Niko nje ya mada kidogo ndugu Likud;
Hivi kile kidoti pale chini ya kitovu cha yule mpenzi wako mbona siku hizi hakipo? Nani alikifuta? Hata yule bodaboda wake kaniuliza swali kama hili ndo nikaamua nikuulize wewe.
Kwa utafiti wangu binafsi nimegundua vijana wengi hawataenda mbinguni kwa sababu ndogo sana ambayo haitajwi... kutamka matusi kiholela... yaani vijana hata kwenye kusifia utasikia "kmmk mchungaji kaongea point kise**e yaani!!
Sasa mambo ya ukoo wenu ndo uyalete mpaka huku kwetu,, nachojua fizi nyeusi zinavutia sana hasa kwa mdada akitoa tabasamu, na kuna mahala mwanamke akiwa na fizi nyekundu/nyeupe hata wachumba hapati,