Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Wale jamaa ilikuwa ni kunyongwa hadharani au kutandikwa risasi

Hili suala likichukuliwa simple tutawatengeneza wabakaji wengine wa aina hii

Adhabu kali ya kifo itolewe iwe onyo kwa wengine

Ule ni unyama aisee
 
Mtanii unaambiwa ni captain wa jeshi katuma wajeda wambake na kumlawiti binti huyo, kisa alitembea na mume wake. Lol

Sheria ifuate mkondo wake, Wallah.
Naanza kuamini msemo wa Mchungaji Jacob kule Youtube.

Hawa ndio wasiojulikana wanaotumiwa na watu waovu...ukitekwa tu wanatumwa kukula kiboga.
 
Mmh! Ni vile tu umeamua kuwa upande wa nyumba ndogo lakini kiukweli hata huyo nyumba ndogo ukimpandisha hadhi akawa mke ipo siku utakuja kuulalamikia pia.

Hapa sio wake tu hata na nyie wanaume mna kasoro zenu sababu unataka kusema unavyomjali mkeo ni sawa na unavyoujali huo mchepuko? Kama sio unategemea huduma zao kwako zitakuwa sawa?

Kwenye hili haipaswi kuangushiwa mzigo jinsia moja sababu ilivyo baadhi ya wanaume hata wapewe nini watachepuka tu na huwaga mna kamsemo kenu mnakaitaga "necha" eti , Kwamba hamuwezi kukaa na mwanamke mmoja.

Ukiona mkeo ana hizo tabia jua na wewe kuna sehemu umelega lega.
 
Wapandishwe kizimbani tuwaone.

Huyo Aliyewatuma Kwa nini analindwa?

Mwisho Sijaona taasisi za Wanawake zikipaza sauti kumtetea binti.

Ni wazi wanawake ni watu wenye roho mbaya na hapo wamekausha kana kwamba Hakuna kilichotokea.

Sijajua Haki sawa wanazotaka Huwa ni kuteuliwa au kufanyaje
 
Mbona hawaeleweki? Msemaji wa Polisi anasema tuwe na subiri Uchunguzi unaendelea(Lates news -Mchana) ,Masauni anasema tayari washawakamata(Taarifa ya Asubuhi) ,mbona mnaleta MANJEGEKA?
 
Masauni alijibu kwa kuandika “tayari” kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Nina mashaka na hili jibu, ni jepesi sana hasa likiyolewa na mtu kama masauni ambaye alikebehi suala ya utekwaji wa wananchi hususani wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…