Watu wote wanaoandaa chakula, hasa kachumbari wanatakiwa kuvaa gloves

Watu wote wanaoandaa chakula, hasa kachumbari wanatakiwa kuvaa gloves

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Nadhani hakuna chakula kinachosambaza magonjwa Tanzania hii kama kachumbari.

Mtu anaenda maliwatoni na maji ya kopo. Hata hajajitawaza vya kutosha anakuja kukata kachumbari. Wewe unapewa hiyo kachumbari unafakamia. Magonjwa mengi sana yanaenea kwa mtindo huu.

Amiba, vidonda vya tumbo, typhoid, minyoo, shigella na mengine lukuki. Ni wakati kwa mabwana afya kuhakikisha watu wote wanaoshika chakula kama kuandaa kachumbari, kuandaa chachandu, kukata nyama choma au kukata matunda wanavaa gloves(Wakata matunda wengi wanajitahidi kwa hili).

Hili linaweza punguza zaidi ya asilimia 50 ya magonjwa ya matumbo, baya kuliko yote likiwa vidonda vya tumbo.

1697660652188.jpeg

1697660683421.jpeg
 
Yeah hii ni kweli kuna sehemu kila nikila chakula chao lazima tumbo liniume na zaidi kwa sababu kazi inanibana lazima nile ila kwa sasa nimeamua kubadilisha mlo nashukuru sipati hayo madhira tena.

Kwa ujumla sekta ya chakula kuandaa inataka waandaji wavae gloves muda wote kuepusha haya magonjwa ya tumbo.
 
Tatizo idara ya chakula wanapokea mishahara ya bure tu, watu wanalishwa mafuta ya transformer na mishkaki ya paka sababu hakuna ukaguzi wa vyakula mitaani.

Na ndio sababu kuu huwa nakula chakula cha nyumbani tu, ni aidha niondike nacho kwenda kazini, nirudi mchana ama niletewe kazini.
 
Huku uswahilini tunakula mihogo iliyotiwa kachumbari zenye nyanya zilizooza.

Na hatuharishi yani fresh tu.

So kuna kitu ambacho mimi nimekibaini.

Ni kwamba unapokuwa mtu wa kuchukua caution za kiafya kwa kila kitu kuna hasara pia ambayo unaipata.

Hasara hiyo ni kupoteza immune ya kuweza kupambana na bacteria nyemelezi.

Zile kinga zikikaa mwilini bila kupata challenge zinakuwa useless na mwisho wa siku zinakufa.

Ebu fikiria hii.

Ni vichaa wangapi ambao tunawaona wakiokota vyakula vilivyooza majalalani na kuvila?

Wanalala sehemu ambayo ni unsafe wanapigwa na mbu usiku mzima na huwezi kumuona amezima eti maleria imempanda.

Maana yake ni kwamba kinga yake iko active na ina nguvu kwasababu kila siku anapokula chakula kichafu.

Mwili una adopt na kuanza ku generate kinga kuendana na mazingira hayo.

Ndio maana chungwa alilookota jalalani akala, ukipewa wewe lazima tumbo liume na kuharisha juu.

Kwa hiyo ukiangalia kwa hizo circumstances utaweza kuona mazoea yana play part kufanya kinga iwe active au passive.
 
Huku uswahilini tunakula mihogo iliyotiwa kachumbari zenye nyanya zilizooza.

Na hatuharishi yani fresh tu.

So kuna kitu ambacho mimi nimekibaini...
Unahalalisha uchafu

Kuna wenye matumbo na wenye madampo.

Uamuzi ni wako kama unadampoo we Kula tu unachokutana nacho. But kama unatumbo ndg kuwa makini na vyakula vya mtaani.
 
Unahalalisha uchafu

Kuna wenye matumbo na wenye madampo.

Uamuzi ni wako kama unadampoo we Kula tu unachokutana nacho. But kama unatumbo ndg kuwa makini na vyakula vya mtaani.
Sijasema nahalalisha uchafu.

Chakula unachokula wewe na kukiona kisafi kinaweza kisiwe kisafi kwa mtoto wa Billgate na kikamletea madhara ya tumbo.

Nimeongelea upande wa pili ambao unapaswa kukumbukwa pia.

Unapojiweka kwenye circle ya kiafya kwa kufuata kila caution kuna vitu vya msingi ambavyo unaweza uka-lose.

Hizo kinga zinabidi zitumike, kama ukiwa unazirahisishia kwa kufanya kila kitu wewe basi unajiweka kwenye hatari ya kuwa na kinga dhaifu.
 
Huku uswahilini tunakula mihogo iliyotiwa kachumbari zenye nyanya zilizooza.

Na hatuharishi yani fresh tu.

So kuna kitu ambacho mimi nimekibaini.

Ni kwamba unapokuwa mtu wa kuchukua caution za kiafya kwa kila kitu kuna hasara pia ambayo unaipata.

