Watu wenye fizi za rangi nyeusi wana roho mbaya

Watu wenye fizi za rangi nyeusi wana roho mbaya

Elezea kwa mifano hai nini kilikukuta baada ya kuwa na mwanamke mwenye fizi nyeusi... Ili tukuelewe zaidi...
Siwezi kuwa na.mwanamke mwenye fizi nyeusi. Fizi nyeusi is an automatic switch off to me
 
Watu wa zamani walikuwa na uwezo wa kuusoma miwili wa mwanadamu kama walivyo weza kusoma hali ya hewa ya nchi na tabia nchi kwa ujumla.

Mfano ( hii nina uhakika mayo kwa asilimia mia kwa sababu nime I experience) wanawake wanaotoka jasho kwenye pua huwaga wana mapenzi na upendo wa ukweli ni waaminifu kupita maelezo (.kama.Mungu amekujaalia mwanamke mwenye sifa hii basi usimzingue aisee) in addition to that wanakuwaga na nyota ya mafanikio kwa mwanaume wanae kuwa nae kwenye mahusiano.


Back kwa watu wenye fizi nyeusi.

Watu wenye fizi nyeusi wengi wao wana sifa moja kuu. WANA ROHO MBAYA SANA.

Wengi wao ni wachawi, washirikina, wachoyo, wafitini nakadhalika.

Mbaya zaidi ni mtu huyo anapokuwa;

1. Wa jinsia ya kike.

2. Ngozi ya rangi nyeusi ( dark skinned)

Kama ulikuwa hujui mbaroko ndo nakujulisha.

Usije sema hukujua


Take note.
Haya ni matatzo ya imani.

Hizi pia ni athari/madhara ya idea ya Mungu.

Kila kitu kinataka kutafsiriwa kiimani tu, na mwisho wa siku unasababisha uchochezi.

Unasababisha ubaguzi na watu wa sifa hizo watengwe.

Tusiishi kwa imani, hakuna uhusiano wa sifa za kimwili (maumbile) na tabia ya mtu.
 
SASA watu wenye fizi nyeusi wengi wao wanakuwaga na husda na chuki hawapendi maendeleo ya watu wengine
Nimeishi na Mwanaidi Waro, tangu mwaka 2000 ana fizi nyeusi zake hazijawahi kunipa mashaka yoyote, she ever smiles and cheers in my appearence before her, ana mapokezi mazuri nirudipo nyumbani, ana ushauri mzuri nikoseapo jambo, sasa najiuliza Mwanaidi ananifanyia maigizo?
 
Wewe unataka watanzania tuanze baguana sababu ya fizi itakuwa kichekesho😄😄
 
Back
Top Bottom