Ghana yenyewe imeingia bankruptcy kutokana na ushenzi wa viongozi.Ni ukweli mchungu, SA imekuwa fuc...na black people's, Tanzania imeibiwa mno na black people's kuliko hata wakoloni walivyoiba,Africa ni ushelisheli, Mauritius 🇲🇺, Namibia, Botswana na kidogo Ghana 🇬ðŸ‡, the rest ni shithole countries
Mtu mweusi hajitambui
Ebu angalia eti Mbunge anafanya Kazi miaka mitano analipwa mil 270 then Mwalimu analipwa mil 30 baada ya kufanya Kazi miaka 30
Ninasemaga mara kwa mara kwamba SELFISHNESS ndio shida yetu kuu Africa !! Siku ikiondoka hiyo kitu mioyoni mwetu Africa itaendelea sana !! Watu wengi wanafikiria kujilimbikizia mali tu badala ya kufikiria kuziendeleza Nchi zao !! SELFISHNESS ndio Adui yetu Mkuu !!Ni ukweli mchungu, SA imekuwa fuc...na black people's, Tanzania imeibiwa mno na black people's kuliko hata wakoloni walivyoiba,Africa ni ushelisheli, Mauritius 🇲🇺, Namibia, Botswana na kidogo Ghana 🇬ðŸ‡, the rest ni shithole countries
Duh !Naunga mkono hoja.View attachment 2552090
Huo ametoa kama mfano tu nadhani !!Kumbe Shida yako ni kuona LAMI katika mitaa ya Geita!?!--hiyo ndio akili unayojivunia 😀😀!
Mara paap unaukwaa urais. Unafikiri kuna lo lote ambalo utaweza kufanya ili kubadili mifumo hii ya kinyonyaji iliyowekwa na wakubwa wa dunia?Watu weusi tuna akili nadhani walioingia kwenye siasa na wanaotuongoza siyo wabunifu na uwezo wao haukidhi matakwa ya ofisi walizokalia
Ukweli unauma ila huu ndio ukweliWewe ndio huna akili jinga kabisa
Mji kama Geita inatoka Dhahabu Ila mji hauna lami za uhakika mkiambiwa weusi hawana akili unachukia
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Umenena vyema kabisa.Kwa uandishi huu kweli nimeamini wewe ni mtu mweusi na huna akili.
Uwaachie nchi kwa miaka 100 wakutawale halafu baada ya hiyo miaka ujipenyeze kuchukua utawala??!!--- kwa akili hiyo hata ya kuku inayo afadhali.
Katika hiyo Miaka 100 wewe hutakuwepo, na tayari itakuwepo generation nyingine na mabadiliko ya kiuchumi na kijamii na mitazamo mipya kiasi kwamba hiyo azima ya wetu weusi kujipenyeza kushika madaraka ikawa ni ndoto ukizingatia kwamba madaraka yalivyokuwa matamu na ukute hao mliowakabidhi nchi wawe ni makatili/madikteta hapo ndio kabisa usahau kushika madaraka na utakuwa umejiingiza kwenye ukoloni/utumwa kwa kujitakia.
Turidhike na hali zetu na tujibidishe kwa kadiri tutavyoweza kwani akili hizi na uwezo wetu katupatia Mungu na wala sio kutokana na juhudi zetu binafsi, basi tusijidharau na kumkufuru Mungu.
[emoji23][emoji23] daahWewe ndio huna akili jinga kabisa
Mji kama Geita inatoka Dhahabu Ila mji hauna lami za uhakika mkiambiwa weusi hawana akili unachukia
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Exactly.Nawashangaa wengi mnaotetea ujinga wa mleta mada, kama mnakubaliana hamna akili ni nyie, sio wote.
Na uwakika hujawahi kufanya kazi wala kuishi na watu weupe la sivyo usingeandika hivi.Kwa kuwa bado sisi watu weusi maarufu kama Waafrika hatuja pata akili ni vyema basi swala zima la uongozi tuachie wazungu na watu jamii za mashariki mwa asia ya mbali (wachina, wajapan, wakorea .........)
Sisi kama watu weusi cha kufanya sasa kuanzisha mpango kabambe wa kukopa watu kutoka katika hizo jamii ili waje katika mataifa yetu ili kutu ongoza.
Taifa kama la Tanzania lina hitaji kukopa watu wengi sana kutoka katika hizo jamii na kupewa uraia wa kudumu kabisa hapa nchini ili waje kutuongoza.
Tuna hitaji pia kuchanganya damu kwa kasi na hawa watu kwa manufaa ya mataifa yetu. Tuna hitaji kuwaachia nchi hawa watu watuongoze kwa zaidi ya miaka mia moja (100) mpaka pale tutakapo ona kuwa sasa tumepata akili ndipo tutaanza kujipenyeza kwenye uongozi na sisi kuongoza.
South Africa makaburu walifanya kosa kubwa sana kuwa achia uongozi watu weusi sasa matokeo ya makosa yao wana yalipia.
Nyerere alikuwa hafahamu anacho kipigania.
Trump alikuwa sahihi ni vyema tuki rejea ushauri bora kabisa kutoka kwa bwana Trump kwa ajili yetu.
MTU MWEUSI HAPASWI KUWA KIONGOZI KWA SASA MPAKA PALE ATAKAPO PATA AKILI.
Mkuu, kwa kweli kwa sasa Tanzania ilipawa kuendeshwa ki-majimbo tena yasizidi 7. Serikali ya Majimbo huleta maendeleo ya haraka kwenye Jimbo na Nchi kwa ujumla. Majimbo yote yapo vizuri kiuchumi. Kwa mfano:- 1. JIMBO LA KUSINI; kuna Korosho, Tumbaku, gas, madini, mafuta, makaa ya mawe, bandari, uvuvi n.k; 2. JIMBO LA PWANI: korosho, uvuvi, viwanda, kilimo, bandari, kiwanja cha ndege, gas, madini n.k; 3.JIMBO LA KASKAZINI MASHARIKI: bandari, mkonge, kahawa, madini, utalii, uvuvi, mifugo n. k; 4;Si mmekataa serikali ya majimbo lakini! Huu mfumo ungeleta maendeleo sana hasa mikoa yenye rasilimali kubwa kusaidia mikoa ya jirani yake ambayo iko less fortune.