Hasara hiyo ni kupoteza immune ya kuweza kupambana na bacteria nyemelezi.

Zile kinga zikikaa mwilini bila kupata challenge zinakuwa useless na mwisho wa siku zinakufa.

Ebu fikiria hii.

Ni vichaa wangapi ambao tunawaona wakiokota vyakula vilivyooza majalalani na kuvila?

Wanalala sehemu ambayo ni unsafe wanapigwa na mbu usiku mzima na huwezi kumuona amezima eti maleria imempanda.

Maana yake ni kwamba kinga yake iko active na ina nguvu kwasababu kila siku anapokula chakula kichafu.

Mwili una adopt na kuanza ku generate kinga kuendana na mazingira hayo.

Ndio maana chungwa alilookota jalalani akala, ukipewa wewe lazima tumbo liume na kuharisha juu.

Kwa hiyo ukiangalia kwa hizo circumstances utaweza kuona mazoea yana play part kufanya kinga iwe active au passiv
Huku uswahilini tunakula mihogo iliyotiwa kachumbari zenye nyanya zilizooza.

Na hatuharishi yani fresh tu.

So kuna kitu ambacho mimi nimekibaini.

Ni kwamba unapokuwa mtu wa kuchukua caution za kiafya kwa kila kitu kuna hasara pia ambayo unaipata.

Hasara hiyo ni kupoteza immune ya kuweza kupambana na bacteria nyemelezi.

Zile kinga zikikaa mwilini bila kupata challenge zinakuwa useless na mwisho wa siku zinakufa.

Ebu fikiria hii.

Ni vichaa wangapi ambao tunawaona wakiokota vyakula vilivyooza majalalani na kuvila?

Wanalala sehemu ambayo ni unsafe wanapigwa na mbu usiku mzima na huwezi kumuona amezima eti maleria imempanda.

Maana yake ni kwamba kinga yake iko active na ina nguvu kwasababu kila siku anapokula chakula kichafu.

Mwili una adopt na kuanza ku generate kinga kuendana na mazingira hayo.

Ndio maana chungwa alilookota jalalani akala, ukipewa wewe lazima tumbo liume na kuharisha juu.

Kwa hiyo ukiangalia kwa hizo circumstances utaweza kuona mazoea yana play part kufanya kinga iwe active au passive.
Ingekuwa ukiumwa mara moja unatengeneza kinga na huumwi tena ingekuwa sawa. Lakini kwa sababu kuumwa au kuwa exposed na wadudu wa magonjwa hakutengenezi kinga ya milele, lazima tuchukue tahadhari.

Vichaa wanaumwa sana sema hawasemi. Pia maisha ya vichaa wengi ni mafupi sana. Wengi hawafiki uzeeni.
 
Nadhani hakuna chakula kinachosambaza magonjwa Tanzania hii kama kachumbari.

Mtu anaenda maliwatoni na maji ya kopo. Hata hajajitawaza vya kutosha anakuja kukata kachumbari. Wewe unapewa hiyo kachumbari unafakamia. Magonjwa mengi sana yanaenea kwa mtindo huu.

Amiba, vidonda vya tumbo, typhoid, minyoo, shigella na mengine lukuki. Ni wakati kwa mabwana afya kuhakikisha watu wote wanaoshika chakula kama kuandaa kachumbari, kuandaa chachandu, kukata nyama choma au kukata matunda wanavaa gloves(Wakata matunda wengi wanajitahidi kwa hili).

Hili linaweza punguza zaidi ya asilimia 50 ya magonjwa ya matumbo, baya kuliko yote likiwa vidonda vya tumbo.

View attachment 2785964
View attachment 2785965
Wave mask na neti za nywele pia

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Nadhani hakuna chakula kinachosambaza magonjwa Tanzania hii kama kachumbari.

Mtu anaenda maliwatoni na maji ya kopo. Hata hajajitawaza vya kutosha anakuja kukata kachumbari. Wewe unapewa hiyo kachumbari unafakamia. Magonjwa mengi sana yanaenea kwa mtindo huu.

Amiba, vidonda vya tumbo, typhoid, minyoo, shigella na mengine lukuki. Ni wakati kwa mabwana afya kuhakikisha watu wote wanaoshika chakula kama kuandaa kachumbari, kuandaa chachandu, kukata nyama choma au kukata matunda wanavaa gloves(Wakata matunda wengi wanajitahidi kwa hili).

Hili linaweza punguza zaidi ya asilimia 50 ya magonjwa ya matumbo, baya kuliko yote likiwa vidonda vya tumbo.

View attachment 2785964
View attachment 2785965
Kachumbari hua naikataa popote pale
 
Huku uswahilini tunakula mihogo iliyotiwa kachumbari zenye nyanya zilizooza.

Na hatuharishi yani fresh tu.

So kuna kitu ambacho mimi nimekibaini.

