Hata mimi sijawahi kuvutiwa nazo,huwa nahisi zina wenyewe...Shida inaanzia kwa wanaume watumiaji , wengi kuna tatizo mahali.. Mwaka jana nilinunua I phone ya macho matatu aisee simu haikunipa amani kabisa japo nzuri mno ila kila mtu ananiangalia ,baada ya miezi miwili nikaiuza , nilichogundua preference za mtu zinaendana na tabia kwenye nguo mpaka kwenye simu.
Nadhani hii ndio inafanya watu wazima kwa sasa kuachana na iphones,simu ni bora sana lakini hype imekuwa kubwa kupitiliza mpaka kila aliyenayo kuonekana ana akili mbovu za kufuata huo ujinga kama wapuuzi wengine.Sio TZ tu hata Marekani. Nimekuandikia hiyo blue bubble effect ni kitu ambayo inawafanya wamarekani hasa teens wawacheke wenzao ambao hawatumii iPhone. Just google it utaona. Babu tale anasema alipokutana na didy alimshangaa kuona anatumia samsung, akamwambia achukue iPhone. Ulaya nadhani ndio hawana ulimbukeni huu. Wanakwambia kuna a smartphone na kuna iPhone.
Kwani watu wa iphones mnapataga shida!!π€£π€£.Ukitaka kujua iphone ni nini itokee shida ya pesa halafu nyie wenye oppo na wa iphone nani atafanya biashara fasta na kuchukua mpunga. Acha kufananisha iphone na vitu vya kijinga
Hakuna mtu anayejishtukia,usitumie vibaya hilo neno.Na huwezi Ona mtu wa iPhone akipondea simu zao ila wao wanavyojishtukia sasaa. Afu mbona iPhone bei rahisi tu jamani zimekua si wajipatie zao na wao wapunguze makasiriko
π€£π€£π€£Android ndiyo zinakaa mfukoni
I phone inashikw mkononi
My Wii niazime I phone Yako nipigie pichaUkitaka kujua iphone ni nini itokee shida ya pesa halafu nyie wenye oppo na wa iphone nani atafanya biashara fasta na kuchukua mpunga. Acha kufananisha iphone na vitu vya kijinga
Ndiyo maana huwa nakukubaliIla sijawahi kumuona mtu wa Afon kaleta uzi anashambulia android.
Nyie wajomba wa android sijui mna nini?
Msichokijua, nyie ndio mnazi overrate. Sisi wengine tunaona tu ni simu kama zingineβ¦. LAPTOP zenyewe zina brand kibaoooo,, ila kuna kundi wamejikita kwenye Lenovo, kuna kundi wao uwatoi kwa HP, mwingine anaona HP za wanafunzi yuko busy na Dellβ¦ mwingine ana MacBook..mwingine ana Acer nk
Thats life. Acheni pigo za kiwaki
Itakuwa inamsumbua upande wa matumiziNa huwezi Ona mtu wa iPhone akipondea simu zao ila wao wanavyojishtukia sasaa. Afu mbona iPhone bei rahisi tu jamani zimekua si wajipatie zao na wao wapunguze makasiriko
Tunauza tunanunua toleo jingine, hapa nna 14 nataka kuisukuma πKwani watu wa iphones mnapataga shida!!π€£π€£.
Mtu wa iphone unaweza kumuua lakini sio auze simu yake,ili aweke shida yake sawa.labda sababu ya historia ngumu ya jinsi alivyoipata.
Njoo uchukue kabisa nna 13 siitaki πMy Wii niazime I phone Yako nipigie picha
Wewe huyo unavoijua Hela labda urogwe πNjoo uchukue kabisa nna 13 siitaki π
Bff Nimelia sana kuona mtu anasifia oppoUkitaka kujua iphone ni nini itokee shida ya pesa halafu nyie wenye oppo na wa iphone nani atafanya biashara fasta na kuchukua mpunga. Acha kufananisha iphone na vitu vya kijinga
Hakuna mtu anayejishtukia,usitumie vibaya hilo neno.
Mtu katoa kongoro zake kwake mpaka kariakoo,kaenda kukabidhi 450k kachukua tecno camon 20 badala ya iphone xr,unadhani atajishtukia ukitoa iphone yako hapo???
Tatizo wengi mnaonekana mnataka engagement mnapoitoa,mkinyimwa mnaitafuta kwa nguvu,mara camera,au security nk.
Hii simu kwa sisi wazee wa low profile imeonekana kutukwaza,tusijeonekana tumebebwa na mkumbo wa IPHONE NOMA.
Itakuwa inamsumbua upande wa matumizi
Bff Nimelia sana kuona mtu anasifia oppo
Hata kama jamani ndyo ulete uzi kuisifia oppo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtu chake jamani
Mjini maisha yako tofauti sana,wakati wewe ukiwa na laki 9 ktk acc hutulii,kuna mtu ana milioni 9 na amekausha.Wanasema hajataka tu ila anataka sisi tusijishaue na iPhone 14 Pro Max zetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutu πππWanasema hajataka tu ila anataka sisi tusijishaue na iPhone 14 Pro Max zetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππ basi bff mbona mnaanza kutumia silaha nzito jamaniHata kama jamani ndyo ulete uzi kuisifia oppo