Mads nyingine unapita tu.
Kama inavyofanya Ile miyahudi ya Goba.
MK254, imhotep, Moisemusajiografii, Mzee Kigogo au nasema uongo ndugu zangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mads nyingine unapita tu.
Hata mwamposa mwenyewe amewahi lazwa hapo Aghakhan Dar. Kuna jamaa mwenzetu alikuwa kapakana nae chumba (VIP)Kati ya walinzi wa mwamposa kaugua,mwamposa kampeleka hospital....mijitu bado haijagutuka tu.wamekazana tu,mafuta,mafuta,mafuta ya mwamposa yanaponya🤨 ....wewee,nani kakuambiaa
Hata madaktari hawana uwezo wa kwenda kanisani kuponya wagonjwa.Huo uwezo hawanao
Tangu dunia iumbwe madaktari hawajawahi kwenda kanisani kuponya wagonjwa.Tangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.
Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
Hao wapuuzi ukiwaamini unaweza kujikuta kwa p didy siku moja ni wezi kama wezi wengineTangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.
Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
Hawawezi mkuu! Matapeli tu wa kiroho na mazingaombwe hao!Tangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.
Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
wapi Yesu alienda hospital kuwaponya wagonjwa..? Au unataka kujaza server za JF
Swala la mafuta limekaa kishirikina zaidi maana hata kwenye Biblia hakuna mtu aliyewahi kuponya kwa mafuta ni mradi mzuri wa kuingiza pesaKati ya walinzi wa mwamposa kaugua,mwamposa kampeleka hospital....mijitu bado haijagutuka tu.wamekazana tu,mafuta,mafuta,mafuta ya mwamposa yanaponya🤨 ....wewee,nani kakuambiaa
Wagonjwa hawana sadaka wala fungu la kumi 😁Tangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.
Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
Kwamba wakati wa Yesu kulikuwepo na hospitali kama tunavyozielewa nyakati hizi? Pengine hawa watenda miujiza wangepanda punda ili wafanane na Yesuwapi Yesu alienda hospital kuwaponya wagonjwa..? Au unataka kujaza server za JF
OkayHapana bro
Anayetaka muujiza aje kanisani. Kwanini anayetaka vidonge na sindano anavifuata hospitali na sio kituo cha polisi? Kila mahali na kazi yake.Tangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.
Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
Wagonjwa waliolazwa hospitalini wana fedha za ''sadaka''?Tangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.
Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
Bwana yesu pia hakwenda hospitalTangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.
Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia
Watakuambia yesu hakuwafata ma hospitali... Watakuambia walioenda hospital wanaamini madaktari.. watakuambia mganga hafati mwenye shidaTangu dunia iumbwe sijawahi kuona watumishi wa makanisa ya kiroho wametenga hata jumapili moja kutembelea mahospitalini kufanya miujiza ya kuponya wagonjwa kule.
Mie nahisi kuna jambo nyuma ya pazia