Ni kwamba unapokuwa mtu wa kuchukua caution za kiafya kwa kila kitu kuna hasara pia ambayo unaipata.

Hasara hiyo ni kupoteza immune ya kuweza kupambana na bacteria nyemelezi.

Zile kinga zikikaa mwilini bila kupata challenge zinakuwa useless na mwisho wa siku zinakufa.

Ebu fikiria hii.

Ni vichaa wangapi ambao tunawaona wakiokota vyakula vilivyooza majalalani na kuvila?

Wanalala sehemu ambayo ni unsafe wanapigwa na mbu usiku mzima na huwezi kumuona amezima eti maleria imempanda.

Maana yake ni kwamba kinga yake iko active na ina nguvu kwasababu kila siku anapokula chakula kichafu.

Mwili una adopt na kuanza ku generate kinga kuendana na mazingira hayo.

Ndio maana chungwa alilookota jalalani akala, ukipewa wewe lazima tumbo liume na kuharisha juu.

Kwa hiyo ukiangalia kwa hizo circumstances utaweza kuona mazoea yana play part kufanya kinga iwe active au passive.
Mkuu unataka wote tuwe vichaa? Lifestyle hiyo?
 
MImi mgumu sana kula kachumbari...hotelini pekee huwa nashawishika kwa ajili ya usimamizi japo watu ni walewale.

Ukweli ni kwamba watu wanagusa nyeti zao, pua nk na hawajisafishi vizuri..tunakula tu...
 
Huku uswahilini tunakula mihogo iliyotiwa kachumbari zenye nyanya zilizooza.

Na hatuharishi yani fresh tu.

So kuna kitu ambacho mimi nimekibaini.

Ni kwamba unapokuwa mtu wa kuchukua caution za kiafya kwa kila kitu kuna hasara pia ambayo unaipata.

Hasara hiyo ni kupoteza immune ya kuweza kupambana na bacteria nyemelezi.

Zile kinga zikikaa mwilini bila kupata challenge zinakuwa useless na mwisho wa siku zinakufa.

Ebu fikiria hii.

Ni vichaa wangapi ambao tunawaona wakiokota vyakula vilivyooza majalalani na kuvila?

Wanalala sehemu ambayo ni unsafe wanapigwa na mbu usiku mzima na huwezi kumuona amezima eti maleria imempanda.

Maana yake ni kwamba kinga yake iko active na ina nguvu kwasababu kila siku anapokula chakula kichafu.

Mwili una adopt na kuanza ku generate kinga kuendana na mazingira hayo.

Ndio maana chungwa alilookota jalalani akala, ukipewa wewe lazima tumbo liume na kuharisha juu.

Kwa hiyo ukiangalia kwa hizo circumstances utaweza kuona mazoea yana play part kufanya kinga iwe active au passive.
Kwani kila asokotwaye tumbo na kuarisha lazima afe? Huyo kichaa tumbo linamsokota mpaka linapona lenyewe na utamkuta amelala popote, je wewe unaweza? Kwahiyo unaona ni sawa kusimamisha shughuli zako kwa kula uchafu?
 
Nadhani hakuna chakula kinachosambaza magonjwa Tanzania hii kama kachumbari.

Mtu anaenda maliwatoni na maji ya kopo. Hata hajajitawaza vya kutosha anakuja kukata kachumbari. Wewe unapewa hiyo kachumbari unafakamia. Magonjwa mengi sana yanaenea kwa mtindo huu.

Amiba, vidonda vya tumbo, typhoid, minyoo, shigella na mengine lukuki. Ni wakati kwa mabwana afya kuhakikisha watu wote wanaoshika chakula kama kuandaa kachumbari, kuandaa chachandu, kukata nyama choma au kukata matunda wanavaa gloves(Wakata matunda wengi wanajitahidi kwa hili).

Hili linaweza punguza zaidi ya asilimia 50 ya magonjwa ya matumbo, baya kuliko yote likiwa vidonda vya tumbo.

View attachment 2785964
View attachment 2785965
Basi Kuna wale wanaouza nyama choma! Utakuta kisu na unao anaokatia nyama mbichi ndio hicho hicho anakatia nyama iliyowiva tayari kumpa mteja!!
Yaani Mungu tuuh!!
 
Basi Kuna wale wanaouza nyama choma! Utakuta kisu na unao anaokatia nyama mbichi ndio hicho hicho anakatia nyama iliyowiva tayari kumpa mteja!!
Yaani Mungu tuuh!!
Hatuko vizuri kwenye usafi. Mungu tu anatulinda. Otherwise wote tungekuwa wagonjwa wa matumbo.
 
Basi Kuna wale wanaouza nyama choma! Utakuta kisu na unao anaokatia nyama mbichi ndio hicho hicho anakatia nyama iliyowiva tayari kumpa mteja!!
Yaani Mungu tuuh!!
Kazi kweli kweli. Una- transfer bacteria wote
 
Back
Top Bottom