Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

Hii ni justification tu mnatafuta.

Kuna mtu mmoja nilimuuliza kwanini ananing'iniza funguo kiunoni akasema eti akizichanganya funguo na simu, simu yake inachubuliwa screen na funguo za gari kwasababu ya msuguano [emoji28][emoji28]..

Mara eti kwenye lux kuna usalama zaidi kwasababu akilewa hawezi kupoteza funguo [emoji2][emoji2]...
Kwahiyo unawapangia watu wapi waweke funguo zao?

Hivi kwa mfano unaenda kwenye family gathering au workmates gateway ukining’iniza kifunguo cha Passo yake ni kwamba unawavimbia hao unaokutana nao wakati wanakujua abc??

Hii nadharia yako sidhani kama ni sahihi. Mwisho tutasema hata huyo tajiri alikunywa Hennessy kumuoshea rafiki yako aliyekuwa anapayuka payuka hapo of which tayari tutamtoa huyo tajiri kwenye hiyo humbleness unayoisema.
 
Kwahiyo unawapangia watu wapi waweke funguo zao?

Hivi kwa mfano unaenda kwenye family gathering au workmates gateway ukining’iniza kifunguo cha Passo yake ni kwamba unawavimbia hao unaokutana nao wakati wanakujua abc??

Hii nadharia yako sidhani kama ni sahihi. Mwisho tutasema hata huyo tajiri alikunywa Hennessy kumuoshea rafiki yako aliyekuwa anapayuka payuka hapo of which tayari tutamtoa huyo tajiri kwenye hiyo humbleness unayoisema.
Your opinion is noted, with thanks.
 
Mwenye hela huwa mpole na mwembamba wa wastani na muonekano wa afya njema.
Masikini huwa na maneno mengi sifa kwake hazishi, akikusaidia miaka 10 baadae atakumbusha msaada wake kwako. Pia afya zao huwa hafifu kula ovyo ovyo(kitambi kubwa)
Ukiwa tajiri wa hela kuwa tajiri wa afya pia.
Kumbe wembamba na unene nao unahusianishwa na utajiri ? [emoji28][emoji28]
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
duh!
Tena ni za makufuri ila ukiona utajua ya BMW kumbe muhuni ana gari moja tu..
 
Habarini za wakati huu wakuu..

Nimegundua kwamba watu wengi (siyo wote) wenye pesa/mafanikio ya kweli wako very humble. Hadi naanzisha huu uzi, yapo matukio mengi yamethibitisha conclusion hii.

Jana jioni nilienda Morena Hotel Dodoma kujipumzisha. Nikiwa pale nikakutana na rafiki yangu niliyepotezana naye muda mrefu. Akaomba ani-join kwenye meza yangu. Alikuwa anakunywa maji makubwa. Tukawa tunastorisha, akaniambia kwa sasa yeye ni Mhandisi binafsi, aliacha kazi Serikalini akaamua ajiajiri.

Tukiwa tunaendelea na story, nikapigiwa simu na business partner wangu, akaja kutu-join. Kwanza partner alipofika tu alikuwa kaning'iniza funguo za gari kwenye lux, alipofika mezani akazitoa kiunoni akazianika mezani, sambamba na iphone zake mbili. Nikamtambulisha story zikaendelea.

Story zikiendelea, partner akapigiwa simu na client ambaye tunamdai, badala ya kwenda kuzungumzia pembeni au kwa sauti ya chini akawa anapayuka kwa kutaja hadi kiasi cha pesa tunachomdai akidhani kwamba kama ni kiasi kingi kwetu basi ni kingi kwa kila mtu. Sikushangaa kwasababu nimeshamzoea, yeye ni mtu flani hivi (wakubwa mmenielewa).

Baada ya muda kidogo Mhandisi akaagiza Hennessy VSOP Cognac 700ml. Akatuambia na sisi tuagize. Mimi nimeacha pombe, nikaagiza grand malt na coke. Nikamuona partner ana wasiwasi, uso wake umesawajika, ni kama alikuwa anajiuliza kuhusu bill. Akaagiza Heineken, akaletewa 6! Bill ikaja, Mhandisi akalipa, alikataa kabisa kushea au sisi kulipa. Taratibuuu, partner akachukua funguo za gari na simu mezani akaweka mfukoni [emoji28]..

