Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo uwezo hawanao
Ni utapeli wa kidini??Mkuu watu wapo kimaslahi huko mahospitalini hakuna maslahi
Mwaposa kaanzisha alaambe ya Bodaboda Cup elewa neno 'Alaambe'Tangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.
Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
So Yale ni maigizoHuo uwezo hawanao
MaokotoHuo uwezo hawanao
Ni show km Cheka tuSo Yale ni maigizo
Mganga hajigangiKati ya walinzi wa mwamposa kaugua,mwamposa kampeleka hospital....mijitu bado haijagutuka tu.wamekazana tu,mafuta,mafuta,mafuta ya mwamposa yanaponya🤨 ....wewee,nani kakuambiaa
MaokotoHospital hawatoi sadaka
kumbeeeKati ya walinzi wa mwamposa kaugua,mwamposa kampeleka hospital....mijitu bado haijagutuka tu.wamekazana tu,mafuta,mafuta,mafuta ya mwamposa yanaponya🤨 ....wewee,nani kakuambiaa
🤣HatariMganga hajigangi
Ndo ivokumbeee
Ni kampuni sio kanisaPastor yuko madhabahuni kapiga miwani ya macho, home kwake kuna electric fense, kafanya installation za CCTV cameras eneo lote.
Kama hiyo haitoshi getini si ajabu kukawa na walinzi wenye silaha wanaendelea kulinda 24 hrs.
Na yeye akiwa ndani hakai kizembe, kwenye safe box unakuta kuna Glock 19 iko loaded kabisa.
Ukija ndani ya Kanisa kumewekwa fire extinguishers za kutosha ukitoka nje kwenye packing unaona ambulance shazi zimekaa standby.
Then akiwa anahuburi utaskia "Tunalindwa kwa damu ya Yesu", "Yesu anaponya"
Na waumini walivyokuwa indoctrinated wanaamini.
Wewe Atupele mbona unamkaanga homboy wako🤣🤣Kati ya walinzi wa mwamposa kaugua,mwamposa kampeleka hospital....mijitu bado haijagutuka tu.wamekazana tu,mafuta,mafuta,mafuta ya mwamposa yanaponya🤨 ....wewee,nani kakuambiaa
Maokoto zingatiayaani wabongo tumekua na vichwa vizito mno aisee. haya kiboko ya wachawi kadhihirisha kila kitu lakini waaaapi