HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Wewe au mtumishi mwenzio hamjawahi kwenda hospital kutibiwa,watumishi wangapi wanafia mahospitalini ndani ja nje ya mchi?Waliokuwa hospitali hawana, imani yao imewatuka kwenda hospitali, wangekuwa na imani wangeanzia kwa watumishi kwanza.
Sisi watumishi hatuwezi kwenda kuhangaika na watu wasio na imani.
Kama nawewe uko kwa kundi hilo basi ni kiazi jitafakakari!!