Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Wasaidie mkuu sio kwamba wanapendaWalimu ni maboya [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasaidie mkuu sio kwamba wanapendaWalimu ni maboya [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa kuna mwingine anasema unakuta mtu ananing’inia rundo la funguo. Ukute huyo mtu ameshajiona ni careless so bora funguo zote (nyumba, ofisi, pikipiki, gari) zote ziko kwenye holder moja na ziwe zinaning’inia.......yeah hili pia ni kweli, ukining'iniza sio rahisi kuanguka, ndo maana kesi za kupoteza funguo za gari ni chache kuliko kupoteza za ofisini au home.....
Hapo nataka nifahamike vyema ukiwa na utajiri wa hela ni lazima uwe na afya njema. Hayo ni maneno ya Steve Jobs former CEO wa Apple baada ya kusema alikuwa anatafuta hela na kusahau kuimarisha afya yake.Kumbe wembamba na unene nao unahusianishwa na utajiri ? [emoji28][emoji28]
Nakupa siri moja tu angalia wale matajiri wanene wengi huwa wapambe wa matajiri halisi. Yaani kitambi boy anatumwa na big boss katulia nyuma wala hajulikani. Sababu ya kuwa kitambi ile ni stress asije kuharibu nae akaondolewa nafasi yake.Hii kweli kabisa mwaka jana nilikutana na mzee mmoja aliniambia ana 57 yrs nikabaki nashangaa jinsi alivyo mwenye afya, mwili wa wastani nachokumbuka alisema yeye huwa hatumii kilevi chochote na hali vyakula vya wanga ndio mafanikio ya afya yake.
Ni mstaarabu sijawai ona yeye mpaka familia yake, ni mmiliki wa makampuni makubwa hapa nchini.
Kilichonivutia kwake zaidi ni afya.
Ni sehemu gan sahh kuweka funguo za gari/nyumba kwa mwanaume?? Kumbka sie wanaume hatutembei na vibegi kama wanawake. Kumbuka funguo zina ncha kali kwa hvo nikiweka kwny mfuko wa suruali zinatoboa mfuko,,, mm naona kuninginiza kwny huksi ni sahihi kabisa sio show off.
Inabidi aweke wapi hzo funguo?
Mbona point zake zina mashiko kabisa asee!!!!
Uko sahihi kabisa mkuu. Nilishamwambiaga mara nyingi akawa mbishi kubadilika, ila this time around naona kanyooka.Huyo jamaa yako ana ubishoo wa kizamani kinoma toka 97.Hata huku Iringa unapotea potea .
[emoji23][emoji23][emoji23] dah!Mbona daimond na mwigulu hawako humble
Hakika, mkuu.Siku zote kuwa mtaratibu tu Mkuu, utaratibu haujawahi kumuangusha mtu.
Mkuu umesema kila kitu.Yes again Yes. Kuna umasikini we akili ama maarifa ama emotional intelligence na Kuna umasikini we pesa na Mali.
Pia navyojua Mali ama mafanikio hayaendani na kujiinua kuonekana wewe Ni zaidi ya aliyekupa ama anayehakikisha wewe unapumua.
Yani Ni ngumu mno ukawa na pesa ya maana like mo, bill gate na ukawa na kiburi Ni ngumu. Huwa haviendani inabidi uwe humble ndio kanuni ya kuzidi kupata Mali. Yaani cheki matajiri wote hata Elon musk unapiga naye stori Kama kamshkaji fulani na ongea zao sio za kuji boast.
Mie nishafika sehemu nikaona kuwa yaani mafanikio na kuji proud havikai sehemu moja hata siku yaani narudia hakuna mwenye uwezo mkubwa mno akawa mwenye kiburi Ni wachache mno yaani rare case.
Hata appearance zao huwa Ni normal.
Since they don't feel Inadequacy, don't need any mattering,or validation from outside since they've already validated or fulfilled in their soul inside and not outside.
Real life is soul or spiritual searching ndio unapata mafanikio.
Mana imeandikwa nitafuteni mie na mie ama.mali Ni ziada tu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Debe tupu huvuma zaidi. Bee don't bother to explain to flies how Honey is sweet than shiit.
Akipata tak00 hulia mbwata, n k
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Ulishswahi ona chupa inapaka mtu mafuta?[emoji1787]
Kwa ujumla watu masikini Wana kelele Sana.....
Hata baa za watu masikini zina makelele Sana ...
Kelele inaenda Sana na umasikini
Kelele inaenda Sana na kutosikia details...na watu wasiopenda details Wengi ndo masikini
Ushaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walimu ni maboya [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kabisa mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Aisee partner alilewa mpaka anauliza pale tuko wapi![emoji38][emoji38][emoji38]
Sijui kwanini nimemkumbuka mpwayungu village bila sababu.
Nadhani kwa vile ni tajiri yetu wa jf mpole na hana mbambamba