Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #61
Mkuu sikuwa na jinsi, imebidi tu iwe hivyo [emoji28][emoji28]Ulivyomalizia sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sikuwa na jinsi, imebidi tu iwe hivyo [emoji28][emoji28]Ulivyomalizia sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa atakua ni bodaboda .....ndo story zao hizo....wakiwa wamelala juu ya pikipiki #kijiweni
Nadhani kwa uzi huu umeshajua kwamba Mpwayungu ni mtu wa kumuweka kwenye kundi gani [emoji23][emoji23]Nisemeje zaidi?
Kijana anakula maisha sana.
Mara Burundi, Uganda na mihotel mizitomizito Dar, Mwanza na mikoa mingine ya kijanja[emoji1787][emoji1787]
Mi hayo maisha siyapendi, ndio sababu kuu kujitoa kwenye jamii (kazini) ukiumwa au kujifungua basi wanakuja ukiweka msosi wapiga picha watume kwenye group huko la kazini.... mamaeeeehhh mmekuja kupiga picha nyumbani kwangu ningetaka si ningepost mwenyewe 🤣🤣🤣 nshawaambia marufuku mtu kuja kuj😂😂😂
Nachukiaga waongeaji kwa sauti ya juu tukiwa sehemu tulivu.Hahaa! kama namuona vile alivyobadilika ghafla!
Wasukuma hatujui kuongea sauti ya chini....si eti kaka Shimba ya BuyenzeNachukiaga waongeaji kwa sauti ya juu tukiwa sehemu tulivu.
Do khaleed masikini?Mwenye hela huwa mpole na mwembamba wa wastani na muonekano wa afya njema.
Masikini huwa na maneno mengi sifa kwake hazishi, akikusaidia miaka 10 baadae atakumbusha msaada wake kwako. Pia afya zao huwa hafifu kula ovyo ovyo(kitambi kubwa)
Ukiwa tajiri wa hela kuwa tajiri wa afya pia.
Sio kila anayening’iniza ni show offs. Wengine ni kwa usalama zaidi..Aisee tena hii ya kuchomeka funguo kiunoni ndiyo naona imeshamiri sana zama hizi.
Wengine wananing'niza kiunoni ila ukienda kwenye parking hakuna gari [emoji28][emoji28]...ili mradi tu yani...[emoji23][emoji23]
Usinigombanishe na tajiri mpwayungu village mkuu.Nadhani kwa uzi huu umeshajua kwamba Mpwayungu ni mtu wa kumuweka kwenye kundi gani [emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1]Nina mke mtata sana...hakuna kuja home[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha siku moja JNIA majira ya saa 9 kama sijakosea..Wasukuma hatujui kuongea sauti ya chini....si eti kaka Shimba ya Buyenze
Najua umenielewa mkuu [emoji23][emoji23]Usinigombanishe na tajiri mpwayungu village mkuu.
Anawatafutia waalimu kazi mbadala waachane na kazi anazoziita za laana yani kuchezea chaki.
Mimi ni nani nimseme?[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha sikumoja JNIA majira ya saa 9 kama sijakosea..
Mama/bibi mmoja wa kisukuma akapokea simu toka kwa mwanaye nahisi alikuwa Mwanza kwasababu huyo bibi alikuwa kwenye foleni kuelekea mlango wa kwenda kupandia airbus yao.
Bibi...niambieee mujuu wangu Joyisi, napandaaa ndege muda huu ninakujaaa na zawadiiii.
Yaani lounge yote ilicheka hatari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sauti iko juu kama vile anamsemesha mtu yuko mbali sana.
She kuwa mnene inapendeza pia..Sijapendaaa
Ko sisi wanene tumekukosea nini
Zipo funguo za nyumba kama za gari wahuni wanazitumia kuzolea...Kuna mkaka alikua ananing’iniza funguo nne za gari 😀😀
Hii ni justification tu mnatafuta.Sio kila anayening’iniza ni show offs. Wengine ni kwa usalama zaidi..
[emoji23][emoji23][emoji23] duh!Zipo funguo za nyumba kama za gari wahuni wanazitumia kuzolea...
Neno mkuu! Nimelichukua........shida ya hao watu pia ni ile kujikweza hata mbele ya watu wasiowafahamu wala kufahamika kwao.....sometimes unajishusha na kukubali kuwa ana uwezo kuliko wewe lakini cha ajabu utaona bado anakuletea pozi wewe uliyejishusha kwake mimi nilijua watu wa hivi uwa wanajitutumua labda Kwa watu waliowadharau kabla ya mafanikio yao.....mf: unakuta anajua kabisa kuwa Mimi nafahamu yeye ana gari la kifahari na miradi mikubwa lakini mkikutana hoteli lazima achomoe funguo aizungushe kwenye vidole, au anakwambia 'leo bana lazima niingize million sita aisee' ......
Lakini all in all tunatakiwa kukubali kila mtu ana namna yake ya kufurahi hata kama inamuumiza au kuwaza mwingine......nafikiri tuwe calm, wapole, mambo mengine ni mapungufu ya kibinadamu, unamchukulia mtu alivyo then unaangalia namna nzuri ya kuishi nae, ukijali sana utaonekana una wivu......