchi na tabia nchi kwa ujumla.
Mfano ( hii nina uhakika mayo kwa asilimia mia kwa sababu nime I experience) wanawake wanaotoka jasho kwenye pua huwaga wana mapenzi na upendo wa ukweli ni waaminifu kupita maelezo (.kama.Mungu amekujaalia mwanamke mwenye sifa hii basi usimzingue aisee) in addition to that wanakuwaga na nyota ya mafanikio kwa mwanaume wanae kuwa nae kwenye mahusiano.
Back kwa watu wenye fizi nyeusi.
Watu wenye fizi nyeusi wengi wao wana sifa moja kuu. WANA ROHO MBAYA SANA.
Wengi wao ni wachawi, washirikina, wachoyo, wafitini nakadhalika.
Mbaya zaidi ni mtu huyo anapokuwa;
1. Wa jinsia ya kike.
2. Ngozi ya rangi nyeusi ( dark skinned)
Kama ulikuwa hujui mbaroko ndo nakujulisha.
Usije sema hukujua
Take note.
Nimeishi na Mwanaidi Waro, tangu mwaka 2000 ana fizi nyeusi zake hazijawahi kunipa mashaka yoyote, she ever smiles and cheers in my appearence before her, ana mapokezi mazuri nirudipo nyumbani, ana ushauri mzuri nikoseapo jambo, sasa najiuliza Mwanaidi ananifanyia maigizo?SASA watu wenye fizi nyeusi wengi wao wanakuwaga na husda na chuki hawapendi maendeleo ya watu wengine
Hilo tatizo ni kwa upande wako...Fikra zako zimewatafisiri tofauti na kwa ubaya..Siwezi kuwa na.mwanamke mwenye fizi nyeusi. Fizi nyeusi is an automatic switch off to me
Mkuu,Afrika hii kazi tunayo kmmk [emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Kama una fizi nyeusi uniambie kabisa ili inache kukutongoza. [emoji3]Kaazi kweli kweli
Fizi zangu na meno yangu ni fuluuu white 😅Kama una fizi nyeusi uniambie kabisa ili inache kukutongoza. [emoji3]