Watu weusi watabaki masikini na duni milele

Shauri nini kifanyike tunyanyuke kiuchumi.
 
Wewe ni mwehu.

Kuna mahali mimi nimeandika nna chuki na weupe au ukichaa wako ndiyo unakutuma uone nimesema hivo
Mwehu ni wewe na akili huna ndio maana unaona fahari kujiita Vladimir Putin na utazidi kuwa maskini hivyo hivyo.
 
Ukitaka heshima, fanya kazi.
 
Ndiyo uwezo wako wa kufikiria ulipokomea.

Any way ngoja nichague kuachana na mwehu maana huna cha maana unachoweza kunifunza, zaidi tu ngoja nikuchukulie una mtindio wa ubongo
 
Ndiyo uwezo wako wa kufikiria ulipokomea.

Any way ngoja nichague kuachana na mwehu maana huna cha maana unachoweza kunifunza, zaidi tu ngoja nikuchukulie una mtindio wa ubongo
🤣🤣🤣🤣 Nimegonga penyewe ,utaendelea kuwa jinga na maskini Kwa sababu huna akili na unaamini Putin can think after ,Kwa Ajili hizi Bora uendelee kuwa fukara ili ulaumu na kulalamika zaidi Kwa kuwa huna suluhisho.
 
Umeongea kitu mantiki sana broo na kinaeleweka wala hakihitaji ufafanuzi .
 
Toa suluhu sio kudhihaki na kulalamika,onyesha njia za kuelekea kwenye ukombozi
Kwani unadhani njia hazijulikani ?

Mbona kila siku zinahubiriwa kwenye majukwaa na makongamano mbali mbali ?

Na siyo leo tu, maono waliyokuwa kina Nyerere, Nkurumah, Sankara na wengineo yalifanyiwa kazi kufikia malengo ?

Kila kitu kiko wazi wala siyo kwamba njia hazijulikani
 
Tunahitaji kuchanganya tamaduni multicultural kama hao wazungu walivyofanya kwao .
Utamaduni upi, ushoga au upi unausemea.

Maana kama utamaduni wao tunaishi nao sana mpaka sasahivi.

Tangu kwenye ukoloni wametuachia utamaduni wao mpaka leo na wamefanya tukavisahau vya kwetu.
 
Ni upuuzi wa kutosha tunao by the way
 
Ukisoma comments nyingi za hii thd,unaweza kudhani wachangiaji wengi sio waafrica wenyewe bali ni watu weupe,

Kila mtu analalamika,kila mtu anaulani Uafrica! Kama hujithamini na kujikubali ni nani atakuthamini? mabadiliko huanza na fikra kwanza.
Watu tumeshakuwa brain washed ili tujikatae na kukataa kila kilicho chetu.

And that's the problem
 
Nimekuelewa lkn sikubaliani na wewe pale unaposema tuna baguliwa.

Unamkumbuka Michael aliye wahi kuwa Makamu wa Edga Lungu hapo Zambia na baadae kilitokea nini baada ya kifo cha Lungu?
 
Wanatushinda hata Waarabu wa Kangwani kweli...[emoji848]
Leo hii wanadiriki kwa hila kuzitawala mali asili zetu na wanapewa na sisi weusi huku tukishangilia.

Watu Waafrika weusi kweli tuna kazi kubwa ya kufanya ili tuwe sawa.

Imefikia kamji ka Dubai kaliko sawa na Mafia kwa ukubwa kanaitikisa Tanganyika.
Kanalitikisa Bunge letu kweli...[emoji848]
 
Bila kujali kitu gani kilituumiza huko nyuma, ama tulikosea wapi.

Pamoja na hayo yote ya ukoloni, utumwa n.k but the issue ni "Ni kweli hatuwezi kutoka hapo tulipo tukaja kwenye ulimwengu waliopo wengine" ?

Jibu ni inawezakana, sema tu ujinga na upumbavu tunaoendekeza.

Kifupi naweza kusema waafrica tupo hapa tulipo kwa sababu ya kutaka sisi wenyewe wala hatupaswi kumlaumu mzungu
 
Huwezi kujiona sahihi iwapo unaweza kuiga mfumo wa mtu mwingine na hauwezi kuutumia au kuufuata, lazima uwe tofauti naye tu na yeye akuongoze maana ndiyo mwenye mfumo wake uliotokana na akili yake

Waafrika ni watu Bora sana kuliko unavyotaka kujidharau, kilichokosekana ambacho kilitokea mbali ni mambo makuu matatu tu

Ilipaswa kua hivi:

1. Africa iwe nchi moja

2. Yenye Lugha moja na pesa moja ya kwake

3. Yenye mfumo wa elimu ya kwake nje kabisa na mfumo wa mtu mwingine kama wafanyavyo Russia na China

Katika hayo mambo matatu Kuna matawi mengi sana ndani yake ambayo yangetufanya tujiendeshe na si kujidharau kama mtu mweusi sijui ni wa hovyo, basi tungekua wa hovyo hivyo hivyo kupitia hayo mashina matatu niliyosema na tungefanya nao biashara hivyo hivyo kulingana na u hovyo wetu

Sisi ni watu wagumu,wenye ngozi nzuri,nywele nzuri,wavumilivu wa hali ya hewa, wenye akili ya kwetu na MUNGU alituweka kwa makusudi Bora kabisa Duniani

Kamwe sita udharau utu wa mtu mweusi hata siku moja
 
Changes start with you. By JKN.
Ukibadirika wewe waafrika watakuwa wamebadirika.
Wanao ibadili marekani sio wengi ni wacgache kabda 10% tu.
Wengine ni mkumbo ndio unaowabeba.
Tatizo lipo zaidi kwa wenye madaraka/wanao tuongoza.

Hao wakishakosa vision nzuri ni ngumu sana tabaka linalotawaliwa kuchukuma njia mbadala.

Baadhi ya waasisi wetu wa zamani kama kina nkurumah, nyerere na wengineo.

Walijaribu kutuonesha vision lakini wakafelishwa na mbinu za mabepari kwa kuwatumia waafrica wenzetu hao hao
 
Umesahau na udini.... Ndio umetufikisha huku....

Walioleta dini africa, wamesababisha africa tuwe maskini zaidi na zaidi.... Hawa waloleta dini africa inabidi wachomwe kwenye tanuli la moto mkali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…