Watumishi makanisa ya kiroho muwe mnaenda na mahospiltali kufanya miujiza msitufanye wajinga

Watumishi makanisa ya kiroho muwe mnaenda na mahospiltali kufanya miujiza msitufanye wajinga

Wa kuwashangaa zaidi ni wale wanaowaamini wala siyo kwa kufika walipo bali kupitia maigizo fake kwenye radio na TVs.

Yule mjanja wao Kiboko ya wachawi alikuwa anampanga mtu apige simu akijifanya yupo Mwanza na yeye yupo Buza then anamtendea miujiza au sijui ndiyo anamuombea kupitia simu anapona au eti anamfufua ndugu yake aliyefariki muda siyo mrefu mijitu mizima ikamuamini ikaenda kujazana pale kwenye banda lake,kilichowapata mpaka leo ukiwatajia jina la huyo nabii wao wanawehuka akili maana aliwatandika kisawa sawa.
 
Huuu msimu ni wake kupiga Hela...
Alikuepo Kakobe amepiga sana Hela Biashara ya Dini inalipa Mi huwa naitamani sana Biashara ya Dini Toka kitambo, Daaa.... Apo asiizingue tu serikali. Atapiga Hela mpaka achoke yeye...huyo ni Bilionea.
 
Pastor yuko madhabahuni kapiga miwani ya macho, home kwake kuna electric fense, kafanya installation za CCTV cameras eneo lote.

Kama hiyo haitoshi getini si ajabu kukawa na walinzi wenye silaha wanaendelea kulinda 24 hrs.

Na yeye akiwa ndani hakai kizembe, kwenye safe box unakuta kuna Glock 19 iko loaded kabisa.

Ukija ndani ya Kanisa kumewekwa fire extinguishers za kutosha ukitoka nje kwenye packing unaona ambulance shazi zimekaa standby.

Then akiwa anahuburi utaskia "Tunalindwa kwa damu ya Yesu", "Yesu anaponya"

Na waumini walivyokuwa indoctrinated wanaamini.
Asee ujinga ni msalaba wallah.
 
Acha kuharibu biashara za watu, unadhani wao hawajui makosa ambayo hawapaswi kuyafanya ktk career yao?
Tangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.

Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
 
Tangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.

Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
Tujifunze kwa baba wa uponyaji; Jesus Christ na mitume. Did they do what you're proposing?

Watu hufuata uponyaji kwa imani na sio uponyaji ufuate watu kuwaaminisha! Ukielewa hiyo itakusaidia sana na kukuondolea upotoshaji usio na msingi.
 
Mambo ya kaisari apewe kaisari, wagonjwa hospitalini ni wa serikali imewajengea watibiwe huko, si kila mgonjwa anahitaji muujiza apone. Muujiza ni imani atapona mgonjwa anayeamini hata akinywa dawa hospitalini
 
Back
Top Bottom