Watu wenye fizi za rangi nyeusi wana roho mbaya

 
Tangu mwaka 2000?.aisee una moyo
 
Fikra zangu zipo sahihi katika hilo
Sasa na wale mabinti kutoka senagal wanaoweka weusi(Tattooed) kwenye fizi(gums) ili kuvutia wanaume nao tuseme wanaroho mbaya kama ulivyo sema...Think manne..Akili mtu wangu!
 
Sasa na wale mabinti kutoka senagal wanaoweka weusi(Tattooed) kwenye fizi(gums) ili kuvutia wanaume nao tuseme wanaroho mbaya kama ulivyo sema...Think manne..Akili mtu wangu!
Umeshasema wameweka urembo so it is not natural. Kubali kwamba yapo maarifa ambayo huwezi fundishwa shuleni.
 
Umeshasema wameweka urembo so it is not natural. Kubali kwamba yapo maarifa ambayo huwezi fundishwa shuleni.
Acha kujizima data...Chukulia mfano nimekutana na binti simfahamu na wala sijui kama aliweka weusi kwenye fizi kwa lengo la urembo, Ikatokea nikavutiwa nae kuanzisha mahusiano na nikafanikiwa kwa hilo kisha nimekuja kukutana na uzi wako huoni kwamba unasababisha taharuki hapa wewe jamaa!

Ushauri: Unapokutwa na jambo lenye kutatiza upande wako jaribu kulivaa kwenye nafsi yako ila usilazimishe umma ulichukulie kuwa ni suala lenye ukweli zaidi na linapaswa kutiliwa mkazo na jamii nzima kwa ujumla...Deal with your problems at your own risks...
 
Mkuu unachotakiwa kujua bado tunasumbuliwa, na mahadui watatu, sasa kwa andiko la jamaa, nadhani utagundua hadui aliempelekea kuwaza hivi.
 
Kuusoma mwili wa binadamu ana tabia gani kuko kwa aina nyingi ikiwemo kujipamba na uvaaji. Kuna wale wanaotoboa pua na kuvaa kipini, kuna wale wanaopaka lip stick, kila rangi ya lip stick huwakilisha tabia fulani isiyo nzuri. Kuna wanaovaa kikukuu nao wana tabia zao zisizo njema. Haya mambo ni automatic yapo na wahusika ndivyo walivyo
 
Kanisa bila alama ya msalaba ni ware house. Vile vile Uzi huu bila picha ni Makelele
 
Ukisoma uzi huu vizuri utagundua jambo moja kubwa "UKOLONI"

Wazungu walipotutawala walipambana sana kutuaminisha kwamba waafrika au ngozi nyeusi ni watu wasio na maana, wachawi, washenzi wakorofi nk
Ndio maana ukiangalia magereza ya marekana 90% ya wafungwa ni watu weusi

Wazungu ni wabaguzi sana hasa kwa ngozi nyeusi na ndio maana mastaa karibu wote weusi wana kesi au wameshakuwa na kesi na wengine wamefungwa mf, R.Kelly, Mike Tyson, Michael Jackson nk hawataki mtu mweusi apate maganikio
Vitu vingi vibaya vimepewa jina "Black"
Black market nk
Hata ninachokiona kwa mleta uzi ni matokeo ya athari za wazungu zilizopandikizwa kwa mtu mweusi mwenyewe. Waafrika tumetawaliwa kifikra.

Waafrica tujitambue, tujikubali, tujipende tuache kuendkeza ujinga wa kimagharibi
Tupende na tuenzi tamaduni zetu hakuna wa kutufanyia haya ni sisi wenyewe

Wenzetu wachina, waarabu na wahindi walitambua hilo wakapenda na kuendeleza tamaduni zao na wamefanikiwa sana
Sisi tumebaki kuwa watu wa kuiga na kupokea kila tunacholetewa na vya kwetu tunaita uchawi na mizimu wao wanaita sayansi na watakatifu. Tunacheza kila ngoma wanayopiga wao kwanini tusipige yetu?!

Shame on us!
 
Yes upo sahihi but mimi nazungumzia maumbile ya asili kwa mfano inaaminika " the sharp the noise the sharp the brain" watu wanene ( hawana akili)wanawake wenye midomo mikubwa wanna rosecoco pana, watu wenye upara wanna tabia zao kulingana na aina ya upara alio nao.. nakadhalika nakadhalika. Hoja ya uzi wangu ipo ktk muktadha huo
 
Sio mkweli mkuu u have assumed.. hakuna mwafriia aloe mzalendo na uafrika wake kama.mimi.. mimi nimezungumzia uhalisia tu mkuu
 
Sio mkweli mkuu u have assumed.. hakuna mwafriia aloe mzalendo na uafrika wake kama.mimi.. mimi nimezungumzia uhalisia tu mkuu
Sasa mkuu, uhalisia huwa unaambatana na uthibitisho au ushahidi,
Tuambie namna ulivyofanya utafiti, sample yako ilikuwa watu wangapi na kutoka wapi na ni kwa namna gani watu weusi / wenye fizi nyeusi walihusika kwenye maovu uliyoyasema.
 
Sasa mkuu uhalisia huwa unaambatana na uthibitisho au ushahidi,
Tuambie namna ulivyofanya utafiti, sample yako ilikuwa watu wangapi na kutoka wapi na ni kwa namna gani watu weusi / wenye fizi nyeusi walihusika kwenye maovu uliyoyasema.
Mkuu upo so much taken by colonial education mentality.. utafiti tena? Kwamba niwape watu dodoso wajaze?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…