Watumishi makanisa ya kiroho muwe mnaenda na mahospiltali kufanya miujiza msitufanye wajinga

Watumishi makanisa ya kiroho muwe mnaenda na mahospiltali kufanya miujiza msitufanye wajinga

inshort hakuna miujiza uko mbona wenyewe wakiugua wanakunywa miseto
 
Inaonekana una upungufu tu wa maarifa kichwani... Ukisikia neno Hospital unahisi ni nini au unaelewa nini..?
WaTz jifunze kuelewa mambo madogo ili kuepuka fedheha
Inashangazi wewe uliyejawa na maarifa kichwani unamjadili mtoa hoja badala ya hoja yake. Hebu tufahamishe basi wewe unaelewa nini unaposikia neno hospitali. Kwa kuelimishana kwa ustaarabu kutatuwezesha watz kujifunza hayo mambo madogo na kuepuka fedheha kama unavyoelekea kujinasibu
 
Mtumishi wa kiroho kwenda hospitalini kufanya miujiza na kuponya?

Huko ni kuingilia taaluma ya madaktari,uhuru wa mgonjwa kwasababu mgonjwa anatakiwa atibiwe katika namna ya utulivu.

Hata hivyo miujiza inatumika kama Ishara kwa mtu asiyeamini,sana sana ilitumika na inatakiwa itumike kuthibitisha Yesu ndiye Kristo yule aliyenenwa kwenye torati na manabii
Kristo mwenyewe alitumia miujiza,Ishara na maajabu kuthibitisha yeye ndiye.


Tena Hospitali ni taasisi na kuna taratibu zake.
 
Mtumishi wa kiroho kwenda hospitalini kufanya miujiza na kuponya?

Huko ni kuingilia taaluma ya madaktari,uhuru wa mgonjwa kwasababu mgonjwa anatakiwa atibiwe katika namna ya utulivu.

Hata hivyo miujiza inatumika kama Ishara kwa mtu asiyeamini,sana sana ilitumika na inatakiwa itumike kuthibitisha Yesu ndiye Kristo yule aliyenenwa kwenye torati na manabii
Kristo mwenyewe alitumia miujiza,Ishara na maajabu kuthibitisha yeye ndiye.


Tena Hospitali ni taasisi na kuna taratibu zake.
Kweli kabisa, hàta huwezi ona madaktari wànaenda kwa Mwamposa kuponya wagonjwa.
 
Aisee! Ngoja nimeoneshe Apostle hili liUZI lako. (dakika 5 baadae) Anasema kijano akili yako imeshikwa na mizimu ya ukoo, uje uombewe. 3M TZS kumuona Apostle , 50,000TZS kuobewa na wasaidizi
 
Back
Top Bottom