Nisipoamini kuwa Egypt ipo Afrika nitakuwa nashangaza dunia.Kaka, kama unakubali misri ilikuwa bara LA Africa, hebu ingia google soma history of ancient Egypt,ukimaliza njoo nikupe maelekezo mengine
Haina shaka nduguMsabafo [emoji117] Msabato.
Tulia, umeanza kuendeshwa na hisia kuliko uhalisia.
Kwanza, mimi si Msabato, hivyo hapo tayari umehisi.
Pili sijaacha kutaja uajemi kama ulivyoainisha.
Tatu, bado hujajibu swali nililokuuliza:
"Ni ushahidi upi unaoonesha kuwa watu weusi ndio waliojenga pyramids hadi ya Mexico? "
Ni lini hasa?
Twende taaratibu.
Duuh hapa ninajifunza mengine mapya zaidi....kuhusu Ubantu na jamii ya waethiopia waliyofanya mengi ya kale katika enzi hizohizo za Egypt na Israel ambao binafsi ninajua fika wale si wabantu...(Tuache haya kwanza)MTU mweusi ni MTU wa mbengu tatu, ya kibantu ndio kiini, inakuja Tutsi naethiopian type, zote hizi zina vijitawi vyake, hizo ndio asili ya binadamu wote duniani
Unataka kuipindisha mada,ijapo haina mantiki lakini hajalishiDuuh hapa ninajifunza mengine mapya zaidi....kuhusu Ubantu na jamii ya waethiopia waliyofanya mengi ya kale katika enzi hizohizo za Egypt na Israel ambao binafsi ninajua fika wale si wabantu...(Tuache haya kwanza)
Mimi kikubwa tu ninataka at least unioneshe au unipe reference ya kitu kinachothibitisha kuwa wabantu ndio walidesign na kujenga hizi Old pyramids ambapo hata Mexico zipo.
Duuh....kumbe walifanya makusudi ili kufuta ushahidi?Unataka kuipindisha mada,ijapo haina mantiki lakini hajalishi
Mbantu anajulikana kwa pua lake hapa
Hebu tazama farao Khufu aliyejengewa piramidi kuu Google, watu bwana wamevunja pua zote za masanamu ya babu zetu ilikufuta ushahidi...
Haina shaka tuko pamojaNisipoamini kuwa Egypt ipo Afrika nitakuwa nashangaza dunia.
Jitahidi ujibu maswali yangu ili twende taratibu katika majlis hii adhim bidada :-
Unaposema watu weusi unamaanisha ni Wabantu ndio waliojenga Old pyramids za Egypt na za Mexico?
Kinachotumaliza sisi weusi Woga wa kimapokeo kutoka kwenye maandiko ya kihistoria yaliyoandikwa na wazungu Kwamba tulianzia kuwa Masokwe je hao wazungu walikuwa sokwe gani?
Kwamba Watu weusi tulishawahi kutawala dunia halafu ustaarabu wa kuvaa nguo pamoja na elimu dunia vimeletwa na weupe, akili ya kuamini kuwa mtu mweusi alishatawala dunia ni kuaminishwa uongo kuliko uhalisiahiyo ni kutafuta huruma ya ulimwengu. Waafrika tukubali kwamba tuko nyuma. tupambane na hali zetu, tusonge mbele. tusijidanganye na historia feki. Eti tulishatawala Ulaya!!!. Alitawala haanguki jumla jumla. Iangalie Babeli (Iraq), Iangalie Uajemi (Iran), Angalia Ugiriki, angalia na Roman Empire (Italy). kwa akili tu ya kawaida, unaziona zinafana na Tanzania? maisha yao yanafanana na ya Wagogo wa Dodoma? Aliyewahi kuwa juu hawezi kuanguka jumla jumla hadi anakuwa hana nguo na anaishi katika mashimo. Wakati wakoloni wanakuja sisi tulikuwa katika mashimo. Waulize babu zako kama waliwahi kuwa na maendeleo kabla ya Wazungu zaidi ya kumiliki wake ambao wapo uchi.
TUACHANE NA HISTORIA FEKI, TUFANYE KAZI KWA BIDII, TUSOMESHE WATOTO ILI NA SISI SIKU MOJA TUWE KAMA CHINA NA MAREKANI INGAWA WAKATI HUO WENYEWE WAKATUWA LEVEL NYINGINE YA JUU ZAIDI.
Tatizo takwimu, na uhafifu wako wa ujuzi wa historia hakubatilishi nafasi ya mtu mweusi katika mchango wa ustaarabu wa binadamuKwamba Watu weusi tulishawahi kutawala dunia halafu ustaarabu wa kuvaa nguo pamoja na elimu dunia vimeletwa na weupe, akili ya kuamini kuwa mtu mweusi alishatawala dunia ni kuaminivyo uongo kuliko uhalisia
Kabla ya kuweka avatar ya Malcom X nenda ukajifunze alisema Nini??? Kuhusu historia kongwe ya watu weusiKwamba Watu weusi tulishawahi kutawala dunia halafu ustaarabu wa kuvaa nguo pamoja na elimu dunia vimeletwa na weupe, akili ya kuamini kuwa mtu mweusi alishatawala dunia ni kuaminivyo uongo kuliko uhalisia
Historia zingine huwa ni fake ili kuaminisha watu uongo, wewe angalia hakuna mahali popote duniani alipo mtu mweusi kukawa na maendeleo ya maana, sasa hii historia ya kuaminishwa kuwa mtu mweusi alikuwaga na nguvu sana kuliko mweupe ilikuwaje mtu mweusi ndio akawa mwanadamu mnyonge na dhaifu sana kuliko mweupe?Kabla ya kuweka avatar ya Malcom X nenda ukajifunze alisema Nini??? Kuhusu historia kongwe ya watu weusi
Hebu tuoneshe angalao ustaarabu mmoja au miwili tu waliouanzisha Watu weusi mnaosema ndio waasisi wa ustaarabu?Tatizo takwimu, na uhafifu wako wa ujuzi wa historia hakubatilishi nafasi ya mtu mweusi katika mchango wa ustaarabu wa binadamu
Duuh...haya banaHaina shaka tuko pamoja
Unaposema watu mweusi tuna maanusha mbegu tatu nimesha sema, we una taka kumbagua mbantu, umfanye hana maana, lakini yeye ndio kizazi cha wote
Ndugu????? Kweli????Hebu tuoneshe angalao ustaarabu mmoja au miwili tu waliouanzisha Watu weusi mnaosema ndio waasisi wa ustaarabu?
Hujachelewa, Rudi makitaba ukajifunzeHistoria zingine huwa ni fake ili kuaminisha watu uongo, wewe angalia hakuna mahali popote duniani alipo mtu mweusi kukawa na maendeleo ya maana, sasa hii historia ya kuaminishwa kuwa mtu mweusi alikuwaga na nguvu sana kuliko mweupe ilikuwaje mtu mweusi ndio akawa mwanadamu mnyonge na dhaifu sana kuliko mweupe?
Nambie ni wapi kunako na majority ya weusi kukawa na maendeleo makubwa kuliko kwa weupe?Hujachelewa, Rudi makitaba ukajifunze