Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Mkuu

Hayo yote tunafanyiwa mwafrika alikuwa wapi?

This proves afro weak marbles
 
Hao watu weusi walitapakaa kote duniani wapi zaidi tu ya Afrika hii?

Hiyo michoro ya watu weusi zaidi ya hii ya Amboni, inapatika wapi kwingine duniani?
 
Hujibu maswali ya msingi unayoulizwa.

Huna facts, Huna ushahidi kwa uulizwayo.

Wewe hujui hata unatetea nini.
 
Una joining na na Mani watu wanakuibia na kukutupiamagonjwa???? Unachekesha wewe
Wewe mwenye akili na mwasisi wa ustaarabu unakubalije kutupiwa magonjwa?

Ustaarabu ni pamoja na tiba mbadala kama hujui.

Kuibiwa na kutupiwa magonjwa ni kunatokana na Ujinga.
 
Kama mwaafrika ndio mtu aliye wahi kuwa na akili nyingi kuliko mzungu. basi muafrika tungemuona kwenye matokeo.
 
Yeah,tales za ubabaishaji sababu kwenye vitabu ulivyosoma na vyombo vingine vya habari kulikua na "authentic" tales kumhusu mtu mweupe,na hizo ndio haswaa unazipenda na kuziabudu.
Bukoba hebu msikilize mtu anaitwa azraeli, Katoa maswali yake, Bila kufuatilia nyuzi, mi nipo bize kidogo hapa ntarudi bdae kidogo, Asante ndugu
 
Uvivu na ujinga wenu kusoma haubatilishi uasilia wa mbegu asilia ya mtu mweusi, nawala kwa kuwa hauoni mwezi kipofu, haimaanishi haupo
neno Bantu Ni neno lenyewe asili yake Misri ya kale likimaanisha antu ama watu, kutoka ibada kongwe ya kuhani Anu, aliye hudumu kwenye utawala wa farao wa dola la Kwanza Namera ama Menes
Shangazi zenu hao enzi wanaishi mapangoni
Juu mfalme menes, wajomba zenu wanavunja pua, lakini wapi ushahidi haufutiki
 
Hapo hujajibu swali nililokuuliza.
Jibu swali ndipo uulize swali.

Waisraeli ni watu weusi? ni Wabantu?
Ni sawa kuhoji trafiki nae polisi, sababu kavaa sare nyeupe?? Uzeruzeru ugonjwa wa ngozi, asili ya weupe, pua nyembamba na nywele za singa ni watu weusi, na mbantu ndio wa kwanza
Mtu mweusi anambengu tatu, unaposema mweusi ni mbegu tatu, wayahudi lugha yao chimbuko lake wambulu na wamasai baba za watutsi, wasomali na wahabeshi, mwisho utasema wambulu na waamasai sio pia sio weusi??? Aina tatu za mbegu nyeusi, Bantu, kushi, niloti Hawa niloti ndio figa la wayahudi ama wa semite au wa shemu
Hata history ya darasa la tano hukusoma? Azareli, jina la malaika wa kiyahudi, kweli wamekufunga kufuli kichwani
 
Imagine"

Imagine there's no heaven
It's easy if you try
No hell below us
Above us only sky
Imagine all the people
Living for today... Aha-ah...

Imagine there's no countries
It isn't hard to do
Nothing to kill or die for
And no religion, too
Imagine all the people
Living life in peace... You...

You may say I'm a dreamer
But I'm not the only one
I hope someday you'll join us
And the world will be as one

Imagine no possessions
I wonder if you can
No need for greed or hunger
A brotherhood of man
Imagine all the people
Sharing all the world... You...

You may say I'm a dreamer
But I'm not the only one
I hope someday you'll join us
And the world will live as one
 
Mmhhh, haya bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…