BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Utafiti sio elimu ya kikoloni,Mkuu upo so much taken by colonial education mentality.. utafiti tena? Kwamba niwape watu dodoso wajaze?
AiseeUtafiti sio elimu ya kikoloni,
Utafiti ulifanywa na Bibi na babu zetu hata kabla ya ukoloni na elimu ya kikoloni.
Wafugaji walifanya utafiti wa maeneo mazuri kwa malisho ya wanyama na walipofanikiwa walihamia huko
Wakulima pia, wafanya biashara nk
Hata wewe kabla ya kujiunga Jf ulifanya utafiti ukaridhishwa kwamba ni mtandao unaokidhi haja yako ya kutoa maoni bila kubugudhiwa ndio ukajiunga.
Dah!Mkuu,
Nimtag mpwa wako nimwambie umetukana? [emoji28]
Wee!!Dah!
Kausha mkuu. Please ๐๐ฟ
Mpwa ataniona mi mtu wa hovyo. Halafu nilisikia habari nzuri sana kwamba keshakupiga chini. Ni kweli? Nilifurahi sana siku hiyo na kwa mara ya kwanza maishani mwangu nilionja K-Vant. Naomba iwe kweli! ๐๐๐
Mpwa Mimi na wew dam dam ๐Dah!
Kausha mkuu. Please ๐๐ฟ
Mpwa ataniona mi mtu wa hovyo. Halafu nilisikia habari nzuri sana kwamba keshakupiga chini. Ni kweli? Nilifurahi sana siku hiyo na kwa mara ya kwanza maishani mwangu nilionja K-Vant. Naomba iwe kweli! ๐๐๐
Kabisa mpwa...Mpwa Mimi na wew dam dam ๐
๐๐Mpwa asije akajitundika๐Kabisa mpwa...
Huyu kijana mpaka atachoka tu atakuachia mpwa uje kwenye familia yetu ๐๐ฟโค๏ธโค๏ธโค๏ธ
hongera sana mna bahati mlizikataa au mlijikuta hivyo, hicho ni kitu cha kuwa proud nacho kweli ?Sijawahi na siwezi kuwa na demu mwenye fizi nyeusi. Fizi nyeusi is an automatically switch off to me. Kwenye ukoo wetu hatuna watu wenye fizi nyeusi
Maumbile ya mwili Yana uhusiano mkubwa na tabia by LOMBROSO
Nenda Rwanda wadada wareeefuuuu, warembo, meno meupe pee!! FIZI NYEUSI TIII. Tafakari