Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

Mwenye hela huwa mpole na mwembamba wa wastani na muonekano wa afya njema.
Masikini huwa na maneno mengi sifa kwake hazishi, akikusaidia miaka 10 baadae atakumbusha msaada wake kwako. Pia afya zao huwa hafifu kula ovyo ovyo(kitambi kubwa)
Ukiwa tajiri wa hela kuwa tajiri wa afya pia.
Sijapendaaa

Ko sisi wanene tumekukosea nini
 
Sipendi vitu vya hivyo show show za kijinga.....mtu akipika kuku eti anarekodi video anaweka status wtf!!! Akinunua kochi status, kifunguo cha gari ndio kabisaaa Oooh hayanihusu lakini 😃
Actually sio kwamba hupendi
Ila hizo levels ushavuka...
Kuna levels ukivuka ukiona wengine wanahangaika na show off unawaonea huruma ...na kuvuka sio lazima uwe navyo ...hata kama umevitumia Sana inakuwa umevizoea...

Mtoto aliepelekwa na gari shule toka primary hawezi hangaika na Ku post IST akija kununua ukubwani...
Kashavuka levels....

Yule toka anazaliwa hata mjomba Hana gari bovu la kuchezea ..siku akipata lazima mji mzima ujue
 
Sipendi vitu vya hivyo show show za kijinga.....mtu akipika kuku eti anarekodi video anaweka status wtf!!! Akinunua kochi status, kifunguo cha gari ndio kabisaaa Oooh hayanihusu lakini [emoji2]
[emoji28][emoji28]

Nina dada yangu wa kuzaliwa kabisa, akipika chakula kizuri simu yake inateseka sana kwa mavideo na mapicha huko status.

Hata ukitoka naye, chakula kikija kabla ya kula ni lazima apige picha na kuchukua video. Aisee nimemsema sana naona amepunguza siku hizi.
 
Actually sio kwamba hupendi
Ila hizo levels ushavuka...
Kuna levels ukivuka ukiona wengine wanahangaika na show off unawaonea huruma ...na kuvuka sio lazima uwe navyo ...hata kama umevitumia Sana inakuwa umevizoea...

Mtoto aliepelekwa na gari shule toka primary hawezi hangaika na Ku post IST akija kununua ukubwani...
Kashavuka levels....

Yule toka anazaliwa hata mjomba Hana gari bovu la kuchezea ..siku akipata lazima mji mzima ujue
Naona tu nimevuka kiumri 😁 mali sina....ila Sijawahi kuelewa kabisa show show za hivo, kuna watu wakiazima gari basi anaweka funguo kiunoni aseeeee
 
Ile tunafika parking, Mhandisi anasukumu Toyota Land Cruiser V8 VXR nadhani ni ya 2021 ile, partner ana Toyota Vanguard yake, akawa mpole sana. Msiulize mimi naendesha nini
emoji3.png
...
Hahaa! kama namuona vile alivyobadilika ghafla!
 
Back
Top Bottom