Watu weusi ndio walivuka bahari kuu na kufanya ustaarabu kote Asia na Ulaya

Kwahiyo unaamini kwamba, mikuki, majembe, majahazi, nguo zote ni mazao ya wageni Afrika? Hapana, tumepitia yote waliyo yapitia wao, ili tu lingetosha kudhihirisha kwamba, weusi ni watu, watu walio kamili, hivyo wangeweza kuyafanya yote ambayo wengine wameyafanya. Naamini yaliyo nenwa na mleta Uzi ni ya kweli na yalishatukia.

Tunaambiwa hata Simon wa Krene alikuwa ni black. Muungiliano lazima ulikuwepo.
 
Asante ndugu, polepole tutafika, kung'oa misumari na miiba hii dhalimu waliyotuchoma
 
Tunaambiwa hata Simon wa Krene alikuwa ni black. Muungiliano lazima ulikuwepo.
ndo maana alishurutishwa kuubeba ule Msalaba. Angekuwa Mzungu asingelazimishwa kuubeba msalaba wa Yesu. Hiyo pia inadhihirisha kuwa tulikuwa nyuma ya wenzetu miaka mingi sana. Tuamke, tupambane, tuache kulalamika kuwa tulionewa. Sisi ndo tumejionea wenyewe. tupambane tusonge mbele waliko wenzetu.
 
Asante, tutayajibu maswali yako mazuri polepole
 
 
Asante ndugu
 
Tatizo la haya maneno cjawahi ona solid evidence kuthibitisha haya....najiuliza maandishi yap haswa ni waafrica kwa asili...kwa michoro ya kondoa irangi na mingine tunajenga hoja gani...mimi ni mtanzania na napenda kuwa mtanzani mweusi ...ni seme ni mbaguzi wa rangi pia ndani ya moyo wangu haswa ninapoona mweusi anashindwa na mzungu mf. mpira so nadhani kama ningekua na mamlaka baadhi ya maamuzi yangu yangeamua kwa rangi black first.....lakini nimeishi na wazungu wengi wanatabia tu kama za watu wa mbagala rangi tatu na wakati mwingine wachafu zaidi ya hapo...kunya ovyo..kula ovyo..kutokuoga na mengine...kusema kweli kuna vitu vingi sana wazungu wametuzidi kutokana na maisha ya sasa yalivyo (ukisasa) ni maisha yao ya kila siku yaliyopo africa pia mf..namna mzungu anavyokula, maamuzi yao...uvaaji wao..maongezi...hata jinsi tu ya kufunga kamba za kiatu ni kama wako more advance kuliko sisi...nao pia tukiwa katika maisha yetu halisi tumewazidi mf.kukata majani kwa panga, kuchinja mbuzi, kula ugali na vingine kwa mikono,..kazi nyingi za mikono zisizo na machine wabongo tupo vizuri......so kusema waafrica ndio tulikua the first ni kama uzushi flani hivi bila kuwa na evidence kuna vitu kama akili ni nature tu hata ufanyweje zinabaki...lakini nikiangalia hata wamasai na kabila nyingine za kibantu nyingi huoni huo uhalisia wa kuwa waliku vizuri kuliko wazungu......natamani watokee watu wanye uwezo wa kuthibitisha huo ukweli na watuambie tulipotelea wapi....ntakuwa mbaguzi plus now.
 
Tupambane kujiletea maendeleo. Historia haiwezi kutusaidia kitu. Hizo ni zilipendwa.
Kama tulistaarabika tulijizua vip kutokuchuliwa utumwani,unakuta mtu mmoja ana bunduki anaswaga makundi ya watu porini,MTU anatumwa apeleke barua kwa DC kilometer 40 akifika DC anaisoma barua kumbe barua inamtaka muhusika awekwe ndani au alambwe viboko.Kulikuwa na magwiji wa waganga na walozi wa hali ya juu,lkn walishindwa kuzuia utumwa hadi ulipositishwa na waliouleta baada ya uvumbuzi wa machine,hata Uhuru walitupa wao baada ya kuona kutawala direct ni gharama wakatupa Uhuru bandia kupitia kwa wakoloni weusi ili watunyonye wakishirikiana na wakoloni weusi, ndo maana miaka 50 ndani ya kujitawala Africa hakuna maendeleo, wakati wakoloni weupe walitawala mda mfupi kuliko tulioupata baada ya Uhuru lkn walileta maendeleo yanayoonekana,ikiwemo miji, miundombinu,mashule,nk.Mkoloni mpya kwa Africa ni China kupitia mkoloni mweusi ambae ndo mnufaika mkubwa kwa sasa wa raslimali za africa, kwake tutegemee tu kuiweka Africa bond km ilivo Bandari ya Malaysia na Srilanka.
 
Tatizo ni anguko la ustaarabu wa kiafrika.!

'Hapana' sio kwa kiwango hiki..!?

Tembo hakondi kufikia kiwango cha Mbuzi.

Ni Uongo mtupu na
Kutafuta Huruma.
Ndio nyinyi tukiwaita mrudi kwenye ibada yenu asilia mnaanza yesu yesu, muhamadi muhamadi!!!! Ndio watu Kama nyinyi mnatukwamisha.....lakini tutajikomboa tu
 
nilijua tu fikra fupi hamuishagi
 
hizo falsafa tu. jana mbovu haiwezi kukusaidia kusonga mbele. Jana yetu ilikuwa mbovu ndo maana tupo nyuma, hivyo hatuna cha kujifunza kutoka jana yetu. Tupambane kusonga mbele.
Ndio nyinyi tukiwaita mrudi kwenye ibada yenu asilia mnaanza yesu yesu, muhamadi muhamadi!!!! Ndio watu Kama nyinyi mnatukwamisha.....lakini tutajikomboa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…