Watu wenye pesa/mafanikio wako very humble

Ukiona mtu mwenye pesa anafanya fujo yaani ulimbukeni wa matanuzi wengi huwa ni mafisadi, wazee wa ndagu, wazee wa madini, watumishi wa umma.
Huwezi kuta mfanyabiashara mpambanaji anafanya fujo kwake kila2 shilingi mia inayo thamani.
Waajiriwa Wanapesa kuliko wafanyabiashara lakini wafanyabiashara Wana maendeleo kuliko waajiriwa.
 
ukweli utabaki kuwa ukweli tu, japo uzi umejaa vichumvichumvi kiasi, ila uko straight kabisa watu wenye mafanikio ya kweli hawana longolongo wala kujionyesha onyesha kama hawa chawa wanaopiga picha mitandaoni na magari ya mabosi wao. Be humble dunia haihitaji mbweeeeembweeeeeeee.
 
Well said, mkuu.
 
Tunaomba kufahamu ulikuwa na gari yako au ulitegemea usafiri wa bajaji au bodaboda (be honest)
 
Tunaomba kufahamu ulikuwa na gari yako au ulitegemea usafiri wa bajaji au bodaboda (be honest)
[emoji28][emoji28]

It's very illogical kwamba magari yako 2 (la Mhandisi na la partner) and yet mimi nitumie bajaj/bodaboda [emoji2][emoji2]...

Usafiri wangu sitautaja hapa kwasababu wadau watahisi najimwamba-fy [emoji41][emoji41].
 
Yaani niweke funguo yenye ncha mfukoni,, si kila sku ntakua nafanya kazi ya kushona mifuko kwa fundi. Kumbka funguo zenyewe sio za solex kama unavofikiria,,, funguo ni za aina hiiπŸ‘‡πŸ‘‡.



Alafu ktu kngne ni mazoea,,, mm tangu nimejitambua,,, sjawahi weka funguo mfukoni,,, bi either kwenye lux au nikivaa penz nazishika mkononi,, sio show off lakn its just mazoea
 
Nimemiliki gari tatu na sijawahi ning'iniza funguo kiunoni wala kushika masimu nimetembea nayo mkononi.

Ninapomuonaga mtu anaeendesha gari akiwa amening'iniza mafunguo mengi kiunoni au anayachezea chezea na kuyatandaza mezani hua namshangaa sana!
 
Nimemiliki gari tatu na sijawahi ning'iniza funguo kiunoni wala kushika masimu nimetembea nayo mkononi.

Ninapomuonaga mtu anaeendesha gari akiwa amening'iniza mafunguo mengi kiunoni au anayachezea chezea na kuyatandaza mezani hua namshangaa sana!
Funguo zako za gari hua unaziweka mfukoni au??
 
Magari ya kisasa hayatumii funguo za namna hii mkuu [emoji28][emoji28]...
 
Nimemiliki gari tatu na sijawahi ning'iniza funguo kiunoni wala kushika masimu nimetembea nayo mkononi.

Ninapomuonaga mtu anaeendesha gari akiwa amening'iniza mafunguo mengi kiunoni au anayachezea chezea na kuyatandaza mezani hua namshangaa sana!
[emoji1666]
 
[emoji28][emoji28]

It's very illogical kwamba magari yako 2 (la Mhandisi na la partner) and yet mimi nitumie bajaj/bodaboda [emoji2][emoji2]...

Usafiri wangu sitautaja hapa kwasababu wadau watahisi najimwamba-fy [emoji41][emoji41].
Mpaka hapo ushajimwambafy ww ni mwenye nazo sabab unavojitahidi kwamba hujioneshi kama patna, vile ulivotuaminisha wenye nazo ni watu hamble japo umesahau wahaya mwenye nazo na kapuku huwezi watambua kirahis wote wanavimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…