Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #21
Fyokofyoko [emoji23][emoji23]Au yaan ile gari yangu fyokofyoko[emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fyokofyoko [emoji23][emoji23]Au yaan ile gari yangu fyokofyoko[emoji3][emoji3][emoji3]
SijapendaaaMwenye hela huwa mpole na mwembamba wa wastani na muonekano wa afya njema.
Masikini huwa na maneno mengi sifa kwake hazishi, akikusaidia miaka 10 baadae atakumbusha msaada wake kwako. Pia afya zao huwa hafifu kula ovyo ovyo(kitambi kubwa)
Ukiwa tajiri wa hela kuwa tajiri wa afya pia.
Aisee tena hii ya kuchomeka funguo kiunoni ndiyo naona imeshamiri sana zama hizi.Wanachomeka funguo kiunoni [emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅ili mradi tuFyokofyoko [emoji23][emoji23]
Kuna mkaka alikua ananing’iniza funguo nne za gari 😀😀Aisee tena hii ya kuchomeka funguo kiunoni ndiyo naona imeshamiri sana zama hizi.
Wengine wananing'niza kiunoni ila ukienda kwenye parking hakuna gari [emoji28][emoji28]...ili mradi tu yani...[emoji23][emoji23]
Au yaan ile gari yangu fyokofyoko😀😀😀
Unadhani zangu zote basi mkuu.Sasa tajiri tugawane hizo milion[emoji3][emoji3]
Its something 'in born'.Nadhan ustaarabu ni mtu alivyo
We jamaa ni mcenge kinyama 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa atakua ni bodaboda .....ndo story zao hizo....wakiwa wamelala juu ya pikipiki #kijiweni
Hahahahah matajiri huwa hawana kelele.Kwa ujumla watu masikini Wana kelele Sana.....
Hata baa za watu masikini zina makelele Sana ...
Kelele inaenda Sana na umasikini
Kelele inaenda Sana na kutosikia details...na watu wasiopenda details Wengi ndo masikini
Actually sio kwamba hupendiSipendi vitu vya hivyo show show za kijinga.....mtu akipika kuku eti anarekodi video anaweka status wtf!!! Akinunua kochi status, kifunguo cha gari ndio kabisaaa Oooh hayanihusu lakini 😃
[emoji28][emoji28]Sipendi vitu vya hivyo show show za kijinga.....mtu akipika kuku eti anarekodi video anaweka status wtf!!! Akinunua kochi status, kifunguo cha gari ndio kabisaaa Oooh hayanihusu lakini [emoji2]
Naona tu nimevuka kiumri 😁 mali sina....ila Sijawahi kuelewa kabisa show show za hivo, kuna watu wakiazima gari basi anaweka funguo kiunoni aseeeeeActually sio kwamba hupendi
Ila hizo levels ushavuka...
Kuna levels ukivuka ukiona wengine wanahangaika na show off unawaonea huruma ...na kuvuka sio lazima uwe navyo ...hata kama umevitumia Sana inakuwa umevizoea...
Mtoto aliepelekwa na gari shule toka primary hawezi hangaika na Ku post IST akija kununua ukubwani...
Kashavuka levels....
Yule toka anazaliwa hata mjomba Hana gari bovu la kuchezea ..siku akipata lazima mji mzima ujue
Hahaa! kama namuona vile alivyobadilika ghafla!Ile tunafika parking, Mhandisi anasukumu Toyota Land Cruiser V8 VXR nadhani ni ya 2021 ile, partner ana Toyota Vanguard yake, akawa mpole sana. Msiulize mimi naendesha nini...![]()