Watumishi tunapoelekea Mei Mosi tumwambie nini Rais Samia?

Watumishi tunapoelekea Mei Mosi tumwambie nini Rais Samia?

Shime shime shime watumishi wenzangu ...asiye na mwana aeleke jiwe.

Tunapoelekea Mei Mosi ya kwanza ya Rais Samia S. Hassan akiwa katimiza mwaka mmoja kazini si vibaya tukatanguliza yale tunayotarajia kusikia toka kwake.

Kama alivyotuahidi nyongeza ya mshahara mwaka huu bila shaka hilo limeisha ila ni wazi haki za watumishi zimekandamizwa kwa muda mrefu sana.

Basi si vibaya tukimueleza Mama nini hasa tungependa toka kwake. Ningependa kusema machache.

1. Haki ya Mtumishi kuhama kituo cha kazi.

Hili limekuwa ni tatizo sugu na la muda mrefu sana. Watumishi wa serikali hasa walimu wamekuwa wakipokwa haki yao ya kuhama kwa hiyari. Serikali imekuwa ikitoa kigezo kuwa itasababisha upungufu wa watumishi huko watokako. Sijui hoja hii ina mashiko gani maana wengine wakitoka wengine wanakuja.

Lakini hata sababu ya msingi kabisa ya kwenda unganisha familia watumishi hawasikilizwi hii hupelekea kuibuka kwa matapeli na watumishi wanapigwa sana pesa wanapopigania uhamisho.

Tungependa Mama alitizame hili kwa uzito wake.

2. Fao la uzazi..
Nyinyi ni mashahidi nafikiri wengi hapa mnafahamu haki hii ambayo watumishi wamepunjwa. Tungependa Mama alitizame hili pia kwa macho yake mazuri kabisaa.

3. Annual increment..
Hapa wala hakuna maneno mengi nafikiri ninyi ni mashahidi Awamu ya tano ilichofanya...ilifutilia mbalii.. hili nalo litizamwe kwa macho yake yootee

...endeleeni na mapendekezo ni nini Tumwambie Mama.
Mei mosi ya 2. Ya kwanza alitoa ahadi hii, ambayo inasubiri utekelezaji
 
Hakuna ada ya lazima…hapo mnapigwa…Trade unions ni hiyari kama ilivyo CWT sema mnatengenezwa kuonesha ni lazima

Andikeni barua za kujitoa halafu wajibu kuwa ni lazima na waweke hizo circulars au muongozo wowote unaolazimisha

Tumuunge Mkono Rais Samia kwa kutompa vikazi ambavyo tunaweza kumaliza huku huku chini
Kufuta ADA YA UWAKALA yaani Makato ya Lazima ya mishahara kwenda kwenye vyama vya wafanyakazi.
 
Shime shime shime watumishi wenzangu ...asiye na mwana aeleke jiwe.

Tunapoelekea Mei Mosi ya kwanza ya Rais Samia S. Hassan akiwa katimiza mwaka mmoja kazini si vibaya tukatanguliza yale tunayotarajia kusikia toka kwake.

Kama alivyotuahidi nyongeza ya mshahara mwaka huu bila shaka hilo limeisha ila ni wazi haki za watumishi zimekandamizwa kwa muda mrefu sana.

Basi si vibaya tukimueleza Mama nini hasa tungependa toka kwake. Ningependa kusema machache.

1. Haki ya Mtumishi kuhama kituo cha kazi.

Hili limekuwa ni tatizo sugu na la muda mrefu sana. Watumishi wa serikali hasa walimu wamekuwa wakipokwa haki yao ya kuhama kwa hiyari. Serikali imekuwa ikitoa kigezo kuwa itasababisha upungufu wa watumishi huko watokako. Sijui hoja hii ina mashiko gani maana wengine wakitoka wengine wanakuja.

Lakini hata sababu ya msingi kabisa ya kwenda unganisha familia watumishi hawasikilizwi hii hupelekea kuibuka kwa matapeli na watumishi wanapigwa sana pesa wanapopigania uhamisho.

Tungependa Mama alitizame hili kwa uzito wake.

