Hadi muda huu siaminii km wale ni wajeda, inawezekana ni yule m1 ambaye wasifu wake unatambulishwa wazi.Daah! Tutayasikia mengi sana Mtani.
Saa ingine ukute ni Wahuni tu na hicho walichofanya ndio kazi zao, hapo sababu wamemtaja Afande basi wamegeuzwa gumzo na kupewa vyeo visivyo hata vyao kama yule muuza madafu.
Swahiba afadhali hata umetupa ABC.Sheria za kijeshi wale watavuliwa uaskari halafu watakabidhiwa kwa polisi,sasa hivi watakua chini ya military police nimeona waziri gwajima kule x kasema kuna taratibu zinafuatwa baada ya hapo kila kitu kitakua wazi
Taarifa ya Tanpol inasema wanaendelea na uchunguzi haijasema imewakamata. ova.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.
Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu.
Kadhalika, katika video hiyo inayodaiwa kuchukuliwa na vijana hao, binti huyo alisikika akieleza anakotokea na kumwomba msamaha mtu aliyetambulishwa kwa jina la afande.
Masauni amethibitisha kutiwa nguvuni kwa vijana hao leo, Jumanne Agosti 6, 2024 alipotafutwa na Mwananchi Digital kwa njia ya WhatsApp.
Katika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika βtayariβ kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Hata hivyo, Waziri Masauni hajafafanua zaidi kwani amesema bado yupo kwenye mkutano kwa sasa.
Pia soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka
- TLS yalitaka Jeshi la Polisi kuwatia nguvuni waliohusika na kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia kilichotokea Yombo Dovya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaah wee!!!Sisi wa Agentina na Tiptop usituletee dharau
Em kuweni serious, wale vijana ni askari? Tena wa JWTZ?Sheria za kijeshi wale watavuliwa uaskari halafu watakabidhiwa kwa polisi,sasa hivi watakua chini ya military police nimeona waziri gwajima kule x kasema kuna taratibu zinafuatwa baada ya hapo kila kitu kitakua wazi
Na huyo aliyewatuma lazima aende jela1. Ni akina nani....majina yao
2. Wapelekwe mahakamani
In summary, We need to know them and bottom line wapelekwe mahakamani.
short of that tunaomba Madeleka autwae mzigo huu tutachanga fedha ya kumweesha kuendesha kesi
App ya mange kimambi naweza kuipataje kwenye simu yanu?Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.
Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu.
Kadhalika, katika video hiyo inayodaiwa kuchukuliwa na vijana hao, binti huyo alisikika akieleza anakotokea na kumwomba msamaha mtu aliyetambulishwa kwa jina la afande.
Masauni amethibitisha kutiwa nguvuni kwa vijana hao leo, Jumanne Agosti 6, 2024 alipotafutwa na Mwananchi Digital kwa njia ya WhatsApp.
Katika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika βtayariβ kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Hata hivyo, Waziri Masauni hajafafanua zaidi kwani amesema bado yupo kwenye mkutano kwa sasa.
Pia soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka
- TLS yalitaka Jeshi la Polisi kuwatia nguvuni waliohusika na kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia kilichotokea Yombo Dovya
Siwezi kuamini kabisa kama kweli captain wa jeshi anaweza fanya ujinga huo!? Labda kama ni captain wa kuteuliwa, captain alipitia kwenye mafunzo halisi ya u captain hawezi thubutu fanya ujinga huo!!Mtanii unaambiwa ni captain wa jeshi katuma wajeda wambake na kumlawiti binti huyo, kisa alitembea na mume wake. Lol
Sheria ifuate mkondo wake, Wallah.
Duuh!Masauni uliowakamata ni wa wapi? Mbona Jamhuri ya X(Twita) wanasema bado wapo Kambini Msata na asubuhi walikuwa kwenye mazoezi.
Kwenye captain kutuma vijana wafanye revenge kwa huyo mtoto naamini, ila hawa vijana kuwa ni wajeda na ni makomandoo, hapa hapanaa hadi muda huu nakataaa.Siwezi kuamini kabisa kama kweli captain wa jeshi anaweza fanya ujinga huo!? Labda kama ni captain wa kuteuliwa, captain alipitia kwenye mafunzo halisi ya u captain hawezi thubutu fanya ujinga huo!!
Swahiba nimetoa x huko hizi ABC πSwahiba afadhali hata umetupa ABC.
Ningekuwa Polisi, ningehakikisha kuwa ni mmojawapo wa wapelelezii kwenye kesi hii. Hili tukio ni la kutengeneza makusudi na kwa sababu ambazo siyo zile ambazo zinazojadiliwa na watu kwenye mitandaoWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.
Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu.
Kadhalika, katika video hiyo inayodaiwa kuchukuliwa na vijana hao, binti huyo alisikika akieleza anakotokea na kumwomba msamaha mtu aliyetambulishwa kwa jina la afande.
Masauni amethibitisha kutiwa nguvuni kwa vijana hao leo, Jumanne Agosti 6, 2024 alipotafutwa na Mwananchi Digital kwa njia ya WhatsApp.
Katika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika βtayariβ kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Hata hivyo, Waziri Masauni hajafafanua zaidi kwani amesema bado yupo kwenye mkutano kwa sasa.
Pia soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka
- TLS yalitaka Jeshi la Polisi kuwatia nguvuni waliohusika na kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia kilichotokea Yombo Dovya
Swahiba hadi nimecheka. Lol.Swahiba nimetoa x huko hizi ABC π
Usijali Swahiba zinatusaidia kimtindo. π€£π€£Swahiba nimetoa x huko hizi ABC π
X ni mpango mzima kule,halafu kuna waelewa kimtindo πSwahiba hadi nimecheka. Lol.
π€£π€£ oke oke swahiba.X ni mpango mzima kule,halafu kuna waelewa kimtindo π