Mhandisi akanywa Hennessy kidogo tu, ingine akabeba, akaomba tuhame pale, partner naye akabeba Heineken zake.

Ile tunafika parking, Mhandisi anasukumu Toyota Land Cruiser V8 VXR nadhani ni ya 2021 ile, partner ana Toyota Vanguard yake, akawa mpole sana. Msiulize mimi naendesha nini [emoji3]...

Mhandisi akaomba tumfate nyuma. Break ya kwanza Bambalaga. Aisee partner alilewa mpaka anauliza pale tuko wapi!

Tukaagana usiku wa saa saba, tukabadilishana contacts. Leo saa tatu asubuhi Mhandisi kanipigia, kuna mradi "X" amepata tender hapa Dodoma. Anataka tuwe Wanasheria wake, yaani tufanye 'retainership agreement', na anatulipa kwa mwaka mzima, leo hiihii amesha-deposit malipo yetu yote ya mwaka in millions. Partner amebaki mdomo wazi!

Mhandisi ni mpole sana. Anachagua maneno ya kuzungumza. Hana mbwembwe yeye ni vitendo tu.

Hii siyo scenario ya kwanza, ziko nyingi sana.

Kwahiyo ukiona mtu anajisifia sana, anaonesha possessions zake hadharani ili kila mtu ajue, ujue hamna kitu hapo. Anafanya hivi ili kujilinda. Kuna kitu najifunza hata whatsap status za matajiri ni tofauti sana na za masikini. Wengine huwa hawapost kabisa au wanapost mara mojamoja, na wakipost hawawezi kupost fitina au majungu.

Hata humu JF, wadau ambao wako vizuri sana huwezi kuwaona ni wajuaji. Hata namna wanavyo-comment au ku-post, ni tofauti sana na masikini na waigizaji wa maisha.

Maisha ni safari ndefu, naendelea kujifunza..
Hii Chai kabisa
 
Habarini za wakati huu wakuu..

Nimegundua kwamba watu wengi (siyo wote) wenye pesa/mafanikio ya kweli wako very humble. Hadi naanzisha huu uzi, yapo matukio mengi yamethibitisha conclusion hii.

Jana jioni nilienda Morena Hotel Dodoma kujipumzisha. Nikiwa pale nikakutana na rafiki yangu niliyepotezana naye muda mrefu. Akaomba ani-join kwenye meza yangu. Alikuwa anakunywa maji makubwa. Tukawa tunastorisha, akaniambia kwa sasa yeye ni Mhandisi binafsi, aliacha kazi Serikalini akaamua ajiajiri.

Tukiwa tunaendelea na story, nikapigiwa simu na business partner wangu, akaja kutu-join. Kwanza partner alipofika tu alikuwa kaning'iniza funguo za gari kwenye lux, alipofika mezani akazitoa kiunoni akazianika mezani, sambamba na iphone zake mbili. Nikamtambulisha story zikaendelea.

Story zikiendelea, partner akapigiwa simu na client ambaye tunamdai, badala ya kwenda kuzungumzia pembeni au kwa sauti ya chini akawa anapayuka kwa kutaja hadi kiasi cha pesa tunachomdai akidhani kwamba kama ni kiasi kingi kwetu basi ni kingi kwa kila mtu. Sikushangaa kwasababu nimeshamzoea, yeye ni mtu flani hivi (wakubwa mmenielewa).

Baada ya muda kidogo Mhandisi akaagiza Hennessy VSOP Cognac 700ml. Akatuambia na sisi tuagize. Mimi nimeacha pombe, nikaagiza grand malt na coke. Nikamuona partner ana wasiwasi, uso wake umesawajika, ni kama alikuwa anajiuliza kuhusu bill. Akaagiza Heineken, akaletewa 6! Bill ikaja, Mhandisi akalipa, alikataa kabisa kushea au sisi kulipa. Taratibuuu, partner akachukua funguo za gari na simu mezani akaweka mfukoni [emoji28]..

Mhandisi akanywa Hennessy kidogo tu, ingine akabeba, akaomba tuhame pale, partner naye akabeba Heineken zake.

