Watu weusi hawapaswi kuwa viongozi kwa sasa hadi pale watakapopata akili

Mara paap unaukwaa urais. Unafikiri kuna lo lote ambalo utaweza kufanya ili kubadili mifumo hii ya kinyonyaji iliyowekwa na wakubwa wa dunia?

Angalizo: Ukijichanganya unauliwa!
Tuna jinyonya wenyewe kwa upumbavu wetu hakuna anaye toka ng'ambo.
 
Madaraka ni matamu hasa kwa ngozi nyeusi na waarabu,kwa race zingine mambo ni tofauti.
 
Kila siku hua nasema humu naonekana mbaya narudia tena Nyerere na mashoga zake waliojifanya kudai Uhuru wakati tulikua hatujaweza kujitawala bado ndio wametufikisha hapa Sisi watu weusi bado hatuna uwezo wa kujitawala tuliwahi sanaa kuwafukuza wakoloni muda ulikua bado tunakoelekea vizazi vitakuja kufahamu hili hawa kina Nyerere walikua na tamaa ya uongozi tu hatutakiwi kuwasifia ilitakiwa tuchape makaburi Yao bakora za kutosha yametuingiza kwenye shida nyingi Kwa sababu ya Shobo dundo zao
 
Serikali za majimbo zina wafaa watu walio na akili pekee kama ambavyo democracy ina hitaji watu wa namna hio bila hivyo umasikini na rushwa vita tawala katika majimbo.

Mfano ni Kenya na Nigeria wamecopy mifumo ya namna hiyo lakini hakuna kitu wanacho nufahika nacho zaidi ya umasikini.
 
Upo sahihi 100% sisi bado sana kujitawala katika njia iliyo bora.
 
Nawashangaa wengi mnaotetea ujinga wa mleta mada, kama mnakubaliana hamna akili ni nyie, sio wote.
Eheeee, chukulia hii ya Eskom South Africa, yaani Rais alikuwa anaongoza looting na wale wahind. kama mwinyi na Chavda, kikwete na EPA na yule muhindI, lini Rais wa India au China ataingia njama na wewe mswahili aibie nchi yake? Only in Afric, Mobutu, Zum, kikwete, mwiny, Chiluba, Grace Mugabe, Dos santos etc etc etc
 
Mfano mwepesi ni huu tazama China inavyo jiongoza na sisi ? Tafakari halafu jipe jibu wewe mwenyewe.
Naomba uelewe mweupe atajenga kwake lakini siyo kwako mwafrika na hata hivyo kwanini watusaidie.
Waafrika tutafute vya kwetu.
 
Nawashangaa wengi mnaotetea ujinga wa mleta mada, kama mnakubaliana hamna akili ni nyie, sio wote.
Positivity, sometimes unapofanya research moyo unakuuma, ni conscience binadamu wote wanayo lakini huo ndiyo ukweli
 
Naomba uelewe mweupe atajenga kwake lakini siyo kwako mwafrika na hata hivyo kwanini watusaidie.
Waafrika tutafute vya kwetu.
Wanapaswa wawe raia wa kudumu wa nchi zetu. tumeshindwa, tumeshindwa, tumeshindwa, tumeshindwa mpaka sasa tumeshindwa over.
 
Wanapaswa wawe raia wa kudumu wa nchini zetu. tumeshindwa, tumeshindwa, tumeshindwa, tumeshindwa mpaka sasa tumeshindwa over.
Hao watu hawana mtazamo huu ndio maana nimesema huwajui.
 
Wapo ila wanahofia kujitokeza, JPM alijitokeza na akasema mara nyingi tumuombee, hayupo tena.
 
Ni nyingi lakini kumsaidia Mwafrika siyo moja wapo. Jaribu kutembea Ulaya, Marekani na huko China utajua dhamani ya Mwafrika.
Mbona hizo interest zao huja nionesha ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…