Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wale jamaa ilikuwa ni kunyongwa hadharani au kutandikwa risasiIle video kwa kweli inaumiza sana. Kama ndiyo binti yangu anafanyiwa hivyo hata sijui nitafanya nini wallahi.
Nasikia kuwa hao vijana wote ni wanaulinzi wetu. Ngoja tuone itakavyokuwa lakini kama sheria itashindwa kuchukua mkondo wake kisa ni wanaulinzi ndiyo tutajua tuna jamii ya namna gani 😒
Mwanajeshi anashirikiana na wahuni kufanya uharifu? Afrika bado sanaHongereni sana Jeshi la polisi ,hatuwezi kufuga WAHUNI nchini...Ingependeza waonyeshwe ili tu-confirm kama ni wao isije ikawa adakadabra.
Naanza kuamini msemo wa Mchungaji Jacob kule Youtube.Mtanii unaambiwa ni captain wa jeshi katuma wajeda wambake na kumlawiti binti huyo, kisa alitembea na mume wake. Lol
Sheria ifuate mkondo wake, Wallah.
Mmh! Ni vile tu umeamua kuwa upande wa nyumba ndogo lakini kiukweli hata huyo nyumba ndogo ukimpandisha hadhi akawa mke ipo siku utakuja kuulalamikia pia.Jamii haitaki kuzungumzia msingi wa tatizo ni nini?
Tatizo ni wanawake wakiolewa wanaota mapembe na kugeuza ndoa ni jukwaa la mashindano.
Meanwhile wanawake haohao ukimpa cheo cha nyumba ndogo anakupa heshima zote na unamgegeda muda wowote unaojisikia hupangiwi uchi wa mgao na anakutii.
Kinyume chake mke wa ndoa anageuza nyumba uwanja wa mabishano, hana heshima, na uchi wake akupe anavyojisikia yeye, wewe uwe kama sex toy yake tu na hapa wahusika ni wanawake wenye viajira vyao vimewatia ujinga kufikia kudhani nafasi ya mwanaume kwenye nyumba inaweza kuwa replaced, never.
Tutaendelea kuwala wanawake wanaojuwa kutreat mwanaume na hao wote hawajaolewa, walioolewa tiwaache wakae na viburi vyao.
Sio wakati huu ambapo Mwabukusi ni lampresidenteKuna kila dalili hii kesi kuisha kabla ya kuanza
Wajinga sana wale jamaa 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Kwa wale wazee wa bangbros wanaona kawaida
Inakuwaje unyimwe tunda sa Mkuu?Hawa viumbe huwezi kuwaelewa.
Mwanaume ananyimwa tunda lakini haruhusiwi kwenda kwingine.
Huu ni unyanyasaji ambao hautiliwi mkazo Kwa sababu hufanyika mafichoni chumbani.
Wapandishwe kizimbani tuwaone.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.
Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu.
Kadhalika, katika video hiyo inayodaiwa kuchukuliwa na vijana hao, binti huyo alisikika akieleza anakotokea na kumwomba msamaha mtu aliyetambulishwa kwa jina la afande.
Masauni amethibitisha kutiwa nguvuni kwa vijana hao leo, Jumanne Agosti 6, 2024 alipotafutwa na Mwananchi Digital kwa njia ya WhatsApp.
Katika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika “tayari” kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Hata hivyo, Waziri Masauni hajafafanua zaidi kwani amesema bado yupo kwenye mkutano kwa sasa.
Pia soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka
- TLS yalitaka Jeshi la Polisi kuwatia nguvuni waliohusika na kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia kilichotokea Yombo Dovya
Sawa Dogo...Dyadyaa, ngoja nikufanyie mafekechee utaikuta PM
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wangepiga kimyakimya sisi tungejuaje sasa mkuu ?Shida kurekodi na kutupia mitandaoni kitawacost sana, bora wangepiga kimya tu.
🤣🤣Sawa Dogo...
Fanya chap Dada aelewe kinachoendelea😂
Kwa kweli cna jibuu hapa, WoiiiiihNaanza kuamini msemo wa Mchungaji Jacob kule Youtube.
Hawa ndio wasiojulikana wanaotumiwa na watu waovu...ukitekwa tu wanatumwa kukula kiboga.
Inakuwaje unyimwe tunda sa Mkuu?
Sababu inakuwa nini?
Nina mashaka na hili jibu, ni jepesi sana hasa likiyolewa na mtu kama masauni ambaye alikebehi suala ya utekwaji wa wananchi hususani wafuasi na wanachama wa vyama vya upinzani!!Masauni alijibu kwa kuandika “tayari” kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Afu ukute kajibu kwa emoji hivi=>👍Jibu lenyewe eti Whattsapp "Tayari"😄😄
Sidhani aisee yaani mtu anyimwe tu bila sababu. Mmh.Binafsi wangu haninyimi kwa makusudi.
Hapa tunawajadili wale wanaonyimana makusudi bila valid reason there-in-between