Ile tunafika parking, Mhandisi anasukumu Toyota Land Cruiser V8 VXR nadhani ni ya 2021 ile, partner ana Toyota Vanguard yake, akawa mpole sana. Msiulize mimi naendesha nini [emoji3]...

Mhandisi akaomba tumfate nyuma. Break ya kwanza Bambalaga. Aisee partner alilewa mpaka anauliza pale tuko wapi!

Tukaagana usiku wa saa saba, tukabadilishana contacts. Leo saa tatu asubuhi Mhandisi kanipigia, kuna mradi "X" amepata tender hapa Dodoma. Anataka tuwe Wanasheria wake, yaani tufanye 'retainership agreement', na anatulipa kwa mwaka mzima, leo hiihii amesha-deposit malipo yetu yote ya mwaka in millions. Partner amebaki mdomo wazi!

Mhandisi ni mpole sana. Anachagua maneno ya kuzungumza. Hana mbwembwe yeye ni vitendo tu.

Hii siyo scenario ya kwanza, ziko nyingi sana.

Kwahiyo ukiona mtu anajisifia sana, anaonesha possessions zake hadharani ili kila mtu ajue, ujue hamna kitu hapo. Anafanya hivi ili kujilinda. Kuna kitu najifunza hata whatsap status za matajiri ni tofauti sana na za masikini. Wengine huwa hawapost kabisa au wanapost mara mojamoja, na wakipost hawawezi kupost fitina au majungu.

Hata humu JF, wadau ambao wako vizuri sana huwezi kuwaona ni wajuaji. Hata namna wanavyo-comment au ku-post, ni tofauti sana na masikini na waigizaji wa maisha.

Maisha ni safari ndefu, naendelea kujifunza..
Dah wakina mzabzab tunasema hapa.🤣🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23] watu majasiri sana..
Pana dogo mmoja Kariakoo hapo alikua ana mafunguo mpaka ikabidi tumwite mafunguo gari moja ila ana funguo mpaka za Audi anaamua atoke na funguo ipi gari ni lile lile ilikua Starlet Manual anaiamini balaa utamsikia hii inazoa popote ni swala la kusotea tu...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa atakua ni bodaboda .....ndo story zao hizo....wakiwa wamelala juu ya pikipiki #kijiweni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakubaliana na wewe, Nina 13yrs humu JF na kipindi flan nilikuwa natumia Sana mtandao huu kupata wateja, Kuna baadhi ya wateja aroooo huku nyuma ya keyboard wapole na wastaarabu Sana yaani humkuti kagombana na mtu lakin ukikutana nae mmmh maashaAllah,

Ila wenzangu na Mimi Sasa
Wale watu wa kelele nyingi hamna kitu
Debe tupu........[emoji28][emoji28]
 
Pana dogo mmoja Kariakoo hapo alikua ana mafunguo mpaka ikabidi tumwite mafunguo gari moja ila ana funguo mpaka za Audi anaamua atoke na funguo ipi gari ni lile lile ilikua Starlet Manual anaiamini balaa utamsikia hii inazoa popote ni swala la kusotea tu...
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ukisikia watoto wa mjini ndiyo hao sasa...
 
Wanachomeka funguo kiunoni 😂😂😂
Ni sehemu gan sahh kuweka funguo za gari/nyumba kwa mwanaume?? Kumbka sie wanaume hatutembei na vibegi kama wanawake. Kumbuka funguo zina ncha kali kwa hvo nikiweka kwny mfuko wa suruali zinatoboa mfuko,,, mm naona kuninginiza kwny huksi ni sahihi kabisa sio show off.
Naona tu nimevuka kiumri 😁 mali sina....ila Sijawahi kuelewa kabisa show show za hivo, kuna watu wakiazima gari basi anaweka funguo kiunoni aseeeee
Inabidi aweke wapi hzo funguo?
Hii ni justification tu mnatafuta.

Kuna mtu mmoja nilimuuliza kwanini ananing'iniza funguo kiunoni akasema eti akizichanganya funguo na simu, simu yake inachubuliwa screen na funguo za gari kwasababu ya msuguano [emoji28][emoji28]..

Mara eti kwenye lux kuna usalama zaidi kwasababu akilewa hawezi kupoteza funguo [emoji2][emoji2]...
Mbona point zake zina mashiko kabisa asee!!!!
 
Back
Top Bottom