2. Fao la uzazi..
Nyinyi ni mashahidi nafikiri wengi hapa mnafahamu haki hii ambayo watumishi wamepunjwa. Tungependa Mama alitizame hili pia kwa macho yake mazuri kabisaa.

3. Annual increment..
Hapa wala hakuna maneno mengi nafikiri ninyi ni mashahidi Awamu ya tano ilichofanya...ilifutilia mbalii.. hili nalo litizamwe kwa macho yake yootee

...endeleeni na mapendekezo ni nini Tumwambie Mama.
huyo masikio kaweka udogo sio pamba sidhani km atawasikiliza.
 
Watumishi mwaka huu hamna chenu..atakuja na ngonjera za vita vya Ukraine na urusi...endeleeni kufanya kazi kwa moyo mtalipwa na muumba.

Chaka jipya la serikali kujifijia ni vita.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hakuna ada ya lazima…hapo mnapigwa…Trade unions ni hiyari kama ilivyo CWT sema mnatengenezwa kuonesha ni lazima

Andikeni barua za kujitoa halafu wajibu kuwa ni lazima na waweke hizo circulars au muongozo wowote unaolazimisha

Tumuunge Mkono Rais Samia kwa kutompa vikazi ambavyo tunaweza kumaliza huku huku chini
Hujui chochote. Rndeea kupiga Domo ndio kawaida ya Waswahili
 
Shime shime shime watumishi wenzangu ...asiye na mwana aeleke jiwe.

Tunapoelekea Mei Mosi ya kwanza ya Rais Samia S. Hassan akiwa katimiza mwaka mmoja kazini si vibaya tukatanguliza yale tunayotarajia kusikia toka kwake.

Kama alivyotuahidi nyongeza ya mshahara mwaka huu bila shaka hilo limeisha ila ni wazi haki za watumishi zimekandamizwa kwa muda mrefu sana.

Basi si vibaya tukimueleza Mama nini hasa tungependa toka kwake. Ningependa kusema machache.

1. Haki ya Mtumishi kuhama kituo cha kazi.

Hili limekuwa ni tatizo sugu na la muda mrefu sana. Watumishi wa serikali hasa walimu wamekuwa wakipokwa haki yao ya kuhama kwa hiyari. Serikali imekuwa ikitoa kigezo kuwa itasababisha upungufu wa watumishi huko watokako. Sijui hoja hii ina mashiko gani maana wengine wakitoka wengine wanakuja.

Lakini hata sababu ya msingi kabisa ya kwenda unganisha familia watumishi hawasikilizwi hii hupelekea kuibuka kwa matapeli na watumishi wanapigwa sana pesa wanapopigania uhamisho.

Tungependa Mama alitizame hili kwa uzito wake.

2. Fao la uzazi..
Nyinyi ni mashahidi nafikiri wengi hapa mnafahamu haki hii ambayo watumishi wamepunjwa. Tungependa Mama alitizame hili pia kwa macho yake mazuri kabisaa.

3. Annual increment..
Hapa wala hakuna maneno mengi nafikiri ninyi ni mashahidi Awamu ya tano ilichofanya...ilifutilia mbalii.. hili nalo litizamwe kwa macho yake yootee

...endeleeni na mapendekezo ni nini Tumwambie Mama.
Andaeni maandamano ya kumpongeza kwa kupandisha bei vitu
 
Anamaanisha master's degree itambulike kwenye mifumo ya ajira, Yani iwe na general impact Kama ambavyo mtu mwenye diploma akienda kusoma degree akirudi anafanyiwa recategorization..ambapo kwasasa master's degree haina impact.
Fafanua kidogo.
 
Aongeze kweli sio kuongeza elfu 10 kama jpm maana watumishi mmevumilia kwa zaidi ya miaka 6.
 
Inawezekana sijui kweli sasa usiniache na kutokujua kwangu na kunidhihaki na kunikejeli kwa uswahili na domo langu…just eleza tu kama ni maelekezo ya standing order au Waraka upi ili usaidie na wengine wasiojua kama mimi
Hujui chochote. Rndeea kupiga Domo ndio kawaida ya Waswahili
 
Back
Top Bottom