Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

......yeah hili pia ni kweli, ukining'iniza sio rahisi kuanguka, ndo maana kesi za kupoteza funguo za gari ni chache kuliko kupoteza za ofisini au home.....
Hapa kuna mwingine anasema unakuta mtu ananing’inia rundo la funguo. Ukute huyo mtu ameshajiona ni careless so bora funguo zote (nyumba, ofisi, pikipiki, gari) zote ziko kwenye holder moja na ziwe zinaning’inia.

Binafsi naning’iniza funguo ya gari tu lakini sijawahi hata kuhisi kwamba nafanya hivyo sababu ya show off.
 
Naona unatupa ndoano kijanja,,,wanakuja na wewe uwape relationship agreement na udepositi na ya kutolea kwenye namba zao!!!
 
Sifa nyingine ya umasikini, ni kukerwa na vitu vidogo vidogo tu, tena vya kawaida. Mtu akiweka funguo kwenye luksi, anakukera. Mtu akiweka funguo nyingi kwenye holder moja, anakukera.

Sio tabia ya matajiri kukerwa na vitu vidogo vidogo kama hivyo. They simply don't give a f@ck!
 
Hii kweli kabisa mwaka jana nilikutana na mzee mmoja aliniambia ana 57 yrs nikabaki nashangaa jinsi alivyo mwenye afya, mwili wa wastani nachokumbuka alisema yeye huwa hatumii kilevi chochote na hali vyakula vya wanga ndio mafanikio ya afya yake.
Ni mstaarabu sijawai ona yeye mpaka familia yake, ni mmiliki wa makampuni makubwa hapa nchini.
Kilichonivutia kwake zaidi ni afya.
Nakupa siri moja tu angalia wale matajiri wanene wengi huwa wapambe wa matajiri halisi. Yaani kitambi boy anatumwa na big boss katulia nyuma wala hajulikani. Sababu ya kuwa kitambi ile ni stress asije kuharibu nae akaondolewa nafasi yake.
 
Funguo ziwekwe mfukoni. Mara nyingi suruali au pensi inakuwa na mifuko 4, miwili ya mbele na miwili ya nyuma. Mmoja wa nyumba unaweza kuweka wallet, mwingine wa nyuma weka handkerchief kama unayo. Mmoja wa mbele weka simu, na mwingine wa mbele weka funguo za gari na nyumba.

Point hazina mashiko coz kwanza kabisa simu ina screen protector, halafu mifuko ina usalama sana hata ukilewa, unless mtu aje akusachi.
Ni sehemu gan sahh kuweka funguo za gari/nyumba kwa mwanaume?? Kumbka sie wanaume hatutembei na vibegi kama wanawake. Kumbuka funguo zina ncha kali kwa hvo nikiweka kwny mfuko wa suruali zinatoboa mfuko,,, mm naona kuninginiza kwny huksi ni sahihi kabisa sio show off.

Inabidi aweke wapi hzo funguo?

Mbona point zake zina mashiko kabisa asee!!!!
 
Huyo jamaa yako ana ubishoo wa kizamani kinoma toka 97.Hata huku Iringa unapotea potea .
Uko sahihi kabisa mkuu. Nilishamwambiaga mara nyingi akawa mbishi kubadilika, ila this time around naona kanyooka.
 
Yes again Yes. Kuna umasikini we akili ama maarifa ama emotional intelligence na Kuna umasikini we pesa na Mali.
Pia navyojua Mali ama mafanikio hayaendani na kujiinua kuonekana wewe Ni zaidi ya aliyekupa ama anayehakikisha wewe unapumua.
Yani Ni ngumu mno ukawa na pesa ya maana like mo, bill gate na ukawa na kiburi Ni ngumu. Huwa haviendani inabidi uwe humble ndio kanuni ya kuzidi kupata Mali. Yaani cheki matajiri wote hata Elon musk unapiga naye stori Kama kamshkaji fulani na ongea zao sio za kuji boast.

Mie nishafika sehemu nikaona kuwa yaani mafanikio na kuji proud havikai sehemu moja hata siku yaani narudia hakuna mwenye uwezo mkubwa mno akawa mwenye kiburi Ni wachache mno yaani rare case.
Hata appearance zao huwa Ni normal.
Since they don't feel Inadequacy, don't need any mattering,or validation from outside since they've already validated or fulfilled in their soul inside and not outside.
Real life is soul or spiritual searching ndio unapata mafanikio.
Mana imeandikwa nitafuteni mie na mie ama.mali Ni ziada tu
Mkuu umesema kila kitu.

Pata Pepsi moja baridi hapo dukani kwa mangi nakuja kulipa [emoji28]...
 
Kwa ujumla watu masikini Wana kelele Sana.....
Hata baa za watu masikini zina makelele Sana ...

Kelele inaenda Sana na umasikini
Kelele inaenda Sana na kutosikia details...na watu wasiopenda details Wengi ndo masikini

Ghafla nimewaza singeli na vibao kata

Halafu nikawaza R&B
 
Back
Top Bottom