Kutokutekeleza adhabu ya kifo ndio inafanya mambo yawe hiviJeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa watatu wa mauji ya aliyekuwa mfanyakazi wa mgodi wa GGM Geita Milembe Selemani yaliyotokea Aprili 26,2023 katika mtaa wa Mwatulole mkoani Geita pamoja na watu watatu waliofanya mauji ya aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende Dk. Isack Daniel Athuman Mkoani Mara.
Akizungumza jijini Dodoma Msemaji wa Jeshi la polisi David Misime amesema kuwa Mtuhumiwa mmoja kati ya hao amejinyoga kabla ya kukamatwa na Polisi baada ya kupata taarifa za kutafutuwa.
View attachment 2623875View attachment 2623876
Mshahara wa dhambi ni mauti. Mwanadamu huwa haelewi mpaka yamfike. Unaua halafu inaogopa kukamatwa Hadi unajinyonga, uliua kwanini?.Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa watatu wa mauji ya aliyekuwa mfanyakazi wa mgodi wa GGM Geita Milembe Selemani yaliyotokea Aprili 26,2023 katika mtaa wa Mwatulole mkoani Geita pamoja na watu watatu waliofanya mauji ya aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende Dk. Isack Daniel Athuman Mkoani Mara.
Akizungumza jijini Dodoma Msemaji wa Jeshi la polisi David Misime amesema kuwa Mtuhumiwa mmoja kati ya hao amejinyoga kabla ya kukamatwa na Polisi baada ya kupata taarifa za kutafutuwa.
View attachment 2623875View attachment 2623876
Polisi wanaharibu sana kesi za mauaji, ndugu wa marehemu wacheze nao karibu na kuwahusisha waandishi wa habari! Hii itasaidia kuwatisha hao mapolisi wasije wakapindisha ushahidi!Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa watatu wa mauji ya aliyekuwa mfanyakazi wa mgodi wa GGM Geita Milembe Selemani yaliyotokea Aprili 26,2023 katika mtaa wa Mwatulole mkoani Geita pamoja na watu watatu waliofanya mauji ya aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende Dk. Isack Daniel Athuman Mkoani Mara.
Akizungumza jijini Dodoma Msemaji wa Jeshi la polisi David Misime amesema kuwa Mtuhumiwa mmoja kati ya hao amejinyoga kabla ya kukamatwa na Polisi baada ya kupata taarifa za kutafutuwa.
View attachment 2623875View attachment 2623876
Tunamzungumzia Milembe au Daktari? Huyu mtuhumiwa wa nne ni WA Milembe au Dr? SijaelewaJeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa watatu wa mauji ya aliyekuwa mfanyakazi wa mgodi wa GGM Geita Milembe Selemani yaliyotokea Aprili 26,2023 katika mtaa wa Mwatulole mkoani Geita pamoja na watu watatu waliofanya mauji ya aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende Dk. Isack Daniel Athuman Mkoani Mara.
Akizungumza jijini Dodoma Msemaji wa Jeshi la polisi David Misime amesema kuwa Mtuhumiwa mmoja kati ya hao amejinyoga kabla ya kukamatwa na Polisi baada ya kupata taarifa za kutafutuwa.
View attachment 2623875View attachment 2623876
Kumbe mnaweza, la Lisu mbona kama "limewashinda", kweli serikali ya maguguli inahusika na kupigwa risasi kwa LisuJeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa watatu wa mauji ya aliyekuwa mfanyakazi wa mgodi wa GGM Geita Milembe Selemani yaliyotokea Aprili 26,2023 katika mtaa wa Mwatulole mkoani Geita pamoja na watu watatu waliofanya mauji ya aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kerende Dk. Isack Daniel Athuman Mkoani Mara.
Akizungumza jijini Dodoma Msemaji wa Jeshi la polisi David Misime amesema kuwa Mtuhumiwa mmoja kati ya hao amejinyoga kabla ya kukamatwa na Polisi baada ya kupata taarifa za kutafutuwa.
View attachment 2623875View attachment 2623876
Moja ya kesi za hovyo kabisa , jeshi hata lisipoteze mdaBado kutanzua sintofahamu juu ya kifo cha nusrat hanje wa udom...wakitanzua huu utata na sintofahamu hii kuhusu hichi kifo ....ndipo nitakuwa na imani na hili jeshi.
OkayJeshi la Polisi Tanzania limesema limefanikiwa kuwakamata Watuhumiwa watatu wanaodaiwa kumuua Mwanamke aliyekuwa anajulikana kwa jina la Milembe Seleman (43) Mfanyakazi wa Mgodi wa Geita Gold Mining (GGML) Kitengo cha Ugavi Mkazi wa Mseto Wilaya na Mkoa wa Geita, ambapo Mtuhumiwa wa nne wa mauaji hayo amejinyonga kabla ya kukamatwa na Polisi.
Msemaji wa Polisi Tanzania, David Misime amenukuliwa akisema “Watuhumiwa watatu wamekamatwa na uchunguzi unafanywa ili wafikishwe Mahakamani, Mtuhumiwa wa nne baada ya kupata taarifa kwamba Wahalifu wenzake wamekamatwa na Askari wamefika nyumbani kwake kumtafuta aliamua kujihukumu mwenyewe kwa kujinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali katika pori moja Wilayani Sengerema huyu anajulika kwa jina la Pastoli Lugodisha maarufu Buchuchu”
Itakumbukwa Milembe aliuawa mwishoni mwa mwezi April, 2023 kwa kukatwa sehemu mbalimbali za mwili wake na Watu ambao hawakujulikana kwa wakati huo .
Tatizo wengi wasio na hatia wangenyongwa, ukigombana tu na mtu mwenye cheo , unabambikiwa kesi unakula kitanzi, wenye pesa hawatanyongwa. Mfano ni yule Ditopile Mzuzuri